Mwanaume kuzama chumvini kumridhisha mwanamke ni dalili za ukichaa

Mwanaume kuzama chumvini kumridhisha mwanamke ni dalili za ukichaa

Tupu ya mwanamke inatabia ya kujisafisha yenyewe napia ina bakteria walinzi wa kuilinda hata kama utaingiza ulimi hao bakteria walinzi watajua ni adui kaingia hivyo watakushambulia, Japo kuna wanawake wengine wanaiosha kwa kulazimisha ili kutoa mauchafu waliyomwagiwa na kila mwanaume au kujiingizia huko ndani wenyewe kwa namna moja ama nyingine.

Tupu ya mwanamke anapotembea huwa inajisugua na kutoa uchafu na jasho wakati mwingine kama unabisha mtembeze mwanamke wako muda mrefu alafu angalia katikati ya nguo yake ya ndani, tupu ya mwanamke anapokua katika siku zake kama ni mfuatiliaji wa kuchunguza chunguza wanawake zako utagundua dakika za mwisho kwenye kujisafisha inatoa uchafu haswa haswa.

Tupu ya mwanamke wakati mwingi inakua katika mazingira ya hatari ya kupata UTI na mafangasi ya kutosha kutokana na matumizi ya choo na bafu za uswahilini, staili mbovu za kujichamba kwa kuanzia nyuma kuja mbele , badala ya mbele kwenda nyuma, na wakati mwingine matumizi ya maji chumvi au magadi.

Kunyonya tupu ni ukichaa kwani nikujizima data mwanaume na kujifanya hujui haya madhara yatakayo kutokea siku za usoni

Kunyonya tupu kunaweza kukuambukiza magonjwa ya zinaa ikiwemo uwezekano wa kuambukizwa HIV, fungasi sugu ya kinywa na wakati mwingine kansa ya koo au kansa ya tumbo

Tunafahamu wazi kabisa sehemu zile ni chafu na hali kadhalika kichaa pekee ndiye anayependelea kukaa, kula na kulala maeneo machafu machafu, huwezi ukamkuta kichaa anapenda usafi hivyo mwanaume kuzama chumvini ni kujionyesha kwa mwanamke wako kuwa wewe ndiye kichaa pekee uliye amua kwa hiari yako kujibebea maradhi ya kinywa, fangasi za kinywa, kansa za koo, kansa ya tumbo na utumbo.

Wanaume acheni kunyonya hayo makitu huu ni ukichaa na kujidhalilisha mbele ya mwanamke wako, wewe tumia fimbo ya nyama kuichapa mpaka aombe poo. Akitaka umnyonye achana nae huyo hakupendi anakuangamiza

Mwanamke anayekupenda hawezi kukukubalia uzame chumvini daima atakulinda
images-9.jpg
hapa nazama kila siku na sijawahi kupata shida yoyote
#TAFUTA DEMU SIO MALAYA
 
Kwahiyo ulipiga baby care deki mkeo kipenzi dk 30.
hapana, B for Brenda
ex wangu wa mwisho huyo
tukis3x kule chini anatoa ute, mithili ya vaseline iliyokaa juani mda mwingi

s3x session yetu, inaanzaga saa 5 usiku, nazama uvinza kwanza, nusu saa nzima, nakunywa NaCl uku akinishika shika kichwa akinikwangua na kucha zake nzuri za asili ndef ndef

kuna fala anamfaidi tu mda huu
 
Kama beberu, ng'ombe - wanyama wanailamba/kuinusa kupata stim!

wewe unaogopa nini au ushajitoa kundi la wanyama uko kundi la ndege😂😆😆

Wenzio wako level zingine naskia wananyonya mpk na macho!!

Eti pia wakinyonywa wanakakamaa km wamepatwa na kifafa/degedege huku wamegeuza macho, kifupi my wife wako mnyonye mpk iwe nyekundu!!!
 
Back
Top Bottom