Mwanaume andaa future nzuri kwa wanao, ila usitegemee lolote kwa wanao

Mwanaume andaa future nzuri kwa wanao, ila usitegemee lolote kwa wanao

Akili za kitoto! We are all investors. Tunapanda ili baadaye tuvune. Kama huwezi kuvuna, yanini kupoteza fedha? Hizo pesa ambazo ulitakiwa kuenjoy uzeeni ndizo unatumia kuinvest kwa mtoto. Acheni akili za kijinga
baba yako unamuhudumia kama unavyo muhudumia mkeo? Kama si unapeleka sukari na sabun kwa mwez mara moja? Au umewaacha wanateseka kijijin we unaponda raha na mkeo au hujaoa kabisa
 
Mtoa mada umeshindwa kuielezea hoja yako, ngoja nikusaidie ipo hv kifupi imeandikwa: "mali, pesa na dhahabu mtoto huridhi kwa baba yake wake" sasa wewe baba kazana kumsomesha mtoto alafu usahau kujiwekezea wewe mwenyewe, kumbuken watoto wakikua wakifika muda wa kuoa, mzaz huna nafasi`
 
Akili za kitoto! We are all investors. Tunapanda ili baadaye tuvune. Kama huwezi kuvuna, yanini kupoteza fedha? Hizo pesa ambazo ulitakiwa kuenjoy uzeeni ndizo unatumia kuinvest kwa mtoto. Acheni akili za kijinga
Jaribu kumuelewa basi, Kwan hakuna wanaoinvest na wasipate faida??, Binafsi nimemuelewa saana wape malezi mazuri watoto ila usitegemee chcht kutoka kwao na ikitokea wamekusaidia basi shukur mungu,

Mfano mzuri Ni wew mwenyew ukute unatumbua tu mivitu huko uliko ila ukute una miezi mitatu hujamjulia hali baba ako
 
Kuna wazee wanaomba pesa Kwa watoto wakati alipokea mafao na hukuwapa hata Senti Moja watoto na mafao yote Kwisha. Watoto pia wanafamilia na wanamajukumu ya kipesa. Mzazi anakuwa anasumbua watoto wakati hakujiandaa na maisha ya uzeeni. Tengeneza maisha Yako bila kuja kutegemea watoto wakuletee chakula. Wengi hujisahau na kuona kuwa akipata pesa ya mafao ndiyo ataanza kuwekeza. Wekeza ukiwa Bado kwenye mzunguko wa pesa. Unakuta mtu anajenga nyumba ya kwenye kiwanja Cha 20 Kwa 20 na Hana hata uwezo wa kulima mchicha. Tafuta shamba kubwa nje ya mji au kijijini Anza kuwekeza kidogo kidogo mifugo na kilimo na siku ukistaafu unakwenda kuishi huku. Huwezi kutegemea kulishwa na watoto.
 
baba yako unamuhudumia kama unavyo muhudumia mkeo? Kama si unapeleka sukari na sabun kwa mwez mara moja? Au umewaacha wanateseka kijijin we unaponda raha na mkeo au hujaoa kabisa
Kitu hujui acha! Sisi tulikuwa tunataniwa miaka hiyo tulipokuwa Sekondari kuwa tumetumwa na kijiji. Ni kweli hata mpaka leo tumevinyanyua vijiji vyetu kutokana na elimu yetu. Sembuse mzazi. We acha tu. Ila wanetu wanadai tuna wajibu wa kuwatunza hadi tufe!!! Imagine. Hiki ni kizazi sijui
 
Jaribu kumuelewa basi, Kwan hakuna wanaoinvest na wasipate faida??, Binafsi nimemuelewa saana wape malezi mazuri watoto ila usitegemee chcht kutoka kwao na ikitokea wamekusaidia basi shukur mungu,

Mfano mzuri Ni wew mwenyew ukute unatumbua tu mivitu huko uliko ila ukute una miezi mitatu hujamjulia hali baba ako
Issue ni mindset inayonisumbua. Mpaka sasa kwa upande wangu simtegemei mtoto, ila inaboa mtoto kutokuwa na shukrani
 
Kuna wazee wanaomba pesa Kwa watoto wakati alipokea mafao na hukuwapa hata Senti Moja watoto na mafao yote Kwisha. Watoto pia wanafamilia na wanamajukumu ya kipesa. Mzazi anakuwa anasumbua watoto wakati hakujiandaa na maisha ya uzeeni. Tengeneza maisha Yako bila kuja kutegemea watoto wakuletee chakula. Wengi hujisahau na kuona kuwa akipata pesa ya mafao ndiyo ataanza kuwekeza. Wekeza ukiwa Bado kwenye mzunguko wa pesa. Unakuta mtu anajenga nyumba ya kwenye kiwanja Cha 20 Kwa 20 na Hana hata uwezo wa kulima mchicha. Tafuta shamba kubwa nje ya mji au kijijini Anza kuwekeza kidogo kidogo mifugo na kilimo na siku ukistaafu unakwenda kuishi huku. Huwezi kutegemea kulishwa na watoto.
Wewe nakubaliana na hoja zako. You have to invest ili baadaye upate mavuno au usipate pia kwa bahati mbaya. Kama hukulima huwezi kuvuna. Utavuna nini? Issue si kuzaa bali ni kuzaa na kuhakikisha unamtunza mtoto, unampeleka shule kulingana na uwezo (kwa kuuza asset au kufanya vibarua, si wakati mtoto anahitaji daftari wewe baba unadai huna ingawa jioni unarudi umelewa) hiyo ndiyo investment kwa mtoto ninayosema.
 
