Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa shindikana uliibiwa shilingi ngapi?Wewe ndio umesema hatuibiwi , ila sisi wanaume tunaibiwa sana tu.
Tunaibiwa sisi wenyewe na vi mia mbili vyetu 😅Sasa shindikana uliibiwa shilingi ngapi?
Si mnavitoa kwa hiari jamani! Huo sio wizi😄Tunaibiwa sisi wenyewe na vi mia mbili vyetu 😅
Leejay49Subiri uombe maji unyimwe ndio utajua hujui
Ngoja ufike miaka 35's akili itakuwa imekukaa sawaWw kama mwanamke mwenye akili timamu usiwahi kunyanyua mkono wako kumpiga mwanamke mwenzio au kumletea Fujo yoyote kisa anatembea na bwana ako...mwanamke anatongozwa..na Kwa madai ya kwamba alijipeleka mwenyew..swala linarudi pale pale kwamba huyo mwanaume na yeye alikubali ilhali anajua ana mke au girl friend💀
Tamaa haishi Wala hazijawah kujishiba..na wanaume wameumbiwa hulka hiyo..kutamani vitu ata kama ni vya ovyoo😂
Cha msingi kuwa single😂😂😂😂love is only for the strong ones ✌️😂😂😂😂 imeishaa hyo
Watu bana eti vitu vya hovyo...wee kugegedana sio kitu cha hovyo...ndio sababu nambari one ya mihangaiko yote unayoona hapa duniani.Ww kama mwanamke mwenye akili timamu usiwahi kunyanyua mkono wako kumpiga mwanamke mwenzio au kumletea Fujo yoyote kisa anatembea na bwana ako...mwanamke anatongozwa..na Kwa madai ya kwamba alijipeleka mwenyew..swala linarudi pale pale kwamba huyo mwanaume na yeye alikubali ilhali anajua ana mke au girl friend💀
Tamaa haishi Wala hazijawah kujishiba..na wanaume wameumbiwa hulka hiyo..kutamani vitu ata kama ni vya ovyoo😂
Cha msingi kuwa single😂😂😂😂love is only for the strong ones ✌️😂😂😂😂 imeishaa hyo
Wee Mwanaume unamchekea mwanamke afu aonee huruma???? Thubutuuuuuuuuu!!!
Uhakika mkuu ngoja nitazame hapMlinde mleta uzi nataka awe shemeji yako yoyote atakaemzingua nijulishe haraka
Ajaribu aone ilivyo ngumu kukataa kuibiwa.Anataka atusemee huyu , wakati tunajijua mwenyewe 😅😅😅
😆Kama anabisha ajaribu kuwa mwanaume aone, ni vile hawezi. Mi tangu juzi nataka kuibiwa na lishangazi fulani hivi sijutii kulifaham.
Anacheka 😅
Mno mkuuĹAjaribu aone ilivyo ngumu kukataa kuibiwa.