Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Ongea nae lkn nataka kujua uko wapiNtakupigia subiri kidogo naongea na mganga wangu hapa.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongea nae lkn nataka kujua uko wapiNtakupigia subiri kidogo naongea na mganga wangu hapa.....
Itakuwa sio mbingu ya kawaida ninayoijua Mimi😂Mbinguni mapema sana siti ya mbele baada ya mwenyekiti wa jumuia
Mke anakuroga, mchepuko anakuroga, mama ako anakuroga ili uwe fiti usiwe bwege....ndio maana wanaume kuna muda network zinakata
Kwenye kubadilika lazima kuwe na chanzo.Hawezi kubadilika tu mwenyewe labda awe amepata toxic friends wanaompa ushauri wa kumroga mumewe.
Hakuna watu wanaowapotosha wanawake Kama mashoga zao.
Subiri subiri kidogo naelekea barabarani kubadili kuku, kumbe alitaka wa kienyeji mi nimeleta broilerOngea nae lkn nataka kujua uko wapi
Kuna jamaa alioa wake wawili halafu wote wakawa wanamroga kila mtu avutie upande wake. Mwisho wa siku dishi likayumba, ikawa kila akiona wake zake anadata na kuweza kutembezea vichapo.Mke anakuroga, mchepuko anakuroga, mama ako anakuroga ili uwe fiti usiwe bwege....ndio maana wanaume kuna muda network zinakata
Hapo kwa michepuko upo sahihi Kbsa mkuu, especially wale michepuko wenye wivu kwa wake za wanaume wanaotoka nao ndo hatariiWengi wanarogwa Na michepuko
Afu wakishamroga akawa zezeta ndio wanaanza kujutaKwenye kubadilika lazima kuwe na chanzo.
Kuna mdada alienda kwa mtaalamu ili akamroge mchepuko wake (mume wa mtu) mtaalamu akamwambia dah dada huyu mtu amefungwa na mke wake inabidi tuanze kushughulikia kwanza hii dawa ya mke wake, ndio nikufanyie sasa na wewe.....dah, nimecheka sana.
Ila uko sahihi sana, maisha yetu kibongobongo ni hatari sana, hapo ukute na kazini pia una kanafasi napo wafanyakazi wanakuroga, ukiwa unakabiashara umeajiri watu nao wanakuroga basi full vurugu.
Kuna mambo mengi sana mitaani huku yanayokwamisha watu wasiendelee.
Licha ya hivyo kuwa nice guy mara nyingi inatokana na malezi ya muhusika. Amelelewa kuamini wanawake ni viumbe wazuri na yeye ndio wakubeba makosa yao.Ni kama masikhara ila jomba hakikisha unakuwa uko fit sana kwenye kimojawapo. Kama umeamua kuwa mtu wa kanisa au msikitini basi hakikisha unashikilia sana huko. Kwa wale wazee wa mambo ya kimila hakikisha uko fit mno. Kazindikwe huko Ziwa Tanganyika siku kadhaa kabla ya kuoa. Usiwe vuguvugu.
Mimi nimeandika hivi baada ya kupata experience huko kwenye wataalamu wa sayansi ya asili. Wanawake wengi sana huenda huko kuwatengeneza wanaume zao. Enzi nikiwa mdhambi nilikuwa nina mahudhurio mazuri huko nikaona mabinti wadogo hadi kina mama watu wazima wakipanga foleni kwa wataalamu. Shida yao kuu ni kuwatengeneza wanaume wawatii. Hali ni mbaya sana. Hawa wanaoitwa NICE GUYS wengi wao wametengenezwa. Sio akili zao.
Sikushauri uwe mchawi ila kama mwanaume kaa chini tafakari uchague upande sahihi. Mimi nilikuwa upande wa mambo ya kimila ila niliyatupilia mbali baada ya kuona ni upuuzi kuishi kwa masharti.
Ila huwa najiuliza hawa viongozi wa serikali huwa wanalogwa kiasi gani hadi utakuta anamjengea mchepuko Ghorofa... utakuta pisi yenyewe ya kawaida sana.Hapo kwa michepuko upo sahihi Kbsa mkuu, especially wale michepuko wenye wivu kwa wake za wanaume wanaotoka nao ndo hatarii
Viongozi wa serikalini hawatokagi na pisi za kawaida, lazima mwanamke awe pisi kali haswaa😂Ila huwa najiuliza hawa viongozi wa serikali huwa wanalogwa kiasi gani hadi utakuta anamjengea mchepuko Ghorofa... utakuta pisi yenyewe ya kawaida sana.
Hamna watu wanaenda kwa waganga kama hao jamaa, ku retain cheo au nafasi serikalini si mchezo. Wanaloga wanatoa kafaraIla huwa najiuliza hawa viongozi wa serikali huwa wanalogwa kiasi gani hadi utakuta anamjengea mchepuko Ghorofa... utakuta pisi yenyewe ya kawaida sana.
Kuna mdada alienda kwa mtaalamu ili akamroge mchepuko wake (mume wa mtu) mtaalamu akamwambia dah dada huyu mtu amefungwa na mke wake inabidi tuanze kushughulikia kwanza hii dawa ya mke wake, ndio nikufanyie sasa na wewe.....
Sa unamroga masikini wa nini jamani hayo ni matumizi mabaya ya dawa......Hivi wenye hela nao wanarogwa? kwa mfano tusikie Bakhresa kapewa limbwata au usikie mama Samia kampa limbwata mumewe au haya mambo yako uswahilini
Hivi wale wanaowapelekea moto mixer kupaka mikongo sijui, kuingia chumvini! Huwa hamuwaendei kwa waganga?Sa unamroga masikini wa nini jamani hayo ni matumizi mabaya ya dawa......
Yani kweli nipeleke kwa mtaalamu wangu jogoo la afu salasini kumroga masikini?? Si heri nilikunywe supu.
Hapana kwakweli hao ni wapenzi wakunaji tu..... Umroge ili iweje jamani, kweli uroge viuno??? HapanaHivi wale wanaowapelekea moto mixer kupaka mikongo sijui, kuingia chumvini! Huwa hamuwaendei kwa waganga?
Si unaloga ili asiende kwa mwengine!Hapana kwakweli hao ni wapenzi wakunaji tu..... Umroge ili iweje jamani, kweli uroge viuno??? Hapana
Aende tu akapige viuno kwingine siku akihitajika ataitwa.....Si unaloga ili asiende kwa mwengine!
wanaorogana sasa ni hao hao, wanaovaa vijola vya afutatu, sasa kama lishangaz Afande anaenda kuroga nini?Sa unamroga masikini wa nini jamani hayo ni matumizi mabaya ya dawa......
Yani kweli nipeleke kwa mtaalamu wangu jogoo la afu salasini kumroga masikini?? Si heri nilikunywe supu.