By the way,ulichoondika ndicho kitu sahihi kinachotakiwa kuwa!Mzee mwerevu analea Hadi kizazi chake Cha pili na Cha tatu kama Mungu kamzawadia maisha marefu..Hakuna Raha kama kuwa na Babu anayejimudu kiuchumi iwe Anaishi mjini au mashamba, msaada Kwa mzazi hautakiwi kuwa deni yaani mtoto asigeuzwe ndio mkombozi hapana! Tangu kuumbwa Kwa misingi ya mlimwengu mtoto ndie anarithi Kwa baba na sio baba kurithi Kwa mtoto..... Lakini Sasa ngozi nyeusi utasikia anakaambia katoto kua mwanangu uje unikomboe🙄🙄🙄🙄🙄umeshindwa kujikomboa mwenyewe unamtwika mtoto msalaba
 
Umtegemee mwanao akifa kabla yako itakuwaje?
Issue hapa napingana na mtoa mada anaposema
==Mwanaume tafuta pesa kwa bidii, wape watoto elimu bora, wape mahitaji yao muhimu, jenga nyumba nzuri waishi vizuri, == mpaka hapa ni sawa! Huo ndiyo uanaume.

Nampinga kwa nguvu zote kuanzia hapa lakini ukizeeka usitegemee lolote kutoka kwa wanao. Hasa neno USITEGEMEE. Investment ni risk inajulikana na ndiyo maana unazaa watoto wengi ili angalau upate wa kukufaa.
 
Akili za kitoto! We are all investors. Tunapanda ili baadaye tuvune. Kama huwezi kuvuna, yanini kupoteza fedha? Hizo pesa ambazo ulitakiwa kuenjoy uzeeni ndizo unatumia kuinvest kwa mtoto. Acheni akili za kijinga
Wewe ni utakuwa baba msumbufu uzeeni... huwezi sema unaivest Kwa mtoto, mtoto ni jukumu lako la lazima,maana ulimleta Kwa Raha zako...
 
Issue hapa napingana na mtoa mada anaposema
==Mwanaume tafuta pesa kwa bidii, wape watoto elimu bora, wape mahitaji yao muhimu, jenga nyumba nzuri waishi vizuri, == mpaka hapa ni sawa! Huo ndiyo uanaume.

Nampinga kwa nguvu zote kuanzia hapa lakini ukizeeka usitegemee lolote kutoka kwa wanao. Hasa neno USITEGEMEE. Investment ni risk inajulikana na ndiyo maana unazaa watoto wengi ili angalau upate wa kukufaa.
Kwa Nini umtegemee mtoto acheni zenu bwana nyie ndio mnakuwa wazee wasumbufu mkiendekeza hayo mawazo,andaa vitega uchumi vyako mtoto umtegemee akupe msaada wa Hali sio mali...Hivi hamuoni wenzetu kina Mo Dewji wanavyoenjoy kisa kuwa na Babu wenye akili ,,, acheni mawazo ya kizembe eti nizae watoto wengi Ili nipate wa kunisaidia uzeeni!hayo ni mawazo duni sana
 
Kwa Nini umtegemee mtoto acheni zenu bwana nyie ndio mnakuwa wazee wasumbufu mkiendekeza hayo mawazo,andaa vitega uchumi vyako mtoto umtegemee akupe msaada wa Hali sio mali...Hivi hamuoni wenzetu kina Mo Dewji wanavyoenjoy kisa kuwa na Babu wenye akili ,,, acheni mawazo ya kizembe eti nizae watoto wengi Ili nipate wa kunisaidia uzeeni!hayo ni mawazo duni sana
Kwa bahati mbaya nina wajukuu
 
Na huo ndio ukweli sasa ninyi endeleeni kukataa ndoa na kujaza single mothers mitaani mkifikiri mnawakomoa wanawake, fainali uzeeni mwisho wa siku mama atabaki na watoto wake watamlea wakati baba atabaki na malaya wake aliokuwa anawanunua, mnaacha kutulia na familia zenu na kuwapa muda wake zenu na watoto wenu mnajikuta miamba kuzini na malaya na kulewa na washkaji kila siku
Neno mkuu💪
 
Back
Top Bottom