Mwanaume ambaye hana pesa asioe

Yaani wewe akili zako unazijua mwenyewe. Pesa ni kama maua kuna wakati yanachanua na kuna wakati yananyauka so unataka kuniambia siku pesa zikikuishia ukafilisika itabidi umwache mkeo?
 
kuna siku hapa nilikuwa napitia uzi fulani, naona mlikuwa manongelea mijengo ya akina samia, 😂😂😂 huko mbweni, na wewe ulikua mbele kutoa coments, nikaona doh basi unapajua, sasa unipe ka experience viwanja bei zinaanziaje😂😂, wapi pakishua zaidi
Haha kwanini Umeniuliza hilo swali mkuu 😀😀
 
Hahaha kote kuzuri tu ila Mbweni kuzuri zaidi kuliko Goba si unajua tena baharini ni baharini tu, bei inategemea na ukubwa wa eneo ila kwa nilivyosikia Uswahilini vinaanzia 30M na kuendelea, mitaa ya Ushuani ndio kuna hadi vya 500M na kuendelea huko
 
Hahaha kote kuzuri tu ila Mbweni kuzuri zaidi kuliko Goba si unajua tena baharini ni baharini tu, bei inategemea na ukubwa wa eneo ila kwa nilivyosikia Uswahilini vinaanzia 30M na kuendelea, mitaa ya Ushuani ndio kuna hadi vya 500M na kuendelea huko
M500🫢, sas huko jumba c inabid liwe la bilioni sasa dah, mfnykz serkalin hela hizo anatoa wapi, nahisi hapo kuna watu wanamilk viwanda na malampuni mkuu, anyway ngj tujipige pige pesa.
 
M500🫢, sas huko jumba c inabid liwe la bilioni sasa dah, mfnykz serkalin hela hizo anatoa wapi, nahisi hapo kuna watu wanamilk viwanda na malampuni mkuu, anyway ngj tujipige pige pesa.
Hiyo mitaa ukinunua huruhusiwi kujenga nyumba ya chini ni ghorofa tu kama huwezi uza, wanaoishi hiyo mitaa wengi ni viongozi wa serikali na wafanyabiashara wakubwa, hii nchi usiulize eti mfanyakazi wa serikali anatoa wapi hizo pesa watu wanapiga mkuu
 
Sawa mkuu nimekusikia , sitaoa kamwe nitabaki tu kwa mama na atakae jilengesha nitamtafuna tu.
 
Pesa hujibu mambo yote lakini tukumbuke unaweza kuoa ukiwa na pesa lakinj pesa ikaja kuisha ukiwa na mke ndo ukaanza upya kuitafuta , hapa point yako ni hii OA ukiwa umeshajipanga kimaisha.
 
Pesa hujibu mambo yote lakini tukumbuke unaweza kuoa ukiwa na pesa lakinj pesa ikaja kuisha ukiwa na mke ndo ukaanza upya kuitafuta , hapa point yako ni hii OA ukiwa umeshajipanga kimaisha.
Ukiweza na uwezo wa kulipia pango hata chumba kimoja na uwezo wa kujilisha kila siku unao, OA, pesa ikiisha huku unaishi pamoja na mkeo mtapambana kuirudisha maadam mliapa kuishi pamoja katika shida na raha.
 
Wamekusikia mkuu
 
Kauli sahihi ni kuoana,maanake muunganiko hivyo kwa kauli nyingine mwanaume anamuoa binti na binti anamuoa kijana....kutengeneza neno kuoana,,,,,wazungu wanasema marry,....
Kuoa/Kuolewa =kuoana

Mwanaume anaoa.

Mwanamke anaolewa.

Bado kiswahili ni kigumu kwako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…