Mwanaume awakimbia wadada na kuwaachia bili Bar.

Mwanaume awakimbia wadada na kuwaachia bili Bar.

Ndugu zangu bar muende lakini usikose pesa zako kwenye pochi
Si mpaka uwe nazo. Sasa nikikuita uni join utakataa coz huna hela? Njoo peke yake uepuke kukimbiwa (mimi sikimbii nkwambia live nimekuita wewe sio kijiji)
 
Na nahisi hii ndiyo trend siku hizi. Na sana inawakuta girls, not women.

A woman sure can take care of her own bills and those of her man and fellow friends if she chooses to.

Girls are dependent on a man. Na ili kuonekana they are dating someone who matters they tag along a bunch of their friends.

If you cannot afford to party unless a man is paying your bills then grab a bottle of wine, play some music and enjoy in the comfort of your rooms.

Sure thing, i like a chick who can take care of herself, sometimes you go out n have fun together and when yo about to grab yo wallet she says dont worry bae, i got it. Thats what i like about independent woman
 
Sasa mdada unaendaje bar hata kama umeitwa huna hela hapo ndio ninapowashangaa wadada wa mjini sina hela siwezi toka hata unialike sikuji
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]aiseeee mm mtu akikimbia aache bill namvizia sku anapita nitamchapa makondeee

Alafu unaendaje bar na mwanaume kapuku hana pesaaa
 
Sure thing, i like a chick who can take care of herself, sometimes you go out n have fun together and when yo about to grab yo wallet she says dont worry bae, i got it. Thats what i like about independent woman
Loooh kwenye mia utapata mmoja
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]aiseeee mm mtu akikimbia aache bill namvizia sku anapita nitamchapa makondeee

Alafu unaendaje bar na mwanaume kapuku hana pesaaa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
safi kabisa, ni hivyo kuna wadada hivyo hivyo brother cjui aliwatoa wapi..wamefika pale wakaambiwa waagize, wakaagiza mishikaki mia300 na savana 3 tatu, tukaona fresh tu, mzigo ukaisha, wakaagiza kuku wa kienyeji wawili, ikabidi nimuage brother...akasema leo watalipa, ckutaka kujua ilikuwaje baada ya mimi kuondoka ila cha ajabu nilikoelekea nilimkuta brother ashafika na yuko anapiga maji yake taratiibu...nilipomuuliza vipi, akajibu tayari..

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa mwanaume unawatoa out wanawake mfukon hujajipanga unategemea nn?
Aut alimtoa mmoja yakaja maandamano ndo maana akayaaga aende akaongezee ATM ili ayakabiri vizuri hayo maaandamano kufika huko akajiongeza baada ya kuona jumbe za maandamano zimekuwa kali sana.
 
Me nakunywaga maji tu bna.hata ukikimbia nalipia dozen nzima
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]au unaambiwa nenda kaagize chochote nakuja unaagiza maji makubwaa tu mpala mtu afike
 
Back
Top Bottom