Una uwezo mdogo sana wa kuchanganua mamboHuyu anatafuta karo ya mtoto wake
Halafu litoto la JF ati likifanikiwa mbeleni linadai kwanini hakujiwekea akiba ya uzeeni
View attachment 2880074
Mingi ya mitoto inayosupport huu Upuuzi ni ya single mother
NI akili kubwa sana hizo, uzwazwa unao weweHizo sio akili kubwa,huo ni uzwazwa
Kwann tunawaogopa sana wake zetu siku hizi bro ?Mwanaume tafuta pesa kwa bidii, wape watoto elimu bora, wape mahitaji yao muhimu, jenga nyumba nzuri waishi vizuri, lakini ukizeeka usitegemee lolote kutoka kwa wanao.
Enjoy maisha ya uzee kwa pesa zako mwenyewe ulizochuma ujanani.
Waliyaona haya wenzio.Akili za kitoto! We are all investors. Tunapanda ili baadaye tuvune. Kama huwezi kuvuna, yanini kupoteza fedha? Hizo pesa ambazo ulitakiwa kuenjoy uzeeni ndizo unatumia kuinvest kwa mtoto. Acheni akili za kijinga
Kwa vile watu weusi wanaacha kutumia akili baada ya kustaafu...Ndio maana wanazaa mapema eti wasomeshe mpaka miaka 60 wawe wamemaliza kila kitu ,kifuatacho kuanza kutegemea Watoto...By the way,ulichoondika ndicho kitu sahihi kinachotakiwa kuwa!Mzee mwerevu analea Hadi kizazi chake Cha pili na Cha tatu kama Mungu kamzawadia maisha marefu..Hakuna Raha kama kuwa na Babu anayejimudu kiuchumi iwe Anaishi mjini au mashamba, msaada Kwa mzazi hautakiwi kuwa deni yaani mtoto asigeuzwe ndio mkombozi hapana! Tangu kuumbwa Kwa misingi ya mlimwengu mtoto ndie anarithi Kwa baba na sio baba kurithi Kwa mtoto..... Lakini Sasa ngozi nyeusi utasikia anakaambia katoto kua mwanangu uje unikomboe🙄🙄🙄🙄🙄umeshindwa kujikomboa mwenyewe unamtwika mtoto msalaba
Ukirejesha fadhila nawe utarejeshewaKutafuta pesa haijawahi kua kazi nyepesi..
Ni vyema kurudisha fadhila kadri tunavyoweza kwa wazazi wetu wakiwa vijana au wazee.
Ulaya waliandaa mifumo ya kupita tangu unazaliwa Hadi kifo upite wapi thus wao miaka 18 tayari unajitegemea.Kwa vile watu weusi wanaacha kutumia akili baada ya kustaafu...Ndio maana wanazaa mapema eti wasomeshe mpaka miaka 60 wawe wamemaliza kila kitu ,kifuatacho kuanza kutegemea Watoto...
Tunajilimit eti miaka 60 mtu akuwa hopeless na maisha anakuwa tegemezi kutupia lawama watoto,kuna mzee hapa naona anastaafu mwaka huu ila mpaka hivi sasa ana mikopo ana watoto kama 6 ...Kujenga naona anangojea kustaafu huyu lazima alete tabu halafu kachoka sana..
Mbona nje wazee kibao wapo 80's wapo fresh !? Huku mtu miaka 60 basi kama mzee wa miaka 100...Tatizo ni pesa ukiwa na pesa fresh wakina mzee kikwte wapo 70 hata mpira wanacheza.
Mnavyoongea utasema jambo raisi lkn frshMwanaume tafuta pesa kwa bidii, wape watoto elimu bora, wape mahitaji yao muhimu, jenga nyumba nzuri waishi vizuri, lakini ukizeeka usitegemee lolote kutoka kwa wanao.
Enjoy maisha ya uzee kwa pesa zako mwenyewe ulizochuma ujanani.
Mjinga apa ni weweAkili za kitoto! We are all investors. Tunapanda ili baadaye tuvune. Kama huwezi kuvuna, yanini kupoteza fedha? Hizo pesa ambazo ulitakiwa kuenjoy uzeeni ndizo unatumia kuinvest kwa mtoto. Acheni akili za kijinga
niape? Au ulitaka kuandika hapa.Mjinga apa ni wewe
"Niape" ndio Nini Unajifanya Umesoma Ujui Matumizi Ya Nafasiniape? Au ulitaka kuandika hapa.
Umeelezea vizuri Jomtoto umtegemee akupe msaada wa Hali sio mali.
Sifahamu una umri gani, lakini naamini una wazazi.Kwanini watu wanataka wakizeeka watoto wawasaidie? Kama unataka hela si ungefanya biashara hiyo miaka yote unalea?
Hamna sababu za msingi zaidi za kutaka watoto?
ShukraniFadhila zako kwa wazazi kukulea na kusomesha; (pengine kukutafutia ajira) hadi hapo ulipofikia ni zipi?
Una maana gani kumsaidia kifedha ni mpaka iwe lazima?Shukrani
Kuwasaidia kifedha ni mpaka iwe lazima, haifai mzazi kumtegemea mtoto, hapo ukute mtoto ana familia yake na yeye
Namaanisha yeye tayari anatakiwa anajitegemea, mimi kumsaidia iwe ni pale anapokwama basiUna maana gani kumsaidia kifedha ni mpaka iwe lazima?
Ni msaada gani mwingine utakuwa unampa?