okMmh. Mleta uzi umesahau walishasema Wahenga "mchagua jembe si Mkulima".
Mie naona kikubwa kuridhiana na kupendana kwa dhati basi popote Penzi linaweza mea.
ngoja na mimi nizipitieNimepitia threads zako zote 30.
Kati ya hizo threads 30, ni threads 2 tu ndio hazija wahusu wanaume.
1. Ni barua ya wazi ulio muandikia John Pombe Magufuli.
2. Ni barua iliohusu wanasiasa kuhama vyama.
Kwahiyo, naomba nihitimishe kwamba umetumiwa sana na wanaume wengi tofauti tofauti, pia unaonekana unamajeraha makubwa moyoni mwako kutuhusu sisi wanaume.
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16] [emoji16]Mmh. Mleta uzi umesahau walishasema Wahenga "mchagua jembe si Mkulima".
Mie naona kikubwa kuridhiana na kupendana kwa dhati basi popote Penzi linaweza mea.
Mkuu, aina hii ya nyuzi popote ukiziona....ngoja na mimi nizipitie
Vipi mimi hapa hotelia, naomba tudate.1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke
2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary
3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa
4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi
5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli nimetazamaMkuu, aina hii ya nyuzi popote ukiziona....
Kwanza jenga tabia ya kujiridhisha kabla haujatia neno. Otherwise, utajikuta skumoja unadumbukia choo cha watoto....tehteehh
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante ndugu mjumbe......kweli nimetazama
ukweli ni kwamba wanamaumivu ya ndani na badala wawe wazi tuwasaidie kwa mawazo wanachofanya ni kujifanya hawajali mwisho wa siku watu wanapita nao bila kuwa na malengo naoAsante ndugu mjumbe......
Hii ndio jf, na hapo bidada yupo desperate tupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu amuongeze binti aiseeee.....ukweli ni kwamba wanamaumivu ya ndani na badala wawe wazi tuwasaidie kwa mawazo wanachofanya ni kujifanya hawajali mwisho wa siku watu wanapita nao bila kuwa na malengo nao
hee..teh..teh... ndo hapo sasa bado miwili akicheza vibaya yatakayofuata yanafurahisha!Mungu amuongeze binti aiseeee.....
Ukizingatia, ndio kwanza ana 25 year's old
Sent using Jamii Forums mobile app
aandaa shule moja ya vijana lakini sehemu kubwa itakuwa ya vijana wa kiume sijajua vizuri mazingira ya watoto wa kike kwa kuwa naona wao fursa zinawapita haraka sana wakifika 27 basi hapo waangalie sana vinginevyo wanaweza kukutana wanaolewa na wanaume wagane au waliokwisha taraka wake zaoMungu amuongeze binti aiseeee.....
Ukizingatia, ndio kwanza ana 25 year's old
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh. Mleta uzi umesahau walishasema Wahenga "mchagua jembe si Mkulima".
Mie naona kikubwa kuridhiana na kupendana kwa dhati basi popote Penzi linaweza mea
Haya maneno yako ya mwisho huwa nikiyaona popote napata huzuni sana. Haya maneno si ya sawa kabisa katika uhalisia. Watu wanatakiwa kujua hapa duniani kila jambo linataka elimu.
Maneno hayo yameharibu jamii pakubwa sana.
Maneno hayo hayapaswa kuandikwa popote pale. Namaanisha maneyo ya aya ya mwisho.
Hapo no,mtu anaweza akawa dereva lakini asiwe mchepukajiKazi ya mtu inaweza ikamshape tabia ya mwanaume na tabia zipo za kuzaliwa na za kuiga kutokana na majority ya mnaofanya kazi nao
Sent using Jamii Forums mobile app