Mwanaume haibiwi anaenda mwenyewe😹🙌 Amka dada‼️

Mwanaume haibiwi anaenda mwenyewe😹🙌 Amka dada‼️

Ww kama mwanamke mwenye akili timamu usiwahi kunyanyua mkono wako kumpiga mwanamke mwenzio au kumletea Fujo yoyote kisa anatembea na bwana ako...mwanamke anatongozwa..na Kwa madai ya kwamba alijipeleka mwenyew..swala linarudi pale pale kwamba huyo mwanaume na yeye alikubali ilhali anajua ana mke au girl friend💀
Tamaa haishi Wala hazijawah kujishiba..na wanaume wameumbiwa hulka hiyo..kutamani vitu ata kama ni vya ovyoo😂
Cha msingi kuwa single😂😂😂😂love is only for the strong ones ✌️😂😂😂😂 imeishaa hyo
Ngoja ufike miaka 35's akili itakuwa imekukaa sawa
 
Ww kama mwanamke mwenye akili timamu usiwahi kunyanyua mkono wako kumpiga mwanamke mwenzio au kumletea Fujo yoyote kisa anatembea na bwana ako...mwanamke anatongozwa..na Kwa madai ya kwamba alijipeleka mwenyew..swala linarudi pale pale kwamba huyo mwanaume na yeye alikubali ilhali anajua ana mke au girl friend💀
Tamaa haishi Wala hazijawah kujishiba..na wanaume wameumbiwa hulka hiyo..kutamani vitu ata kama ni vya ovyoo😂
Cha msingi kuwa single😂😂😂😂love is only for the strong ones ✌️😂😂😂😂 imeishaa hyo
Watu bana eti vitu vya hovyo...wee kugegedana sio kitu cha hovyo...ndio sababu nambari one ya mihangaiko yote unayoona hapa duniani.
 
Mtu anakupigia kelele kila ukirudi, unajipatia mwingine anaekujali kupitiliza yaani hadi ukijamba anakuuliza "Honey hujaumia?"

Kwanini usiibwe? Tutaibwa sana tuu.
 
Back
Top Bottom