Kupitia comment's zako nakuza sana uwezo wangu ktk kuielewa lugha ya waingereza hasa ktk kusoma na kuzungumza(bado kuandika)
Bado mapema sana rafiki, maana hiyo lugha ya bepari ili niielewe, lazima kwanza nikate jibapa aiseeeee......iko nini sasa rafiki
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji41][emoji41]View attachment 762418
Thanks KaruceeRead more books honey.
You will be just fine.
Hao wadada aibu NDIO hawana, itakuaje waagize mivyakula yote ayo pengine YY mwenye mshkaji hajawahi kununua ata chips yaiMimi huwa natembea na pesa ya emergence kama naenda bar looh aibu siwez hii wanaume jaman kwann lakin mnawafanyia hivi wadada wa watu
Bado mapema sana rafiki, maana hiyo lugha ya bepari ili niielewe, lazima kwanza nikate jibapa aiseeeee......
Zaidi ya hapo, sanasana nita comment tu "Okay" ili nisiaibike humu haki
Tupo wengi kumbee[emoji23][emoji23][emoji23]wengine mpaka tulewe na giza liwe limekolea...Bado mapema sana rafiki, maana hiyo lugha ya bepari ili niielewe, lazima kwanza nikate jibapa aiseeeee......
Zaidi ya hapo, sanasana nita comment tu "Okay" ili nisiaibike humu haki
Seems like once you are a woman you aint skint!Na nahisi hii ndiyo trend siku hizi. Na sana inawakuta girls, not women.
A woman sure can take care of her own bills and those of her man and fellow friends if she chooses to.
Girls are dependent on a man. Na ili kuonekana they are dating someone who matters they tag along a bunch of their friends.
If you cannot afford to party unless a man is paying your bills then grab a bottle of wine, play some music and enjoy in the comfort of your rooms.
Hivi wanawake mnaoandamana hampo humu at least mtueleze maandamano yenu ni juu ya nini?![emoji41][emoji41]View attachment 762418
Hadi nipate jibapa, tehteehhh.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Hahaa.
Acha hizo.
Wewe wa long time na najua sio kweli kinapanda.
Mmh,.bila shaka watakuwepo,..hebu tungojee tuone kama watajitokeza...Hivi wanawake mnaoandamana hampo humu at least mtueleze maandamano yenu ni juu ya nini?!
I'm proud of youNa nahisi hii ndiyo trend siku hizi. Na sana inawakuta girls, not women.
A woman sure can take care of her own bills and those of her man and fellow friends if she chooses to.
Girls are dependent on a man. Na ili kuonekana they are dating someone who matters they tag along a bunch of their friends.
If you cannot afford to party unless a man is paying your bills then grab a bottle of wine, play some music and enjoy in the comfort of your rooms.
Once you grow financially and morally, you bask in the glory of your maturity and independence.Seems like once you are a woman you aint skint!
Karibu chamani, mana hii lugha hata Mzee Baba anaiogopa....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Tupo wengi kumbee[emoji23][emoji23][emoji23]wengine mpaka tulewe na giza liwe limekolea...
Hadi nipate jibapa, tehteehhh.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Vipi yule aliyekukimbia na wewe alirudi ??Jana nimecheka sana sana kwa sababu wadada walikimbiwa na kuachiwa bili baada ya kula na kunywa kama vile hawatakula tena.Walikuja na mwanaume aliyeonekana ana hela hawa wadada walikuwa watatu wanaonekana ni wanachuo wa chuo kimoja hapa tabora.
Wakaagiza mavinywaji machupa makubwa sijui yanaitwaje kila mtu moja moja yapo kama soda ya mirinda nyeusi.Jikoni wakaagiza kuku wawili na chipsy mayai kila mtu wakala zote kwa uroho hawajabakisha hata shingo waroho sana.
Huyo mkaka aliagiza tu maji makubwa basi.
Baada ya bili kupelekwa huyo mkaka akasema ngoja akatoe hela kwenye Atm kumbe akawa amekimbia moja kwa moja huku wadada walikuwa wanapiga stori wanagonga na mikono sijui walikuwa wanasema nini.Muda ulivyozid kwenda nahisi wakampigia simu haipatikani ikabidi waanze kuhaha wamekaaa hapo mpaka usiku saa 3 ndio kuna mdada mwingine akaja kulipa hela wakaondoka.Nikasema jaman pole yao tu wakome kudowea vya wanaume saivi wamekuwa wachoyo sana wabahili sana sana wanaume wamekuwa wachoyo .
Sawa mkuuMida bado lakini.
Wanasema ukipiga jibapa usipotema yai bora uache tu,unapoteza pesa!Hadi nipate jibapa, tehteehhh.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Not all women CAN grow financially. Some of them are not financially strong. So they aint women anymore?Once you grow financially and morally, you bask in the glory of your maturity and independence.
And only upon financial independence does a woman say no to pettiness from the opposite sex.