Mwanaume anaemsikiliza mwanamke hawezi kufeli

Mwanaume anaemsikiliza mwanamke hawezi kufeli

Kwahiyo ulitegemea baba kumchukulia poa mzazi mwenzake case study ya Ibrahim,

Kwa upande wa samson eti kazi yake iliishia hapo inamaana ilikuwa imepangwa awaue wafilisti na mwisho aje auawe kwa kudanganywa na mwanamke..[emoji1][emoji1][emoji1].?
Hata kuzaliwa kwake kulikuwa kwa maajabu, hili swali hata mie niliuliza kazi iliishia hapo, siku hiyo aliua watu wengi kuliko wale aliokuwa amewaua mwanzo.
 
Shida yako mbishi ndio maana husogei
Mi serikali yangu kichwa changu siombi ushauri wala kumsikiliza mwanamke. Coz mwanamke ni liability. Anatumia zaidi kuliko kuingiza.
Mpaka mwanamke niweze kukushirikisha mambo yangu lazima uwe na sifa za ziada ambazo ni wanawake wachache sana wanazo.
Wewe ni mke wangu utaujua mshahara wangu tu. Mengine nitakwambia ila uwongo, marupurupu nikipata kwenye 1m nitakwambia nina laki 1ili usinisumbue sana.
 

Money Penny kama wewe ndo husikilizwi. Nlitaka nifukue makaburi ila nimeona skuna mabomu yatakufanya ulipuke
 
Haujaushika mstari wowote

Soma upya huo mstari uelewe 1 Petro 3:7.

Ukizidisha ubishi nitajua wewe ni yule mwingine, yule wa kwanza.
Sio yule aliesifiwa kuwa ni mfupa katika mfupa wake na nyama katika nyama yake. 😂😂

Malizia na mstari wa Waefeso 5:23. Baada ya hapo karibu Kwa mdahalo
1 Peter 3:7-9 New Living Translation (NLT)In the same way, you husbands must give honor to your wives. Treat your wife with understanding as you live together. She may be weaker than you are, but she is your equal partner in God's gift of new life. Treat her as you should so your prayers will not be hindered.
 
Jiheshimu
1 Peter 3:7-9 New Living Translation (NLT)In the same way, you husbands must give honor to your wives. Treat your wife with understanding as you live together. She may be weaker than you are, but she is your equal partner in God's gift of new life. Treat her as you should so your prayers will not be hindered.
 
[emoji23][emoji23]
1 Peter 3:7-9 New Living Translation (NLT)In the same way, you husbands must give honor to your wives. Treat your wife with understanding as you live together. She may be weaker than you are, but she is your equal partner in God's gift of new life. Treat her as you should so your prayers will not be hindered.
 
Nakubaliana na wewe ila inategemea na huyo unayemsikiliza yupo vizuri kichwani au ni wale wanaowaza vikoba kuliko hata mume wake.
Mwanamke nitakae msikiliza ni atakae niambia ananyege nimsaidie kumkuna huyo tu.
Teyari ila ni no results.
Nasubiria mwanasheria wangu😀😀
1 Peter 3:7-9 New Living Translation (NLT)In the same way, you husbands must give honor to your wives. Treat your wife with understanding as you live together. She may be weaker than you are, but she is your equal partner in God's gift of new life. Treat her as you should so your prayers will not be hindered.
 
Hizo za samsoni ni story ambazo huwezi kuzidhubitisha zaidi yakusema nmesoma au nimesikia, yawezekana hao watu kipindi hicho walikuwa siku wasikivu ila dunia ile sio sawa na dunia hii
😅😅😅
Uvivu wa Adam ndiyo ulimponza ,yeye anajua kabisa kakabidhia kambi yeye kwanini amwache mkewe pekeyake,
Ushaanza kukimbizana na maandiko TENA? Soma biblia vizur bi dada
1 Peter 3:7-9 New Living Translation (NLT)In the same way, you husbands must give honor to your wives. Treat your wife with understanding as you live together. She may be weaker than you are, but she is your equal partner in God's gift of new life. Treat her as you should so your prayers will not be hindered.
 
