Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #101
tafuta mwenyewe kwenye biblia yako me sina ya kiswahiliKiswahili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tafuta mwenyewe kwenye biblia yako me sina ya kiswahiliKiswahili?
tusikilize tuNimesoma almanusura nitupe simu nlikuwa naenda mahali nimeahirisha
Understand the words...1 Peter 3:7-9 New Living Translation (NLT)In the same way, you husbands must give honor to your wives. Treat your wife with understanding as you live together. She may be weaker than you are, but she is your equal partner in God's gift of new life. Treat her as you should so your prayers will not be hindered.
😎tafuta mwenyewe kwenye biblia yako me sina ya kiswahili
🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Nimekaa nae namsikiliza anasema tushone nguo za kufanana 😏😏😏tusikilize tu
Na mtumie vitenge mfanane na Mbilia Bel.🤔Nimekaa nae namsikiliza anasema tushone nguo za kufanana 😏😏😏
kwahiyo mmeshona kitenge>?Nimekaa nae namsikiliza anasema tushone nguo za kufanana 😏😏😏
so mtusikilizeUnderstand the words...
1:- Treat her with understanding (Not seeking advice).
2:-She might be weaker ( Correct 💯 they are weak). now how can you pick advices from weak people 🤔🤔🤔.
3:- To treat her so that your prayers will not be hindered (correct 💯, because they are also humans).
So what....?
Nimesepa kwenda kijiweni sijamjibu naona anataka kuniletea pigo za kiree hapakwahiyo mmeshona kitenge>?
🤣🤣🤣🤣Hamna namtania tu mi ni team kataa ndoa ni mwendo wa sogea tuishiNa mtumie vitenge mfanane na Mbilia Bel.🤔
hahahahahaNimesepa kwenda kijiweni sijamjibu naona anataka kuniletea pigo za kiree hapa
kubali ushone j2 tu🤣🤣🤣🤣Hamna namtania tu mi ni team kataa ndoa ni mwendo wa sogea tuishi
motoni shetani atakuchoma na Gesi na duniani utateseka tu....muda wa kumsikiiza mwanamke kwa kila kitu ni kumsikiliza kilio chake wakati unampelekea moto tu. Mengine msikilize kwa kumtekelezea yaliyo ndani ya uwezo wako na akikupa ushauri changanya na zako kwa zaidi ya 99% kisha tenda.
asanteNakubaliana kwa asilimia 98
Hivi,huwa mnajiweka kwenye kundi kama la "waokozi" dhidi ya wanaume?Daraja mnalojigawia si stahiki yenu.motoni shetani atakuchoma na Gesi na duniani utateseka tu
aiseeHivi,huwa mnajiweka kwenye kundi kama la "waokozi" dhidi ya wanaume?Daraja mnalojigawia si stahiki yenu.
Ukweli ndivyo ulivyo.Hamtakiwi kupanda kwenye mapaa na kupiga mayowe.Muwaache waamuzi waone wenyewe.aisee