MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Ni kama masikhara ila jomba hakikisha unakuwa uko fit sana kwenye kimojawapo. Kama umeamua kuwa mtu wa kanisa au msikitini basi hakikisha unashikilia sana huko. Kwa wale wazee wa mambo ya kimila hakikisha uko fit mno. Kazindikwe huko Ziwa Tanganyika siku kadhaa kabla ya kuoa. Usiwe vuguvugu.
Mimi nimeandika hivi baada ya kupata experience huko kwenye wataalamu wa sayansi ya asili. Wanawake wengi sana huenda huko kuwatengeneza wanaume zao. Enzi nikiwa mdhambi nilikuwa nina mahudhurio mazuri huko nikaona mabinti wadogo hadi kina mama watu wazima wakipanga foleni kwa wataalamu. Shida yao kuu ni kuwatengeneza wanaume wawatii. Hali ni mbaya sana. Hawa wanaoitwa NICE GUYS wengi wao wametengenezwa. Sio akili zao.
Sikushauri uwe mchawi ila kama mwanaume kaa chini tafakari uchague upande sahihi. Mimi nilikuwa upande wa mambo ya kimila ila niliyatupilia mbali baada ya kuona ni upuuzi kuishi kwa masharti.
Mimi nimeandika hivi baada ya kupata experience huko kwenye wataalamu wa sayansi ya asili. Wanawake wengi sana huenda huko kuwatengeneza wanaume zao. Enzi nikiwa mdhambi nilikuwa nina mahudhurio mazuri huko nikaona mabinti wadogo hadi kina mama watu wazima wakipanga foleni kwa wataalamu. Shida yao kuu ni kuwatengeneza wanaume wawatii. Hali ni mbaya sana. Hawa wanaoitwa NICE GUYS wengi wao wametengenezwa. Sio akili zao.
Sikushauri uwe mchawi ila kama mwanaume kaa chini tafakari uchague upande sahihi. Mimi nilikuwa upande wa mambo ya kimila ila niliyatupilia mbali baada ya kuona ni upuuzi kuishi kwa masharti.