Naona kama kuna mwanaume wa kughushiWewe unaonaje kuna mwanaume humo?
Utaua mashine kwa kupigia puri videmu bandia.Sisi tukiona picha tunapigia puri
Muulize ephen_ analo jibu lakoHawa ni akina nani?
Ikiwa huu msemo ni batili ina maana hata ccm ya Nyerere ilikuwa batili, Ila ccm ya wahuni wa leo ndiyo sahihi?Msemo wa binadamu wote ni sawa ni msemo batili
Nafikiri mngeitafuta logic nyuma ya hiyo picha kabla hamjasema yote.
Huyo dada Ali Kamwe aliweka shindano katika page yake ya kumtafuta dada wa kuhudhuria nae harusi (ya mfanyakazi mwenzao pale Yanga) ndipo huyo dada (pichani) akashinda kwa kura nyingi, ndio akahudhuria nae kama mnavyoona.
Hata hivyo sioni ubaya katika hiyo nguo, ni nguo sahihi katika tukio sahihi. Acheni watu wapendeze jamani, eh!
Hiyo harusi ilikuwa ni ya kiislam, Ali Kamwe ni muislam swafi kabisa Ila alikiuka misingi ya dini ya kiislam.Huyo dada Ali Kamwe aliweka shindano katika page yake ya kumtafuta dada wa kuhudhuria nae harusi
Hiyo nguo sio sahihi katika uislam, hilo ni vazi la wana haramu makafiri.Hata hivyo sioni ubaya katika hiyo nguo, ni nguo sahihi katika tukio sahihi.
Wewe unaishi kijijini?Kuvaa mapaja Nje ni kupendenza kumbe huko daslam? Nilikuwa sijui
Baba swalehe kuna ujumbe wako huku mzee wa puri.Kwa Dunia ya Sasa kukaa uchi ndyo kupendeza.Matokeo yake wavulana wenye madomo zege hukimbilia mafichoni kwenda kujikamua.Alafu baadaye unashangaa wanawake wanalalamika ukosefu wa nguvu za kiume.
Wewe unaishi kijijini?
Subiri jibu la swali lako kutoka kwa Nifah.Swali kuvaa mapaja Nje ndo kupendeza?
Mapema sana kubeba matatizo ya watuMwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani.
Mnapiga na picha na kuzisambaza mitandaoni, wajuba wameona paja la mwanamke wako, sasa wanampigia mahesabu mwanamke wako.
Mwanaume aliyekosa akili huwa hana uwezo wa kumzuia mwanamke wake asivae nusu uchi hadharani.
Wanaume tuache ujinga.
View attachment 2989182
Kwa hiyo point yako ni nini hasa hapa? Kwamba aendelee tu kuvaa hizo nguo za nusu uchi kwa sababu eti atakivaa nguo za kujistiri bado wahuni watamtongoza au?Ingekuwa ndo hivyo, hiyo nguo isingeuzwa dukani. Wanawake zetu wanavaa mabatiki hayaoneshi kitu ila bado wanapigiwa hesabu na wahuni
Inakuhusu nini? Nguo yake inanihusu nini? Fanya yako, nifanye yangu na yeye afanye yake. Kam unaweza tembea nchi nzima kamata wanaovaa uchi maana wako wengiKwa hiyo point yako ni nini hasa hapa? Kwamba aendelee tu kuvaa hizo nguo za nusu uchi kwa sababu eti atakivaa nguo za kujistiri bado wahuni watamtongoza au?
Ntaacha mkuuUtaua mashine kwa kupigia puri videmu bandia.
Acha hiyo tabia.
Wewe itakua unatokea Katavi!!!Mwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani.
Mnapiga na picha na kuzisambaza mitandaoni, wajuba wameona paja la mwanamke wako, sasa wanampigia mahesabu mwanamke wako.
Mwanaume aliyekosa akili huwa hana uwezo wa kumzuia mwanamke wake asivae nusu uchi hadharani.
Wanaume tuache ujinga.
View attachment 2989182