Mwanaume haibiwi anaenda mwenyewe😹🙌 Amka dada‼️

Mwanaume haibiwi anaenda mwenyewe😹🙌 Amka dada‼️

EstherSaid

Member
Joined
Jun 3, 2024
Posts
38
Reaction score
84
Ww kama mwanamke mwenye akili timamu usiwahi kunyanyua mkono wako kumpiga mwanamke mwenzio au kumletea Fujo yoyote kisa anatembea na bwana ako...mwanamke anatongozwa..na Kwa madai ya kwamba alijipeleka mwenyew..swala linarudi pale pale kwamba huyo mwanaume na yeye alikubali ilhali anajua ana mke au girl friend💀
Tamaa haishi Wala hazijawah kujishiba..na wanaume wameumbiwa hulka hiyo..kutamani vitu ata kama ni vya ovyoo😂
Cha msingi kuwa single😂😂😂😂love is only for the strong ones ✌️😂😂😂😂 imeishaa hyo
 
Kwanza huwa nashangaa mtu anapata wapi mamlaka ya kumshutumu mtu mwingine eti anatembea na 'mtu wako' unless muwe mmefunga ndoa. Huwezi kudai eti yule dada anatembea na bwana ako. Inawezekana ni wewe ndiye unatambea na bwana wa mtu.
 
Kwanza huwa nashangaa mtu anapata wapi mamlaka ya kumshutumu mtu mwingine eti anatembea na 'mtu wako' unless muwe mmefunga ndoa. Huwezi kudai eti yule dada anatembea na bwana ako. Inawezekana ni wewe ndiye unatambea na bwana wa mtu.
😂😂😂Uwezekano upo Kwa sababu mabwana wenyew walioko kweny ndoa barabaran wako single🙌😹
 
Ww kama mwanamke mwenye akili timamu usiwahi kunyanyua mkono wako kumpiga mwanamke mwenzio au kumletea Fujo yoyote kisa anatembea na bwana ako...mwanamke anatongozwa..na Kwa madai ya kwamba alijipeleka mwenyew..swala linarudi pale pale kwamba huyo mwanaume na yeye alikubali ilhali anajua ana mke au girl friend💀
Tamaa haishi Wala hazijawah kujishiba..na wanaume wameumbiwa hulka hiyo..kutamani vitu ata kama ni vya ovyoo😂
Cha msingi kuwa single😂😂😂😂love is only for the strong ones ✌️😂😂😂😂 imeishaa hyo
Uwe single ili uendelee kuiba waume za watu eeeh?
Nyie mnaojifanya single single ndo mnatuharibia vijana nguvu kazi ya Taifa hili.
Bora mngeimba wimbo huo huku mkiacha zinaa ila kicha uchao uzinzi na huku mnajinasibu mnataka usingle
 
Ww kama mwanamke mwenye akili timamu usiwahi kunyanyua mkono wako kumpiga mwanamke mwenzio au kumletea Fujo yoyote kisa anatembea na bwana ako...mwanamke anatongozwa..na Kwa madai ya kwamba alijipeleka mwenyew..swala linarudi pale pale kwamba huyo mwanaume na yeye alikubali ilhali anajua ana mke au girl friend💀
Tamaa haishi Wala hazijawah kujishiba..na wanaume wameumbiwa hulka hiyo..kutamani vitu ata kama ni vya ovyoo😂
Cha msingi kuwa single😂😂😂😂love is only for the strong ones ✌️😂😂😂😂 imeishaa hyo

Picha yako ndio hiyo kwenye DP? If so ww huwezi iba mwanaume yeyote yule
 
Back
Top Bottom