Mwanaume kama huna hela huwezi dumu na mwanamke

Unataka kujua nikuwa na nyumba zaidi ya moja biashara zaidi ya moja na magari zaidi ya moja na account zaidi ya moja zote ziwe kubwa biashara kubwa hela nyingi na nyumba zakifahari
Jibu lako lipo too general na hii inanionesha ni jinsi gani akili yako inavofikiri.. Utakuwa upo under 22. Maana ndo wanakuwaga mara nyingi na akili kama zako.. Nna mdogo wangu wa kike yupo age hiyo na ana msimamo kama wako.

Sio kwamba ni msimamo mbovu, ila nafikiri unatakiwa uwe na uhalisia wa maisha.
 
Haya bhana no comment mi mzee na 39
 
Wewe tu na umaskini wako, wapo wanawake waliozoea hela tangu kuzaliwa na hawana muda wa kuzuzuka na hela ya Mtu. Jitahid next time uzaliwe kwenye familia ya kitajiri, usiwe omba omba kwa kisingizio cha kugawa papuchi
 
Wewe tu na umaskini wako, wapo wanawake waliozoea hela tangu kuzaliwa na hawana muda wa kuzuzuka na hela ya Mtu. Jitahid next time uzaliwe kwenye familia ya kitajiri, usiwe omba omba kwa kisingizio cha kugawa papuchi
Namiaka 7 sijui mboo zenu zinanuka au??
Sina muda na hela zenu wala hizo mboo zenu.
Nanikuambie kitu wewe ni maskini ndio mana unahasira
 
Namiaka 7 sijui mboo zenu zinanuka au??
Sina muda na hela zenu wala hizo mboo zenu.
Nanikuambie kitu wewe ni maskini ndio mana unahasira
Umepanic.. kunywa maji kwanza alaf upate hata acetaminophen, then urudi nikuelezee jinsi ulivyoandika pumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…