Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
Na Mungu kasema mtuskize ili maombi yenu yasizuiliweMungu mwenyewe hawaelewi hawa viumbe mimi ni nani mpaka niwasikilize. Ndo maana alisema ishini nao kwa akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Mungu kasema mtuskize ili maombi yenu yasizuiliweMungu mwenyewe hawaelewi hawa viumbe mimi ni nani mpaka niwasikilize. Ndo maana alisema ishini nao kwa akili
Biblia umeandika mwanamme ampende mkewe na kumsikiliza ili maombi ya mwanaume yasizuiliweAcha kutupotosha sababu iliyomfanya adamu apewe adhabu ya kula kwa jasho ni kumsikiliza mkewe Eve. Mwanaume anayeongozwa na mkewe hana tofauti gari bovu.
Ameenda youtubeHalf american unaitwa huku
Mmmh ivyi unafiki kwa nn waarabu wamefanikiwa kumthibiti mwanamke na still maisha yao yako boraNdio hivyo
Kwani uongo??
Tatizo hamtusikilizagi
Na wote mnaotusikiliza mnatoboaga Sana kimaisha
Tofautisha kupenda na kusikiliza.. tumeamriwa tuwapende sio kuwasilikiza kama unalo andiko la kuwasikiliza nitumie..Biblia umeandika mwanamme ampende mkewe na kumsikiliza ili maombi ya mwanaume yasizuiliwe
Kwenye kila kituNimefika kwa wakati shukrani, ila sijaona tuwasikilize kwenye nini
Aweke bando la kutosha, atusikilizeAmeenda youtube
Adam alipomsikiliza Eva aliyedanganywa na nyoka alifukuzwa na Mungu kutoka katika bustani ya eden.Tatizo hamtusikilizagi
Kufeli au mtu kupoteana ni kuanza kumsikiliza mkewe kwa kila kituNdio hivyo
Kwani uongo??
Tatizo hamtusikilizagi
Na wote mnaotusikiliza mnatoboaga Sana kimaisha
Adam alifaulu eeeh, ibrahim je, tuachane na hao niambie kuhusu samsoni, yawezekana samson alikuwa na mahaba ya kihindi, yule mfalme suleiman alifanyaje kwa matakwa ya esta aliishia kukata askari wake mtiifu kichwa. Review uziwako urekwbishe kichwa cha habari. For every failure of a man there is a woman hidden behind. Nyie wenyewe hum mwanaume akikaa kibra mnampukutisha hadi nauli
Hapo kwenye kumsikiliza mkewe umetia chumvi, Biblia inakazia mwanamke kumtii mwanaume, kwa maana ya kwamba mwanaume ndiyo msemaji wa mwisho, hakuna cha kumsikiliza na kumtii mwanamke.Biblia umeandika mwanamme ampende mkewe na kumsikiliza
NI vile Biblia hausomi hata nikilipa maandiko utakataaKama ni mwanamke ndiye katoa hili wazo siyo tatizo maana ata wanawake wao kwa wao huwa hawajielewi vipi kumshauri mwanaume 🤔🤔🤔
Kasome tena Biblia au Google sehemu wameandika mwanammee apomsikiza mkewe maombi yake yatazuiliwaHapo kwenye kumsikiliza mkewe umetia chumvi, Biblia inakazia mwanamke kumtii mwanaume, kwa maana ya kwamba mwanaume ndiyo msemaji wa mwisho, hakuna cha kumsikiliza na kumtii mwanamke.
Biblia imesema wazi kabisaCorrection,
Esta alifanya kichwa cha Hamani kikatwe Kwa ushawishi aliokuwa nao Kwa Mumewe Mfalme Ahasuero.
BTW, Ile ni karma maana Hamani alikuwa anafanya fitina na husda Kwa Moridekai.. Mjomba na mlezi wa Esta.
Tujifunze kuchagua vita na Watu wa kuwafanyia vita.
Biblia imesema msipotusikiza maombi yenu yanazuiliwa, hamuendi mbaliKufeli au mtu kupoteana ni kuanza kumsikiliza mkewe kwa kila kitu
Hahahaha kwakweliAweke bando la kutosha, atusikilize
sidhani kama ni sahihi sanaKwenye kila kitu
Sawa itumie biblia kuanzia kuanguka kwa adamu, suleimani samsoni mpaka maneno ya yesu kuwa tuishi na wanawake kwa akili.Biblia imesema msipotusikiza maombi yenu yanazuiliwa, hamuendi mbali
Nimesoma sijaona hilo onyo, yaani mwanzo hadi Ufunuo hakunaKasome tena Biblia au Google sehemu wameandika mwanammee apomsikiza mkewe maombi yake yatazuiliwa
Ukizuiliwa maombi utasogea kwenda wap