Mwanaume kila unapoombwa pesa na mwanamke ukitoa unaonekana mjinga

Mwanaume kila unapoombwa pesa na mwanamke ukitoa unaonekana mjinga

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Unaweza ukajiona mjanja mbele za mwanamke kwa kumpa pesa kila anapokuomba kumbe mwenzako anakuona huna akili, unajipendekeza, mjinga, lofa.

Mpe pesa mke wako, mpe pesa mama yako mzazi, mpe pesa dada yako, inatosha. Hao wanawake wengine ambao wanakuomba pesa kwa silaha ya jinsia yao wanyime kila wanapokuomba pesa.

Utafanikiwa.
 
Huyo pisi anakuwa si wako hadi yeye ndo anyimwe, kuna justification gani ya kuwapa hawa wengine na yeye usimpe......tafuta tu pesa mkuu.
 
Haaah ndo saivi tunapoelekea yaan kumpa pesa sio njia ya kuonyesha unapendwa ila anakufanya lofa aisee kila mtu abaki na zake"Kwani kipi nisichokijua ina TV ndani by Mwana F.A aaah waswahili pia wanasema "Wajinga ndio waliwao hapo hata penzi hajakupa mizinga yote afu unazania utatoboa ewe mwanaume amka from Armando hapa.
 
Haaah ndo saivi tunapoelekea yaan kumpa pesa sio njia ya kuonyesha unapendwa ila anakufanya lofa aisee kila mtu abaki na zake"Kwani kipi nisichokijua ina TV ndani by Mwana F.A aaah waswahili pia wanasema "Wajinga ndio waliwao hapo hata penzi hajakupa mizinga yote afu unazania utatoboa ewe mwanaume amka from Armando hapa.
Unampa misimbazi anakupa maku kidogo ili kulinda njaa zake then anakwenda kumpa free anpendaye
 
Wanaume wengi ni wajinga sana! Mtu unatumiaa pesa kibao Kwa mwanamke halafu faida ni kupewa penzi [emoji38][emoji38]binafsi kabla sijatoa hela yangu huwa nafikiria sana jinsi nilivyoipata. Huwa nawaza sana kwamba ntafaidika na nini?? Yaani penzi tu mtu ndio utoe hela hovyohovyo? Kama ni penzi si raha tunapata wote? Imagine mtu umehangaika tangu asbh umepata 30000 halafu demu wako anakuomba 20000 na wewe unatoa kweli! Halafu Unabaki na ten[emoji1787][emoji1787]akili ni mali vijana
 
Wanaume wengi ni wajinga sana! Mtu unatumiaa pesa kibao Kwa mwanamke halafu faida ni kupewa penzi [emoji38][emoji38]binafsi kabla sijatoa hela yangu huwa nafikiria sana jinsi nilivyoipata. Huwa nawaza sana kwamba ntafaidika na nini?? Yaani penzi tu mtu ndio utoe hela hovyohovyo? Kama ni penzi si raha tunapata wote? Imagine mtu umehangaika tangu asbh umepata 30000 halafu demu wako anakuomba 20000 na wewe unatoa kweli! Halafu Unabaki na ten[emoji1787][emoji1787]akili ni mali vijana
Tena ni uchizi kabisa
 
Unampa misimbazi anakupa maku kidogo ili kulinda njaa zake then anakwenda kumpa free anpendaye
Sawa mkuu .Kumpa sio tatizo kama mpenzi sasa inakua anakupanga daily kuna watu hapa akiona simu ya mama au baba yake akiombwa analalamika chukua hiii demu daily akiomba 10000*30=300,000 kwa mwezi afu baba yako au mama unamtumia 50000 yaan laki 3 tayari tofali 300 bado tofali 150 chumba kimoja ni hayo tu hawana fadhila mkigombana kashfa kibao.
 
Sawa mkuu .Kumpa sio tatizo kama mpenzi sasa inakua anakupanga daily kuna watu hapa akiona simu ya mama au baba yake akiombwa analalamika chukua hiii demu daily akiomba 10000*30=300,000 kwa mwezi afu baba yako au mama unamtumia 50000 yaan laki 3 tayari tofali 300 bado tofali 150 chumba kimoja ni hayo tu hawana fadhila mkigombana kashfa kibao.
Wanahonga 300k kwa mwezi ili siku wakigombana waitwe kibamia
 
Back
Top Bottom