Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

Na huyu dada yenu wa UDSM aliyekosa zawad ya gari kisa ukicheche wake, tumuweke wapi?
 
Halafu vinataka kudate na watoto wazuri ambao sabuni ya kuogea tu ni kwanzia 20k
Jinunulie kama unaona ni level yako kuogea sabuni za bei hiyo sio kumtegemea mwanamume ni aibu.

Kabla yake ulikuwa unaishije? Aise wanawake baadhi yenu mnajidhalilisha mno.

Namshukuru Mungu dada zangu wote hakuna matonya/ombaomba wanapambana vilivyo ma mambo yao yapo super.
 
Kwa mwanaume kamili haombwi anatoa mwenyewe...Sasa ukiona unaombwa ujue hujiongezi....au basi unataka nikuombe nini??
Kwani wewe ni ombaomba? Mbona umekomaa sana kuhusu kuomba omba?

Sehemu za siri zitapata tabu sana ikiwa mindsets zako umezielekeza kwenye kuomba omba.
 
Waslaam wakuu!

Kwa kawaida penzi likiwa jipya huwaga linanoga Sana Yaani full kubebishana tu. Hapo hamkauki kupigiana Simu mixer kutumiana message za mahaba.

Basi mwanaume ukitaka kujua kama huyo mpenzi wako anakupenda kiukweli bila kujali mapungufu yako basi subiri akuombe msaada wako hususan wa kipesa.

Hapo kwenye kuombwa pesa ndo njia pekee ambayo unaweza kuitumia kupima kiwango cha upendo wake kwako.

Kwa hiyo fanya hivi, akikuomba pesa jifanye huna hata Mia mbovu yaani upo chini kabisa ( wakati mwenyewe unajua kbsa una hizo pesa) ili kutest reaction yake. Ukishamwambia huna pesa za kumpa then kaa kimya kwa muda wa wiki moja. Yaani fanya mambo yako kabisa wala usishughulike naye huku unamsikilizia uone kama ataendelea kukutafuta ama atakausha mazima.

Brother, ukiona huyo mwanamke wako ameanza kupunguza mawasiliano yaani hakutafuti tena mpaka wewe umtafute, message zako anajibu kwa ufupi basi jua hapo huna mtu. Mpaka pale utakapomtimizia alichokuomba ndipo atakapoanza kukuchangamkia.

Sasa mwanaume unayejielewa umeona hizo dalili hapo juu kwa mwanamke wako afu bado unakaza fuvu unataka kuendelea kuwa wakati mwenyewe kaonyesha yeye ni gold digger kbsa🤔

Oyaa bro, ukiona mwanamke wako amekubadilikia ghafla eti kisa hujampa pesa aliyokuomba piga china haraka tafuta pisi nyingine.

Tuendelee kuishi na hawa viumbe kwa akili ndugu zangu.
Nawaza tu sijui huko nyuma miaka ile ambayo hapakuwepo mobile phones na email watu walikuwa wanawapima vipi wanawake kuwajua kama wanawapenda kweli au la.
 
BWANA YESU KRISTO ATUKUZWE, MWANAUME ANAONA FAHARI KUMPA HELA MWANAMKE WAKE BILA KUJALI WALA KUMSIMANGA
 
Na ikitokea ume mwambia huna hela ila yeye akaongeza juhudi za kukutafuta, kukusumbua sana huku ana kukupa akili ya kutafuta hela ili uweze kutimiza jukumu lako kwake kama mwanaume je, na huyo apigwe chini mkuu?
 
Kwanza Mwanaume anayejielewa hasubiri kuombwa ombwa hela na Mwanamke wake...
Unafikiri ni kuomba tu? Hata ukiomba, usipotaja amount hupati kitu kwangu.

Huwezi kuniambia unaomba pesa bila kusema ni kiasi gani. Yaani mimi niotee tu kuwa shida yako inahitaji 100,000 au aftatu?

BIG No. Nitakujibu tu kuwa nimekusikia[emoji871]
 
Kuna mwingine ni anashida ya haraka aio yakufanyia mzaha usipotuma mtu hukosa uhai au anafukuzwa anapoishi . So usifanyie shida ya mtu mzaha
 
Kukimbia majukumu.....mnapenda kula msipopeleka mboga
Hata hela ya pad tu unashindwa kumpa demu wako
Uchoyo tu ....hizi ni tabia za kivulana hakuna mwanaume kamili anayeweza kuweza hivi....grow up..be a man
Wewe hela ya boxer unampa bf wako?
 
Back
Top Bottom