Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muongo huyo, pesa hawazitak penzi likiwa bado ni jipya ila likishachanganya zina nafasi kubwa sana ya kulinda penzi.Hataki pesa kabisa,Mpatie zawadi aiseeh ila sio pesa kwasababu sio kipaumbele chake.
Kwahiyo username yako yasoma shichi?Kumbe ni sisiš
Ni shichi bwana Mkuu..
Ukweli kabisa 100%Muongo huyo, pesa hawazitak penzi likiwa bado ni jipya ila likishachanganya zina nafasi kubwa sana ya kulinda penzi.
ulimbukeni si kitu kizuri na wala sio sahihi kwa Mwanaume kamili šHabari..
Nimetamani kushare kuhusu mwanaume limbukeni.
Yule ambae anahisi akikupa ela ndo kamaliza kukupenda na kukujali. Ambae mali yake kila siku inaliwa na vijana wa mtaani, wachora kucha, bodaboda, waha wakopesha vyombo nk.
Halafu unakuta kuna mwamba huku ndani anaijua hii, ila anaona akiawasanua mkisanuka wake zenu atawakosa.
Acha ulimbukeni, upweke hauliwazwi kwa pesa, jiongeze ili uepukane na vilio vya hapa na pale pindi ukisalitiwa.
Asanteni
Umeongea kwa uchungu mkubwa sana. š¶š¶š¶ Point sana mkuuTatizo la wanawake wa Siku hizi wakiona mwanaume kajitoa kuwapa Pesa na upendo wanamuona Limbukeni na Mjinga..
Ngoja nikupe facts..
MWanaume hatoi pesa hovyohovyo ila kwa sehemu anayoithamini nakuipenda..
Ipo siku atashtuka kuwa hapendwi na hataweza kukupa tena Hiyo pesa unayomuonea nayo ulimbukeni..
Hatutaki kuona Uzi tena na mabandiko yanayosema wanaume ni wabahili na hawajali wapenzi wao..
Wanawake hamjui Mnalotaka hamjui nini hasa mnataka mpewe na hasa nyinyi wanetu wa 2k..
Yaani mnahisi Mnaijua Dunia kuliko sisi Baba zenu?
Sasa kiongezeke kipi?Pesa tunazitaka Mkuu(kama zipo)
ila kwenye mapenzi pesa haiwezi kuondoa upweke.
Money can't buy Happiness
Tatizo kubwa nililoliona mimi ni kutokujiamini.ulimbukeni si kitu kizuri na wala sio sahihi kwa Mwanaume kamili š
hata hivyo wadada wanaupenda mno na wanauamini mbaya sana ulimbukeni wa miongoni mwa wanaume suruali š
na wao,
wanapobaini ukweli baada ya kufanywa kitu mbaya hujuta sana...
Tumuombe Mungu atusaidie kuishi uhalisia wetu, daima tukubali kwamba baadhi ya vitu hatuna au hatuna uwezo navyo.
Na hapo tutaishi kwa Furaha na Amani.
Mungu akubariki sana š
Hutojali kivipi wakati utaanza kutafuta wenye pesa?Ukweli kabisa 100%
Na hapo ushaniliwaza nimeliwazika kwahyo nakua sina pa kwenda lazima nitakuganda na hapo hapo kama hautonipa pia sitajali kwa maana nimekutunuku bila hongo
Tuseme aninyime ela halafu anijali aniliwaze anibembeleze, linganisha hapo. Ukisema unipe ela kwa dhana kwamba ndio jukumu lako kama Mwenza halafu majukumu mengine umuachie bodaboda utanikuta kesho sipo nimehamia kwa bodaboda nimekuachia ela zako.Ela kama ela, ngoja sasa akunyime ela tuone itakuwaje.
Having enough money for the basic necessities of life as well as your wants and needs usually means a happier life.Pesa tunazitaka Mkuu(kama zipo)
ila kwenye mapenzi pesa haiwezi kuondoa upweke.
Money can't buy Happiness
Sasa upewe nini ELA au MAPENZI? Chagall moja.Tuseme aninyime ela halafu anijali aniliwaze anibembeleze, linganisha hapo. Ukisema unipe ela kwa dhana kwamba ndio jukumu lako kama Mwenza halafu majukumu mengine umuachie bodaboda utanikuta kesho sipo nimehamia kwa bodaboda nimekuachia ela zako.
Nimesoma mara tatu, sijamwelewa.Uzi tayari?
Umeona hii Leejay49Tuseme aninyime ela halafu anijali aniliwaze anibembeleze, linganisha hapo. Ukisema unipe ela kwa dhana kwamba ndio jukumu lako kama Mwenza halafu majukumu mengine umuachie bodaboda utanikuta kesho sipo nimehamia kwa bodaboda nimekuachia ela zako.