NDOA NI MAHUSIANO YA MUDA TU,UNAWEZA KUWA MREFU SANA AU MFUPI SANA LKN MNAWEZA SABABISHA MUDA UKAWA MREFUHata ndoa ya Barack Obama, kuna tetesi nayo iko hoi.
Rumors swirl around Barack and Michelle Obama's marriage as Michelle skips high-profile events, sparking online speculation. We break down the public's reaction, body language analysis, and whether the Obamas are facing real marital issues.
Pumbaf..... Ungekufa kwa kofi 1 tu.Hata mimi ningerudi kwani shida iko wapi π π π
Aiseee!Pumbaf..... Ungekufa kwa kofi 1 tu.
Labda ni kipindi baada ya yeye Elon kupata pesa zake za hisa kutoka PayPal ( PayPal mafia, nae alikuwa mmoja wao), halafu akawekeza pesa zote kwenye kampuni tatu , "Tesla, SolarCity na Starlink", majarida mengi yanasema kuwa kipindi hicho alikuwa anakopa pesa kutoka kwa kaka yake, na alikuwa analala kwenye kochi ofisini kwake.musk hajawahi kuyumba kiuchumi, hii ni Stori yake ya uongo ambayo Baba yake anaipinga vikali. Labda kama alimdanganya huyo bibie. Wakati anaenda Marekani na kusoma huko kabla hajakuwa Bilionea alikuwa akipewa hela na baba yake toka Mgodi wa kimagendo walipokuwa wakichimba Emerald huko Zambia. Walikua na Emerald nyingi to the point wana Hela hadi kwenye masanduku hayafungi vizuri, so claim yoyote kwamba aliyumba kiuchumi ni ya kutunga.
And women hate thatLabda ni kipindi baada ya yeye Elon kupata pesa zake za hisa kutoka PayPal ( PayPal mafia, nae alikuwa mmoja wao), halafu akawekeza pesa zote kwenye kampuni tatu , "Tesla, SolarCity na Starlink", majarida mengi yanasema kuwa kipindi hicho alikuwa anakopa pesa kutoka kwa kaka yake, na alikuwa analala kwenye kochi ofisini kwake.
Wanawake wengine nuksi tuuElon Musk hawezi rudiana na shetani, ndio maana baada ya kumuacha huyo mwanamke, mambo ya Elon yakawa mazuri sana, huyo ni ibilisi
Manzi ilitaka wa-spend, kumbe mwana ana maono makubwa mno.And women hate that
"Niliachana na Elon Musk baada ya yeye kuyumba sana kiuchumi lakini Kwa Sasa ninajutia kitendo changu cha kumuacha na sasa nataka kurudiana naye, sio kwa sababu ya Pesa zake nyingi Wala siyo kwa sababu amefanikiwa sana bali ninataka kurudiana nae kwa sababu ya Upendo wangu mkubwa kwake.
View attachment 3213815
Kwa Sasa ninampenda sana tena kwa upendo wa dhati kabisa." Hayo ni maneno ya TALULAH RILEY, mke wa zamani wa Elon Musk. Musk Kwa Sasa ndiye Tajiri namba moja Duniani.
Akaongezea na kusema:
"Sikumuacha Elon Musk kwa sababu nilitaka kumuacha Bali ni kwa sababu alikuwa akipitia msongo mwingingi wa mawazo. Kwasababu Nilikuwa na wasiwasi kuwa atapata mshtuko wa moyo ndiyo maana nikamuacha. Iko hivi, Kipindi hicho Yeye na kampuni yake yote waliyumba kiuchumi, ingawa nilimuwacha lakini Nilikuwa nikimuomba Mungu amuweke hai mtu huyu na apate mafanikio.
View attachment 3213817
Mwaka huo hatimaye niliamua kumwacha Mwezi Desemba wakati aliposahau kuniletea zawadi ya Krismasi, hii ilikuwa krismasi mbaya sana kwangu, kwa sababu alisahau kuniletea zawadi ya Krismasi, Kipindi hicho tulikuwa tukiishi mji wa Kalorado na usiku huo kulikuwa na theluji nyingi kila mahali.
View attachment 3213816
Na tulipokuwa kitandani na nilipoomba zawadi yangu ya Krismasi, Elon alisema: 'Siyo kwamba sikupendi, ninakupenda sana, ila kwa Sasa ni kwamba ninapitia mengi magumu sana make wangu.'
Nikamjibu kuwa najua unanipenda..basi baada ya kusema vile aliamka usiku wa manane na kuondoka na kurudi baada ya masaa 2 na alikuwa ametoka nje kwenye theluji akiwa amevaa fulana yake na kaptula bila hata viatu pekupeku kwenye theluji na akaenda kunichumia maua.
View attachment 3213818
Na aliponipa maua yale akaniambia 'Nilitaka tu kukuonesha jinsi ninavyokupenda...' Lakini binafsi mimi sikupenda maua yale tena kwa sababu mimi sikuwa mtu fulani wa aina yake wa kuvumilia umasikini hivyo nikamwacha. Najuta kumuacha hivi sasa, bado nampenda na ninapenda turudiane na anioe tena." Talulah Riley.
View attachment 3213817
Kumbuka Mke huyu wa zamani wa elon Musk, Talulah Riley alimwacha wakati akiwa sio tajiri na akihitaji msaada wake zaidi lakini akamwacha.
Je ungekuwa nafasi ya Elon Musk ungemkubali tena mwanamke wa sampuli hii au ungeendelea na mambo zako?
Hapo anaomba kurudi ila ameshapiga mahesabu ya Twitter na Starlink πNani kakudanganya kwamba wanawake wanapendaga. Wenyewe siku zote wako after usalama. Uwe wa kifedha, kijamii, kisaikolojia na kimwili. Sasa huyu mwanamama anaona hivi vyote viko tayari kabisa.
Kwa ufupi "ANAZINGATIA MAOKOTO"
Mnasemaga wazungu hawapendi pesa
musk hajawahi kuyumba kiuchumi, hii ni Stori yake ya uongo ambayo Baba yake anaipinga vikali. Labda kama alimdanganya huyo bibie. Wakati anaenda Marekani na kusoma huko kabla hajakuwa Bilionea alikuwa akipewa hela na baba yake toka Mgodi wa kimagendo walipokuwa wakichimba Emerald huko Zambia. Walikua na Emerald nyingi to the point wana Hela hadi kwenye masanduku hayafungi vizuri, so claim yoyote kwamba aliyumba kiuchumi ni ya kutunga.
Samaleko mkuuDaah Mkuu
Hii ndio stori ambayo Elon musk anatunga sasa hivi ili kujiepusha na huo mgodi, ila members wengine wa familia na hata yeye mwenyewe Elon kipindi cha Nyuma amewahi kukiri wao kuwa na pesa ambazo hawajui hata idadi yake. Baba yake anakwambia wana masanduku ya pesa to the point hadi haya fungi. Musk ni mtu wa totoz ana wanawake kibao ambao alikua anawahonga vitu.Labda ni kipindi baada ya yeye Elon kupata pesa zake za hisa kutoka PayPal ( PayPal mafia, nae alikuwa mmoja wao), halafu akawekeza pesa zote kwenye kampuni tatu , "Tesla, SolarCity na Starlink", majarida mengi yanasema kuwa kipindi hicho alikuwa anakopa pesa kutoka kwa kaka yake, na alikuwa analala kwenye kochi ofisini kwake.