Mwanaume anaemsikiliza mwanamke hawezi kufeli

Mwanaume anaemsikiliza mwanamke hawezi kufeli

F3RkeQVWsAE-nF5.jpeg
 
NI vile Biblia hausomi hata nikilipa maandiko utakataa
Nakutolea mifano mitano ya biblia ambayo wanawake waliwaangamiza wanaume.

1:- Adamu na eve.

2:- Samson na delila .

3:-Daudi na mamake solomoni.

4:- "Naboth vine yard" itafute hii story

5:- Sulemani na wake zake.

Nyongeza.

Ibrahim na mkewe sarah wamekubaliana vizuri kwamba Ibrahim azae na kijakazi wao Hagai kwa vile Sarah kazeeka na anachangamoto na uzazi mwisho wa siku kaona wivu na kumfukuza...

"Those are women" aisee
 
Nakutolea mifano mitano ya biblia ambayo wanawake waliwaangamiza wanaume.

1:- Adamu na eve.

2:- Samson na delila .

3:-Daudi na mamake solomoni.

4:- "Naboth vine yard" itafute hii story

5:- Sulemani na wake zake.

Nyongeza.

Ibrahim na mkewe sarah wamekubaliana vizuri kwamba Ibrahim azae na kijakazi wao Hagai kwa vile Sarah kazeeka na anachangamoto na uzazi mwisho wa siku kaona wivu na kumfukuza...

"Those are women" aisee
Yani wewe utakuwa unaishi mtaroni
Mbishi kweli
 
Google basi huo mstari utaniambia mama haujaandikwa

Haujalielewa neno Sawa Sawa.

Kadhalika ninyi waume, ishini na wake zenu kwa kuwahurumia, mkitambua ya kuwa wao ni dhaifu na hivyo muwape heshima, kwa maana ninyi ni warithi pamoja nao wa neema ya uzima. Fanyeni hivyo ili sala zenu zisizuiliwe.

1 Petro: 3:7

Ni kuhusu kuwaheshimu, Sio kuwasikiliza. Na hata tukiwasikiliza tutaheshimu mawazo yenu ila maamuzi na direction ya familia inatoka Kwa Mume.
 
Haujalielewa neno Sawa Sawa.

Kadhalika ninyi waume, ishini na wake zenu kwa kuwahurumia, mkitambua ya kuwa wao ni dhaifu na hivyo muwape heshima, kwa maana ninyi ni warithi pamoja nao wa neema ya uzima. Fanyeni hivyo ili sala zenu zisizuiliwe.

1 Petro: 3:7

Ni kuhusu kuwaheshimu, Sio kuwasikiliza. Na hata tukiwasikiliza tutaheshimu mawazo yenu ila maamuzi na direction ya familia inatoka Kwa Mume.
Du,
Wanaume wote wangekuwa kama wewe
Wangekuwa wanaishi mtaroni
 
Du,
Wanaume wote wangekuwa kama wewe
Wangekuwa wanaishi mtaroni

Ndio iko hivyo...

Hata Mungu tunaita Mungu Baba... Ni mwanaume.. Ndio Mamlaka yenyewe.. Lazima utii.

Ndio sheria ya asili hiyo Dada yangu. Nje ya hapo ni upotevu na machukizo mbele ya Mungu.

MKE Hana kauli wala maamuzi Kwa Mume wake

Waefeso 5:23.
 
Ndio iko hivyo...

Hata Mungu tunaita Mungu Baba... Ni mwanaume.. Ndio Mamlaka yenyewe.. Lazima utii.

Ndio sheria ya asili hiyo Dada yangu. Nje ya hapo ni upotevu na machukizo mbele ya Mungu.

MKE Hana kauli wala maamuzi Kwa Mume wake

Waefeso 5:23.
Wewe Google nilichokwambia alafu uje na jibu
 
Sihitaji ku Google.. Wewe soma mistari ya Biblia nayo weka katika post zangu.
Mimi ninayo moyoni huo mstari nafanya kukusaidia wewe mbishi
Kama hutaki enda tu
 
Mimi ninayo moyoni huo mstari nafanya kukusaidia wewe mbishi
Kama hutaki enda tu

Haujaushika mstari wowote

Soma upya huo mstari uelewe 1 Petro 3:7.

Ukizidisha ubishi nitajua wewe ni yule mwingine, yule wa kwanza.
Sio yule aliesifiwa kuwa ni mfupa katika mfupa wake na nyama katika nyama yake. 😂😂

Malizia na mstari wa Waefeso 5:23. Baada ya hapo karibu Kwa mdahalo
 
Back
Top Bottom