Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapigwa matukio zaidi ili uzidi kujiliza, yeye akikuona unalia anaenjoy[emoji28]Kabisa mkuu, na ndio safari ya drama huanzia hapo.
Sahii kabisa, Mwanamke anatabia ya kukalili matamshi yako, ukikiri umejimaliza. Hatosahau kamweKikubwa kataa hata kama kakushika. Na ushahidi we kataa.
Mfano umemuinamisha house girl akikufuma kataa kwamba ulikua unamtapisha kama mlikuwa uchi usingizie hata uchawi mwambie sijui imetokeaje upo hapo
Mdomo wako unakumaliza.Sahii kabisa, Mwanamke anatabia ya kukalili matamshi yako, ukikiri umejimaliza. Hatosahau kamwe
Kwamba nishapigwa na kitu kizitoUmechezewa visakarabosa.
Piga gambe kwa maendeleo ya taifa.
Kwahiyo mkuu niendelee na msimamo wanguUsiombe msamaha.
Tulia mtunze mkeo kama kawaida.
Kwa akili zetu huyo atakuwa hawara ake ila wameshakutengenea mazingira uonekane bwege
Kwamba nishapigwa na kitu kizito
Ila nina watoto nae tena ni wadogo unazani hawatayumba kweliKama wengine walivyosema tulia tuu
DahTena chenye ncha kali. But I don't condone violence in any way, shape, or form.
Watoto si wako na mama yao, atakuomba msamaha akianza kuchacha huko kwaoIla nina watoto nae tena ni wadogo unazani hawatayumba kweli