Kejeli zote hizo na PM unaomba wakufuate yuutubu!!
Kumbuka kuwa sio ushawishi tu kwa mmewe bali Esta aliolewa pale kwa makusudi ili kulisaidia taifa la Israel, maana Haman alitaka kuliua taifa zima la Israel maana walikuwa utumwani. Kumbuka taifa zima walifunga usiku na mchana siku 3 kwa ajili ya hilo.
Vichwa vyenyewe havina macho, vinasikiliza sauti za dada zao na mama zao halafu za mkewe hasikilizi ila hapo hapo ndipo anapolala nakuroma kabisa huku katundika miguu juu.
Unafikiria nini kama Ayubu angemsikiliza mkewe?
Feminine energy meet musculine energy ..

Be humble down to earth .. @ each other alafu ukuje hapa .. sitaki hata unishukuru baadae ..

Know where and when to touch ..

Chaos and order ..

Mshana Jr
Mzizimkavu
Kwahiyo ulitegemea baba kumchukulia poa mzazi mwenzake case study ya Ibrahim,

Kwa upande wa samson eti kazi yake iliishia hapo inamaana ilikuwa imepangwa awaue wafilisti na mwisho aje auawe kwa kudanganywa na mwanamke..😄😄😄.?
1 Peter 3:7-9 New Living Translation (NLT)In the same way, you husbands must give honor to your wives. Treat your wife with understanding as you live together. She may be weaker than you are, but she is your equal partner in God's gift of new life. Treat her as you should so your prayers will not be hindered.
 
Asante wewe unayeishi ghorofani ila tambua hili Baada ya binaadamu kuasi, mwanamke alipewa adhabu mbili kuu..

1:- kuzaa kwa uchungu.

2:-Kuwa mtumwa wa mwanaume.

I'm out....
Kabisa mi natafuta mwanamke wakumsikiliza
1 Peter 3:7-9 New Living Translation (NLT)In the same way, you husbands must give honor to your wives. Treat your wife with understanding as you live together. She may be weaker than you are, but she is your equal partner in God's gift of new life. Treat her as you should so your prayers will not be hindered.
 
Wakati wa kumsikiliza mwanamke ni pale tu unapotaka kumchomeka ub** wazungu walisha mwagika unapuuzia yote aliyokwambiq
 
Mi serikali yangu kichwa changu siombi ushauri wala kumsikiliza mwanamke. Coz mwanamke ni liability. Anatumia zaidi kuliko kuingiza.
Mpaka mwanamke niweze kukushirikisha mambo yangu lazima uwe na sifa za ziada ambazo ni wanawake wachache sana wanazo.
Wewe ni mke wangu utaujua mshahara wangu tu. Mengine nitakwambia ila uwongo, marupurupu nikipata kwenye 1m nitakwambia nina laki 1ili usinisumbue sana.
Wakati wa kumsikiliza mwanamke ni pale tu unapotaka kumchomeka ub** wazungu walisha mwagika unapuuzia yote aliyokwambiq
1 Peter 3:7-9 New Living Translation (NLT)In the same way, you husbands must give honor to your wives. Treat your wife with understanding as you live together. She may be weaker than you are, but she is your equal partner in God's gift of new life. Treat her as you should so your prayers will not be hindered.
 
Tofautisha kupenda na kusikiliza.. tumeamriwa tuwapende sio kuwasilikiza kama unalo andiko la kuwasikiliza nitumie..
Sawa itumie biblia kuanzia kuanguka kwa adamu, suleimani samsoni mpaka maneno ya yesu kuwa tuishi na wanawake kwa akili.
Nimesoma sijaona hilo onyo, yaani mwanzo hadi Ufunuo hakuna
sidhani kama ni sahihi sana
1 Peter 3:7-9 New Living Translation (NLT)In the same way, you husbands must give honor to your wives. Treat your wife with understanding as you live together. She may be weaker than you are, but she is your equal partner in God's gift of new life. Treat her as you should so your prayers will not be hindered.
 
1 Peter 3:7-9 New Living Translation (NLT)In the same way, you husbands must give honor to your wives. Treat your wife with understanding as you live together. She may be weaker than you are, but she is your equal partner in God's gift of new life. Treat her as you should so your prayers will not be hindered.
Kiswahili?
 
Back
Top Bottom