MgosiMnubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2022
- 890
- 1,487
Asa kwa hao ulioweka umri wao kama kigezo kikuu wataweza kweli kusugua?Kweli kiongozi kuzaa nahisi wanatosha nahitaji firaha kamili kwangu na watoto na mtarajiwa wangu
Sawa. Japo kwanini unataka mwanaume asiye na uwezo wa kuzaa?I cant reply it here……. But mpk nasema mtu anaweza kuwamiliki kisheria ninamaanisha kuna uwezekano wa mazingira hayo
NaamSawa. Japo kwanini unataka mwanaume asiye na uwezo wa kuzaa?
Maana hata ningekuwa mimi mwanaume sina uwezo wa kuzaa ningetaka nioe ambaye hana uwezo wa kuzaa.
Na sio aliezaa au mwenye uwezo wa kuzaa sababu atanisumbua tu.
Ubinadamu jinsi ulivyo ni Bora zaidi upate mwenye uwezo wa kuzaa kama wewe.
I am taking this into consideration, yes you have a logical point, japo nimetamani kubebeana madhaifu na mtu ambaye anafunga na kuomba kupata furaha ya aina hiyo, we all deserve happiness.Sawa. Japo kwanini unataka mwanaume asiye na uwezo wa kuzaa?
Maana hata ningekuwa mimi mwanaume sina uwezo wa kuzaa ningetaka nioe ambaye hana uwezo wa kuzaa.
Na sio aliezaa au mwenye uwezo wa kuzaa sababu atanisumbua tu.
Ubinadamu jinsi ulivyo ni Bora zaidi upate mwenye uwezo wa kuzaa kama wewe.
Nimekuelewa. Mungu akufanikishie jambo lako iwe kheri.Nahitaji kutengeneza na Mungu na sio kuendelea kuishi kwenye zinaa na uzinzi.
Best wishes Rosita for your appropriate match of your desire 🌹 🌹🌹Ahsante , hii inatoa moyo, we need kumove on na sio kuendelea kuishi kwenye majuto ya makosa yetu ya awali. Mungu anasamehe
Sijajua kwa nini unataka mwanuame asiyezaa?Habari
Najitokeza kwenu wana jukwaa kutafuta mwanaume matured kuanzia miaka 38-45 na mwenye hofu ya Mungu ambaye anatamani kuwa na mtoto/watoto lakini kwa namna moja au nyingine imeshindikana kwa njia ya kawaida lakini anauwezo wa kusex.
Mimi ni single mother mwenye watoto 3 natamani kuunganisha familia na mtu wa aina hiyo na tukifanikiwa kufunga ndoa tutafuata taratibu za kisheria kabisa ili kukamilisha hilo na watatumia Sir Name yako na utawamiliki kihalali.
Wasifu wangu
Miaka 35, Mkristo, Mwajiliwa sekta binafsi nina stable economy na watoto nawamudu na kuwalea vzr tu but nimekosa furaha ya mume na wao wanakosa furaha ya baba kutokana na sababu zilizojuu ya uwezo wetu. Naamini katika complete family japo kwa sasa haikuwa riziki yangu na natamani kurekebisha kwa mtu mwenye uhitaji wa kupata furaha ya watoto. (Win- Win Situation).
Hili swala zito haliitaji utani naomba only serious people waje DM.
Ahsante
Eeee kumbe,Nahitaji kutengeneza na Mungu na sio kuendelea kuishi kwenye zinaa na uzinzi.
Ningekuwa mkristo ningefaa sana hapaAhsante kwa tahadhari, najua wapo wengi, nitakuwa makini kuwachuja, nahitaji ninayemlenga ajue this post is not for child support au nimeshindwa kulea, tunahitaji upendo kama ambavyo yeye anahitaji upendo
Aisee. Gen Zero hamna kitu humo.Asa kwa hao ulioweka umri wao kama kigezo kikuu wataweza kweli kusugua?
Labda kama unahitaji baba tuuh ila kama ni mizagamuano kwa kwenda mbele tafuta Gen Z wako vizuri kuliko ao wazee unaowawazia.
Lakini ni ushauri tuuh kila la kheri mkuu.