Mwanaume kuwa makini na 'Dinner dates'

Ni kweli umetushauri vyema ila nikwambie ukweli tu "yamepitia kulia yametokea kushoto!"
Kesho tu tarajia mtu anakuja analia amepuruswa mpk hela ya ada!.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ daah umenichekesha Mkuu
 
Kibongo bongo mdada anaweza kukualika na bado akataka ulipe bill zote. Last weekend kuna demu alinicheki akaniambia twende kwenye show ya cristian bella, nikamwambia ok but we will split all bills. Yule dada akapotea hewani
Wanapenda kulipiwa mpaka condom wakati ni kwa ajili ya protection yake mwenyewe
 
Hayo mapicha yamenikera sana....kila baada ya paragraph picha tena yanajirudia nimeacha kusoma
 
Vijana mnasikitisha sana,
Anayetoa idea ya out ndie anaetakiwa kulipa
Mwanaume ukiwa ndio unalipa, lazima uchague pa kwenda, siyo uchaguliwe
Mmoja tulipanga date nikamwambia eneo, yeye akataka kujua excatly jina la eneo.
Nikamuuliza kwani unataka kutanguliza watu wakaniteke au kuweka dawa za kulevya, nikamwambia hutaki acha.
Vijana acheni udhaifu
 
Yan dinner ya shilling 10k 15k nayo alipie mschana ebu Tulia kwanza mkuu Ungenambia labda nauli ya bus akiomba na hela ya kula njiani huyo ni madako
 
Wanapenda kulipiwa mpaka condom wakati ni kwa ajili ya protection yake mwenyewe
Wakati wanapigania usawa hawakuwaza kama haki sawa itakuja na wajibu sawa, matokeo yake ndio haya sasa wanaitaka nafasi ya provider lakini hawautaki wajibu unaomfanya provider kupewa iyo nafasi
 
Inatagemea na destiuri za watu wa nchi hiyo

Marekani / europe mnaweza kusplit the bill… au mmojq akalipa
Kibongo bongo hata unayemuita aje kula hata nauli ya kuja anadai hana so inabidi umtumie nauli ili aje kula pesa zako .. pathetic..! uaidate na watu wa namna hii
 
Binti zangu huwa nawashauri kuhakikisha akipata mwaliko ahakikishe:-
1. Mfukoni ana gharama ya usafiri wa taxi ya kutoka alipo hadi anapolala;
2. Chakula anachoagiza lazima ahakikishe mfukoni ana hela ya kukilipia;
3. Asinywe kilevi chochote; na
3. Awe na hela ya ziada ili ikiwezekana alipe gharama za mtoko husika.
 
Mambo mengine ni kifala.

Atakae anzisha mada ya date na kumuita mwenzake ndo alipie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…