Mwanaume awakimbia wadada na kuwaachia bili Bar.

Mimi huwa natembea na pesa ya emergence kama naenda bar looh aibu siwez hii wanaume jaman kwann lakin mnawafanyia hivi wadada wa watu
Hao wadada aibu NDIO hawana, itakuaje waagize mivyakula yote ayo pengine YY mwenye mshkaji hajawahi kununua ata chips yai
 
Bado mapema sana rafiki, maana hiyo lugha ya bepari ili niielewe, lazima kwanza nikate jibapa aiseeeee......
Zaidi ya hapo, sanasana nita comment tu "Okay" ili nisiaibike humu haki

Hahaa.

Acha hizo.

Wewe wa long time na najua sio kweli kinapanda.
 
Seems like once you are a woman you aint skint!
 
I'm proud of you
 
Seems like once you are a woman you aint skint!
Once you grow financially and morally, you bask in the glory of your maturity and independence.

And only upon financial independence does a woman say no to pettiness from the opposite sex.
 
Vipi yule aliyekukimbia na wewe alirudi ??
 
Once you grow financially and morally, you bask in the glory of your maturity and independence.

And only upon financial independence does a woman say no to pettiness from the opposite sex.
Not all women CAN grow financially. Some of them are not financially strong. So they aint women anymore?
Maturity got nothing to do with MONEY.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…