Mwanaume hutakiwi kupokea zawadi kutoka kwa mwanaume mwenzako

Yani hata fanta tusinywe? Unataka tunywe hizo 'maisha juu' unazokunywa wewe? Sio poa kabisa.
 
Kutoka out hapna hapana asee tumia neno jingine kama oyaa mkali weeked hii tunaruka pande fln kuna chenchi hapa tukaisambaze kwa sentes hii nitakuelewa
 
Machawa hawezi kukuelewa kabisa.
 
kuna SOCIAL CONDITIONING za ajabu sana ...

Yaani huwezi kumwambia mtu kama unampenda kwa kuhofia NINI? unaogopa tu kuitwa CHOKO?

Mbona mnapata tabu sana vijana maisha yenyewe mafupi mnoo mtakufa mmebinua makalio kwa msongo wa mawazo!!

Wacha niendelee na majukumu ya kiserikali.
 
Watu wengi wanaojiitaga wagumu mara nyingi si kweli ila Maisha yao ndiyo huwa magumu!!
 
Hamna unafuu wowote wanahangaika tu inatakiwa 1GB iwe 1000
 
Tutaanza kuepuka kufanya mambo fulani ya maana tukisingizia uwanaume sidhani kama uliyoyataja yanampunguzia mtu nguvu zake za kiume
 
Inshu ni perception au niseme mtazamo ,Duniani we live once ,we die once ..Yaani ualikwe na Lunch eti ukatae alafu ni once kwanini ukatae...


Mm nadhani andiko lako liseme Tu tuwe makini na zawadi kutoka kwa Watu tusiwafahamu maana hakuna cha BURE cha sasa
 
Adriz alikukosea nini 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…