Hyrax
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 964
- 2,675
Mwanamke ni kiumbe chenye kuvutia sana kwa asili ya uumbaji lakini ni kiumbe hatari kwa namna isiyoelezeka kwa urahisi, nachotaka kusema hapa ni kwamba mwanaume yeyote lazima uzingatie namna ya kuishi na hawa viumbe kwa umakini kubwa sana ndio maana Biblia imetuasa na kututahadharisha kuishi nao kwa akili (mental intelligence)
Mwanaume ukikosa kutumia your mental intelligence kwa ufanisi lazima kiumbe aitwaye mwanamke atakuvuruga akili zako uchanganyikiwe ukate tamaa na ukufeeee, akikukosa kwenye mental intelligence atakupata sehemu ya kati hapa nazungumzia kwenye mapishi ya chakula chake anachokulisha katika kipindi chote cha maisha yako utakayokuwa naye hapa kwa kujua au kutokujua atakupikia na atakulisha vitu visivyoeleweka kwa faida ya afya yako kwa kujua au kutokujua unaanza kufa taratibu mpaka magonjwa yanapojitokeza na utakuja kugundua kuwa sehemu ya kubwa ya afya yako kudhorota ni aina ya vyakula ulivyokuwa ukipikiwa na huyo mwanamke ambaye sasa hivi husikii wala huambiliki kuhusu yeye.
Akikukosa hapo kati lazima atakupata huku chini ambapo kupitia watoto mtakaowazaa atahakikisha anatengeneza uadui kati ya watoto wenu mwisho utapata fustruation uchanganyikiwe ujifie, last but not listed magonjwa mengi ya aibu huwa yanapitaga sana kwao kwa kukosa uaminifu unajikuta mwanaume upo mitegoni unashikwa na magonjwa ya masononeko.
Mwanaume!! Uwe makini na hawa, uwe makini na Eva. Kwaherini.
Mwanaume ukikosa kutumia your mental intelligence kwa ufanisi lazima kiumbe aitwaye mwanamke atakuvuruga akili zako uchanganyikiwe ukate tamaa na ukufeeee, akikukosa kwenye mental intelligence atakupata sehemu ya kati hapa nazungumzia kwenye mapishi ya chakula chake anachokulisha katika kipindi chote cha maisha yako utakayokuwa naye hapa kwa kujua au kutokujua atakupikia na atakulisha vitu visivyoeleweka kwa faida ya afya yako kwa kujua au kutokujua unaanza kufa taratibu mpaka magonjwa yanapojitokeza na utakuja kugundua kuwa sehemu ya kubwa ya afya yako kudhorota ni aina ya vyakula ulivyokuwa ukipikiwa na huyo mwanamke ambaye sasa hivi husikii wala huambiliki kuhusu yeye.
Akikukosa hapo kati lazima atakupata huku chini ambapo kupitia watoto mtakaowazaa atahakikisha anatengeneza uadui kati ya watoto wenu mwisho utapata fustruation uchanganyikiwe ujifie, last but not listed magonjwa mengi ya aibu huwa yanapitaga sana kwao kwa kukosa uaminifu unajikuta mwanaume upo mitegoni unashikwa na magonjwa ya masononeko.
Mwanaume!! Uwe makini na hawa, uwe makini na Eva. Kwaherini.