Mwanaume ambaye hana pesa asioe

Mwanaume ambaye hana pesa asioe

Uwe una taja majina, # komwe la taifa
🀣🀣🀣🀣 Usinitafutie ugomvi na wizo wangu BICHWA KOMWE - hapa tunasemea watu wanaokimbia majukumu, kwanza ninavyojua wizo mshangazi mwenye wowowo lake mjini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
🀣🀣🀣🀣 Usinitafutie ugomvi na wizo wangu BICHWA KOMWE - hapa tunasemea watu wanaokimbia majukumu, kwanza ninavyojua wizo mshangazi mwenye wowowo lake mjini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Wizo niunganishe basi na Nyamitako jana kanidatisha mno
 
🀣🀣🀣🀣 Limeisha wizo lazima umpate Chris brown wa Mwanza
Jana itakuwa ulimuota wizo
Nakuaminia wizo, fanya makaratee nikajilie mafuta hayoo usiniangushe jamaniiiii ntakununulia STARLET ukifanikisha πŸ₯°
 
Ni mara chache sana mwanaume inatokea kaoa mwanamke sababu ya pesa zake, kwa upande wangu sijawahi kuwa na mwanaume anayenipendea hivo hata ex wangu valentine nilitaka kumpa zawadi aligoma katakata, badala yake akanipa mimi..!!
( Nilihisi kweli huyu ni mwanaume kamili)

Turudi kwetu wanawake, sisi tunaweza kukupenda wewe pamoja na pesa zako… pesa na mwanamke ni mapacha huwezi kuvitenganisha, sababu mwanamke anhisi amani akiwa na mume lkn na huyo mume akiwa anampa pesa ndio anazidi kuhisi yupo sehemu salama.!!
Kuna kitabu kiliandikwa na mdada wa marekani anaitwa Baje Fletcher, hicho kitabu kinaitwa "Goaldigger's guide how to get what you want from men without giving it up" kwenye hicho kitabu alifundisha wadada njia za kupata pesa toka kwa mwanaume usiempenda bila kutoa papuchi , hii factor inapinga point yako namba mbili kuwa mwanamke anaweza kumpenda mwanaume sababu huyo mwanaume ana hela, sana sana ata-pretend kupenda ili aweze endela kufaidi hela za uyo mwanaume.

Kuna vijana wengine wa kiume wanahudumia girlfriends wao kipesa tena vizuri tu, ila sehemu ya hizo hela wanazotoa zinaenda kuliwa na mwanaume mwingine.

Explain Lamomy
 
Pesa ndo Kila kitu Kwa Sasa,ya zamani mtuachie sisi ndo tuliyaishi, ukimailiza shule unapewa shamba unaanza kulima baada ya miaka miwili au zaidi unajenga kibanda pembeni ya kibanda Cha baba, kinachofuata nikuoa . Hapo mwanamke na wazazi wake walichoangalia ni uwezo wa kuishi basi mengine mtapambana mkiwa wote.
 
Back
Top Bottom