Mwanaume haibiwi anaenda mwenyewe😹🙌 Amka dada‼️

Mwanaume haibiwi anaenda mwenyewe😹🙌 Amka dada‼️

Ww kama mwanamke mwenye akili timamu usiwahi kunyanyua mkono wako kumpiga mwanamke mwenzio au kumletea Fujo yoyote kisa anatembea na bwana ako...mwanamke anatongozwa..na Kwa madai ya kwamba alijipeleka mwenyew..swala linarudi pale pale kwamba huyo mwanaume na yeye alikubali ilhali anajua ana mke au girl friend💀
Tamaa haishi Wala hazijawah kujishiba..na wanaume wameumbiwa hulka hiyo..kutamani vitu ata kama ni vya ovyoo😂
Cha msingi kuwa single😂😂😂😂love is only for the strong ones ✌️😂😂😂😂 imeishaa hyo
We EstherSaid piga ua unanyanduliwa na mume wa mtu..!!
 
Endapo msichana au mwanamke asipojua kuwa huyu ni mume wa mtu, hapoo ni sawaa, ila km anajua ni mume wa mtu, na bado akakubali kudate nae,
Basi ana halali kushutumiwa vikali, na apewe adhabu stahiki.
 
Back
Top Bottom