Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #121
watakusikia wahusikaUkweli ndivyo ulivyo.Hamtakiwi kupanda kwenye mapaa na kupiga mayowe.Muwaache waamuzi waone wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watakusikia wahusikaUkweli ndivyo ulivyo.Hamtakiwi kupanda kwenye mapaa na kupiga mayowe.Muwaache waamuzi waone wenyewe.
Naam,You simply see,Money Penny !aisee
eeeNaam,You simply see,Money Penny !
That's surely an alveo-palato acceleration@Moneypenny
mkeo ni mke wa ayubu au wa kwako?Sio kila wakati umsikilize mkeo mfano halisi ni Ayubu alishauriwa na mke wake amkufuru Mungu...
Maisha bila vivid references hayaendi na kukubaliwa na wabishi@Money Pennymkeo ni mke wa ayubu au wa kwako?
duMaisha bila vivid references hayaendi na kukubaliwa na wabishi@Money Penny
You seem to be very flattered,Money Penny!
ntachat sikunyingine naenda kurekodi kipindi, we endelea ku comment tu na wengine wajeYou seem to be very flattered,Money Penny!
mkeo akiwa anafanya kazi benki ushauri wake utaufanyia kazi, sahivi si unamdharau sababu anakusaidia kuuza mkaa!Mke wangu hua ansnishauri tu, na sio kila ushauri nitaufanyia kazi
Usisahau kuweka mada yako ya mke asikilizwe kwenye rekodi yako.ntachat sikunyingine naenda kurekodi kipindi, we endelea ku comment tu na wengine waje
sauwaUsisahau kuweka mada yako ya mke asikilizwe kwenye rekodi yako.
Kwamba ww sio binadamu hauishi kwa kujifunza mifano kwa wengine?mkeo ni mke wa ayubu au wa kwako?
hachomwi mtu, hateseki mtu... kuumia kutaka. Kwa sasa hakuna mwanamke anayesumbua kwa lolote na nimeanza kuijiwa na wale walioatabiriwa kwenye maandiko wakisema tutakula vyetu na kuvaa vyetu, tunakuomba Bwana wewe tuitwe tu kwa jina lako.! Mwanaume ni kichwa na atabakia kichwa milele.motoni shetani atakuchoma na Gesi na duniani utateseka tu
Sauwahachomwi mtu, hateseki mtu... kuumia kutaka. Kwa sasa hakuna mwanamke anayesumbua kwa lolote na nimeanza kuijiwa na wale walioatabiriwa kwenye maandiko wakisema tutakula vyetu na kuvaa vyetu, tunakuomba Bwana wewe tuitwe tu kwa jina lako.! Mwanaume ni kichwa na atabakia kichwa milele.
Kweli shida ipo kwakoKwamba ww sio binadamu hauishi kwa kujifunza mifano kwa wengine?
Sio kila jambo lazma likutokee ndio ujifunze namna ya kukabiliana nalo.
Turudi pale pale kwenye mada...sio kila jambo umsikilize mkeoKweli shida ipo kwako
Biblia haisemi ivyoTurudi pale pale kwenye mada...sio kila jambo umsikilize mkeo