nadiegirlie
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 479
- 671
Ukimpata unayempenda utajikuta unatoa tu bila hata kusubiri kuombwa,hutataka apate tabu kabisa na wanawake wote sio sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupenda upofu aseeUkimpata unayempenda utajikuta unatoa tu bila hata kusubiri kuombwa
Weeeeehhh misimbazi yangu sitaki mchezo nayo.Ukimpata unayempenda utajikuta unatoa tu bila hata kusubiri kuombwa,hutataka apate tabu kabisa na wanawake wote sio sawa.
Mhhhh hamna bwana
Sio kupendwa utatimiziwa haja zako kwa sababu unatoa pesaUkiwa na pesa, utapendwa na wanawake.
Huo ndio ukweli.
Utapendwa .... Yaani ukiingia tu sehemu wanawake wanfurahia uwepo wako. Especially ukiwa mtu Mwema na mwenye Tabia nzuri na heshima.Sio kupendwa utatimiziwa haja zako kwa sababu unatoa pesa
Yaani hata wazazi hana??MTU mmependana ila hamwaminiani....ukipata shida anakuona tapeli kumbe ni shida tu imemfanya aombe msaada na huenda hana tabia ya kuomba ila ndo kapata shida na hana kimbilio lingine.
Exactly, wanawake sio wakuwasaidia kabisa,labda mke na nduguUnaweza ukajiona mjanja mbele za mwanamke kwa kumpa pesa kila anapokuomba kumbe mwenzako anakuona huna akili, unajipendekeza, mjinga, lofa.
Mpe pesa mke wako, mpe pesa mama yako mzazi, mpe pesa dada yako, inatosha. Hao wanawake wengine ambao wanakuomba pesa kwa silaha ya jinsia yao wanyime kila wanapokuomba pesa.
Utafanikiwa.
habari yakoHahahaaa. Lol. View attachment 2405658
Nzuri kabisa. Za miaka?habari yako
Anaweza akawa anao au hana...lakini ukishapendana na MTU jukumika mkuuYaani hata wazazi hana??