Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida mkuu sikumkuta bikrA na wala sijamtolea barua wala maliUshatombewa kabisa mzee baba
Mke hapaswi kujihusisha na et rafikiake wanatumana mara kalikwenda kakarudi tena ingekua mimi mmmmHii tunachukulia katika jamii zetu za kiafrika je, mwanaume unapaswa kumwomba msamaha pale unapoona umemkosea mkeo?.
Sawa mkuu nitaacha wangapi? Dunia yenyewe ya sasaMkuu ukiomba msamaha m**o inapungua ama. Kuna watu humu mabingwa wa kushauri mabaya. Kama mke wako ana thamani na unapenda kujenga familia kamchukue mwambie yaishe..umekosea. Lakini eti kufata ushauri wa humu utapotea. Kuna watu humu ni washauri kutoka kitengo cha motoni...afu unaweza kuta wako na wake zao na wanawapenda balaa.
Unatakiwa umpigie simu umwambie kesho nakuja kukuchukua turudi nyumbani.Nikamwambia wife rudi kwenu sitaki nikuone hapa huwezi nichezea picha za ajabu kiasi hiko kweli akakusanya vyake akarudi.