Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #21
We pdiddy tulia tu na baby oil usubiri kumtoa Michael jacksonWakati wengine tunatafuta hela Baba yako yuko busy kunyang'anya binti za watu khanga zao huko visimani na mbugani, Ona sasa leo binti yake bila kuhongwa unaona hupendwi🤣.
Sisi ndo washikqji wa Baba yako kama vipi njoo tu tutakutunza, wewe ni binti yetu bwana.
Code imefika mahala pakeMtu mzima hovyoo
Girl code oyee
Kwan Ulipewa ukiuze kipochi manyoya..?Kwan me sio mke wa ndoa?
Watu wameolewa na bado hela hawapewi
We unaongea nini wewe
Fanyeni kazi mtafute pesa za kwenu acheni kutia huruma utadhani mliumbwa vilemaNasemaje Nasemaje!
1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi
2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana
3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine
Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie
Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi
Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!
Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio
Endeleeni kujidanganyaCode imefika mahala pake
Uzi wa wanawake wanaume haooo wamesimamisha
Pesa me mbona natoa tena sana tu na umaarufu ukitaka, sikupingi ila hiyo ni akili ya watoto wa masikini. Tafuta hela hata unapokua unakamiwa unadinywa kwa heshima ukiendekeza njaa ndo hivo wahuni tunafyonza na kisusia🤣We pdiddy tulia tu na baby oil usubiri kumtoa Michael jackson
Huku Africa kama hutoi hela kwa mkeo au mchumba wako humpendi
Pole kwa kukasirika ila code imewekwa mahali pake
Leo wanaume mmekuja kwa wingi kwenye uzi wa akina dada
unazungumzia Biashara ya mapenzi sio?🐒Nasemaje Nasemaje!
1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi
2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana
3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine
Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie
Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi
Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!
Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio
Huyu hajaolewa, Hawa ndo Madem wanaobondwa daily😀Nasemaje Nasemaje!
1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi
2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana
3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine
Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie
Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi
Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!
Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio
Sasa hivi tunawabonda kuondoa Nye Nye Nye nyeeeeeeee tu.kwa vile ishagundulika kuwa na nyie utamu mnaupata tena mara mbili zaidi yetu, Hivyo kwa kizazi hiki maboya wamepungua.
Everything has a price tag 🤣🤣🤣Toa hela uone kama penzi halitoki
Ni hayo tu
Only fool can give you moneyDdc ndio umeona pa maana sana ee
Sisi wazee tulikuwa tunakesha msasani drive in
Huko ddc walikuwa wanaenda malugha lugha kama wewe
Nimeipenda hiiToa hela uone kama penzi halitoki
Ni hayo tu
Toa penzi uone kama pesa haitokiToa hela uone kama penzi halitoki
Ni hayo tu
Jesus!!!!wamekuja na kusimanisha mboo kwenye uzi wa wanawake
Hela hapewi kila mwanamke, wengi huishia kupewa chambo tuHio ndio code ambayo wanaume hampendi wanawake wajue
WadanganyeNasemaje Nasemaje!
1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi
2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana
3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine
Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie
Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi
Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!
Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio