Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
We EstherSaid piga ua unanyanduliwa na mume wa mtu..!!Ww kama mwanamke mwenye akili timamu usiwahi kunyanyua mkono wako kumpiga mwanamke mwenzio au kumletea Fujo yoyote kisa anatembea na bwana ako...mwanamke anatongozwa..na Kwa madai ya kwamba alijipeleka mwenyew..swala linarudi pale pale kwamba huyo mwanaume na yeye alikubali ilhali anajua ana mke au girl friend💀
Tamaa haishi Wala hazijawah kujishiba..na wanaume wameumbiwa hulka hiyo..kutamani vitu ata kama ni vya ovyoo😂
Cha msingi kuwa single😂😂😂😂love is only for the strong ones ✌️😂😂😂😂 imeishaa hyo
😂😂😂😂Weeee komaaa...umejuajee💀😂niache mmWe EstherSaid piga ua unanyanduliwa na mume wa mtu..!!
Tamaa zitawauwa nyie😫Mno mkuu
Usilie estaTamaa zitawauwa nyie😫
Tamaa zitawauwa nyieMno mkuu
Mnaliza😒waoneeni huruma malaika wa Mungu mnao wacheat😂😂Usilie esta
mambo Leejay49 nimefurahi kukuona tenaVayolensi 😬😂😂😂
Starehe ipi🙄Esta vipi ushapata mtu hapa JF kama haujapata mi nipo tayari kukupa starehe.
Pendaneni wanawake...Wee Mwanaume unamchekea mwanamke afu aonee huruma???? Thubutuuuuuuuuu!!!
Ni kweli Kabisa unaenda kwa mwanamke mwingine ukiwa na akili zako timamu!
Hata kufika hamtafika walai
😹😹😹Najuaa👍Picha yako ndio hiyo kwenye DP? If so ww huwezi iba mwanaume yeyote yule
Amenifurahisha sana kaongea vizuri nimtowe offer kidogo kula na kunywa.Starehe ipi🙄
kila la kheri Leejay49 Mungu ni mwema