Mwanaume anaemsikiliza mwanamke hawezi kufeli

Mwanaume anaemsikiliza mwanamke hawezi kufeli

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131

Ndio hivyo

Kwani uongo??

Tatizo hamtusikilizagi

Na wote mnaotusikiliza mnatoboaga Sana kimaisha


1 Peter 3:7-9 New Living Translation (NLT)In the same way, you husbands must give honor to your wives. Treat your wife with understanding as you live together. She may be weaker than you are, but she is your equal partner in God's gift of new life. Treat her as you should so your prayers will not be hindered.
 
Ndio hivyo

Kwani uongo??
Tatizo hamtusikilizagi
Na wote mnaotusikiliza mnatoboaga Sana kimaisha
Adam alifaulu eeeh, ibrahim je, tuachane na hao niambie kuhusu samsoni, yawezekana samson alikuwa na mahaba ya kihindi, yule mfalme suleiman alifanyaje kwa matakwa ya esta aliishia kukata askari wake mtiifu kichwa.

Review uziwako urekwbishe kichwa cha habari. For every failure of a man there is a woman hidden behind. Nyie wenyewe hum mwanaume akikaa kibra mnampukutisha hadi nauli
 
Msikie huyu mbanga
FB_IMG_16910896836581588.jpg
 
Adam alifaulu eeeh, ibrahim je, tuachane na hao niambie kuhusu samsoni, yawezekana samson alikuwa na mahaba ya kihindi, yule mfalme suleiman alifanyaje kwa matakwa ya esta aliishia kukata askari wake mtiifu kichwa. Review uziwako urekwbishe kichwa cha habari. For every failure of a man there is a woman hidden behind. Nyie wenyewe hum mwanaume akikaa kibra mnampukutisha hadi nauli
Shida yako mbishi ndio maana husogei
 
Back
Top Bottom