Mwanaume auliwa kwa kukatwa mapanga nyumbani kwa mpenzi wake, yadaiwa alikuwa akitembea na mke wa mtu

Mwanaume auliwa kwa kukatwa mapanga nyumbani kwa mpenzi wake, yadaiwa alikuwa akitembea na mke wa mtu

Wanaume wengi hawajui kuachika hata kama kosa ni lao wanabaki kuwa ving'ang'anizi utadhani waliibandika wao hio mbususu na kuipa kopiraiti ya peke yao.

Ukiachwa achika acha watu waishi kwa amani
kama humtaki mtu usile hela yake, mtu ana invest kwako miaka , then unamuacha kisa umepata mwingine, mauaji yatazidi tu kuongezeka ukahaba umezidi kuwadanganya wanawake. Wezi wa hela kwa kigezo cha mapenzi hawatoachwa na wasioujua kusamehe.
 
Upuuzi unaacha mwanamke unauwa mwanaume mwenzio asiyejua lolote huenda
 
Mkuu umesoma uzi na kuuelewa au umekurupukia tu comment yangu?
kama humtaki mtu usile hela yake, mtu ana invest kwako miaka , then unamuacha kisa umepata mwingine, mauaji yatazidi tu kuongezeka ukahaba umezidi kuwadanganya wanawake. Wezi wa hela kwa kigezo cha mapenzi hawatoachwa na wasioujua kusamehe.

Hebu pitia huo mstari uelewe
“Taarifa nilizonazo ni kwamba, kwa muda mrefu huyo mwanamke aliachana na mume wake (ambaye ni mtuhumiwa), hivyo alianzisha uhusiano wa mapenzi na marehemu, hata hivyo, mtuhumiwa alikuwa akiendelea kumfuatilia huyu mwanamke," amesema Loki.

“Leo kaamua kumvizia na kumkuta ndani na kuamua kumuua mwanaume mwenzake kwa kumkata mapanga," alisema.
Hakuna aliyekula pesa ya mwenzie hapo bali muuaji hakupenda kuona mwanamke akiwa kwenye mahusiano mengine baada ya kuachana.
 
Back
Top Bottom