The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Inakuwaje wanajamvi.
Inawezekanaje kweli mwanaume mwenzako anakununulia zawadi na kukupa halafu wewe unapokea? Haingii akilini kabisa.
Eti dume mwenzako anakutoa out lunch ama dinner na unaenda tu.
Pia mwanaume hutakiwi kusema nampenda mwanaume flani sema namkubali.
Kuna vitu vingine kwa mwanaume siyo kufanya hadharani kama kunywa fanta orange.
Inasikitisha sana hadi vimilionea uchwara vinatunukiwa pafyumu hadharani kama zawadi kwenye camera na mwanaume mwenzake unabaki kukenuakenua mimeno tu.
A MAN SHOULD BE ALWAYS MASCULINE PHYSICALLY, MENTALLY AND EMOTIONALLY, NOT FEMININE.
Nyau de adriz
Inawezekanaje kweli mwanaume mwenzako anakununulia zawadi na kukupa halafu wewe unapokea? Haingii akilini kabisa.
Eti dume mwenzako anakutoa out lunch ama dinner na unaenda tu.
Pia mwanaume hutakiwi kusema nampenda mwanaume flani sema namkubali.
Kuna vitu vingine kwa mwanaume siyo kufanya hadharani kama kunywa fanta orange.
Inasikitisha sana hadi vimilionea uchwara vinatunukiwa pafyumu hadharani kama zawadi kwenye camera na mwanaume mwenzake unabaki kukenuakenua mimeno tu.
A MAN SHOULD BE ALWAYS MASCULINE PHYSICALLY, MENTALLY AND EMOTIONALLY, NOT FEMININE.
Nyau de adriz