Mwanaume kila unapoombwa pesa na mwanamke ukitoa unaonekana mjinga

Mwanaume kila unapoombwa pesa na mwanamke ukitoa unaonekana mjinga

Sio kupendwa utatimiziwa haja zako kwa sababu unatoa pesa
Utapendwa .... Yaani ukiingia tu sehemu wanawake wanfurahia uwepo wako. Especially ukiwa mtu Mwema na mwenye Tabia nzuri na heshima.
 
Unaweza ukajiona mjanja mbele za mwanamke kwa kumpa pesa kila anapokuomba kumbe mwenzako anakuona huna akili, unajipendekeza, mjinga, lofa.

Mpe pesa mke wako, mpe pesa mama yako mzazi, mpe pesa dada yako, inatosha. Hao wanawake wengine ambao wanakuomba pesa kwa silaha ya jinsia yao wanyime kila wanapokuomba pesa.

Utafanikiwa.
Exactly, wanawake sio wakuwasaidia kabisa,labda mke na ndugu
 
.
Ishu sio kumpa mwanamke pesa, ishu ni una spend vipi hizo pesa wewe na yeye kutengeneza lovely & unforgettable experience.
 
Pesa yakutfta kwa jasho lako mwenyewe huwez kuonga kirahisi labda kama pesa zako ziwe zinapatikana Kwa njia za panya ila Ile jua na mvua vyote vyako January to disemba.huwez honga
 
Back
Top Bottom