Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,406
- 8,039
Kula tano chali 👊
Tunavolalamika kuwa wanawake mnapenda sana pesa, sio kwamba sisi wanaume hatutaki kuwapa wanawake wetu pesa, au tunataka kukimbia majukumu. Tunapenda sana kuwapa hela.
Ishu ni kwamba kibinadamu, mwanaume ukijua mwanamke uliye naye yuko na wewe kwenye mahusiano kwasababu una pesa, na sio kwasababu kakupenda/ kavutiwa na wewe, kiukweli roho inauma, mtu unahisi kama unatumika.
Na wanawake wengi sahivi hawampendi mwanaume, ila wanapenda hela za mwanaume, sasa hapo kutakuwa kuna mahusiano kweli, hapo wanaume tutaacha kulalamika kweli.
Mfano rahisi jiulize siku ukigundua kuwa mumeo aliekuoa hakuwahi kukupenda wala kuvutiwa na wewe, ila alikuoa sababu una pesa, imagine utajihisi vipi Lamomy Jadda