cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Makulanga nini?Makulanga kumbe nayo inaleta noma ktk ujifunguaji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makulanga nini?Makulanga kumbe nayo inaleta noma ktk ujifunguaji?
Hao wapopo ni matapeli wa uchi na hela...Nini kilifanya ndoa ikafa, ila wa Nigeria huwa ni matapeli huwa wanaenda kuoa kwao
Nilionaga picha mnaija kapeleka maua baada ya poshy kujifungua nikajisema mapenzi si ndio haya, slei kwini kaokota mpenzi, kumbe....Alifunga ndoa kabisa[emoji848]
Huwa zinakuwa na shida after a certain of time lazima uka repee maana hushuka chiniHizi surgery hazina shida kwenye matako?
Mshua wa kazi gani bwuana hebu atulie huko huko[emoji16][emoji16][emoji16]
Huwezi amini nimemmiss mshua!
Maza linazingua kinoma[emoji57][emoji57]
Blac Chyna ana ma surgery mengi mara dimples nyonyo, uso hadi anatisha, Kim ndo usiseme had mvuto umeisha huwa hawezi kuvheka hataWachache ndio yanakaa vizuri wengi naona hamna kitu....hata blackchyna yamekaa vibayaa
Itakuwa amempiga poshyqueen hela zote alizodangaHao wapopo ni matapeli wa uchi na hela...
UkimwiMakulanga nini?
Bora hata kutapeliwa uchi sio hela asee 😔Hao wapopo ni matapeli wa uchi na hela...
Ndo maana ake[emoji848]..Itakuwa amempiga poshyqueen hela zote alizodanga
Watu wenye hela wanajua kuhangaika asee yote hayo ya nini!!!!Blac Chyna ana ma surgery mengi mara dimples nyonyo, uso hadi anatisha, Kim ndo usiseme had mvuto umeisha huwa hawezi kuvheka hata
Duh ila wengi wakiwa wagonjwa huchahua OP Ili mtoto awe safeUkimwi
Hela ya mwanamke inauma sana [emoji848]Bora hata kutapeliwa uchi sio hela asee [emoji17]
KitukoooWatu wenye hela wanajua kuhangaika asee yote hayo ya nini!!!!
Naona dada mlokole nae kaenda kuweka dimpoz na hivi sura huwa haina ushirikiano naona sijui kawaje
Yeah basi watu wanadhani ni mambo ya mpalange kumbe hata sio hivo....Duh ila wengi wakiwa wagonjwa huchahua OP Ili mtoto awe safe
Dimpo imekaa kama kakikombe cha kunywea kahawaKitukooo
Kwa mnigeria usiweke yamini[emoji849][emoji848]Nilionaga picha mnaija kapeleka maua baada ya poshy kujifungua nikajisema mapenzi si ndio haya, slei kwini kaokota mpenzi, kumbe....
Hivi Vanessa nae ana kibendi?Kwa mnigeria usiweke uamini[emoji849][emoji848]
The same to Vanessa mdee..kilio chake chaja
Halafu anamficha mtoto sasa ili iweje[emoji57]
KashajifunguaHivi Vanessa nae ana kibendi?
Insta wanasema kidimpo mdako[emoji16][emoji16][emoji16]Dimpo imekaa kama kakikombe cha kunywea kahawa