Mwanaume limbukeni

Mwanaume limbukeni

Muongo huyo, pesa hawazitak penzi likiwa bado ni jipya ila likishachanganya zina nafasi kubwa sana ya kulinda penzi.
Ukweli kabisa 100%
Na hapo ushaniliwaza nimeliwazika kwahyo nakua sina pa kwenda lazima nitakuganda na hapo hapo kama hautonipa pia sitajali kwa maana nimekutunuku bila hongo
 
Habari..

Nimetamani kushare kuhusu mwanaume limbukeni.

Yule ambae anahisi akikupa ela ndo kamaliza kukupenda na kukujali. Ambae mali yake kila siku inaliwa na vijana wa mtaani, wachora kucha, bodaboda, waha wakopesha vyombo nk.

Halafu unakuta kuna mwamba huku ndani anaijua hii, ila anaona akiawasanua mkisanuka wake zenu atawakosa.

Acha ulimbukeni, upweke hauliwazwi kwa pesa, jiongeze ili uepukane na vilio vya hapa na pale pindi ukisalitiwa.
Asanteni
ulimbukeni si kitu kizuri na wala sio sahihi kwa Mwanaume kamili šŸ’

hata hivyo wadada wanaupenda mno na wanauamini mbaya sana ulimbukeni wa miongoni mwa wanaume suruali šŸ’

na wao,
wanapobaini ukweli baada ya kufanywa kitu mbaya hujuta sana...

Tumuombe Mungu atusaidie kuishi uhalisia wetu, daima tukubali kwamba baadhi ya vitu hatuna au hatuna uwezo navyo.
Na hapo tutaishi kwa Furaha na Amani.
Mungu akubariki sana šŸ’
 
Umeongea kwa uchungu m
Tatizo la wanawake wa Siku hizi wakiona mwanaume kajitoa kuwapa Pesa na upendo wanamuona Limbukeni na Mjinga..

Ngoja nikupe facts..
MWanaume hatoi pesa hovyohovyo ila kwa sehemu anayoithamini nakuipenda..
Ipo siku atashtuka kuwa hapendwi na hataweza kukupa tena Hiyo pesa unayomuonea nayo ulimbukeni..

Hatutaki kuona Uzi tena na mabandiko yanayosema wanaume ni wabahili na hawajali wapenzi wao..

Wanawake hamjui Mnalotaka hamjui nini hasa mnataka mpewe na hasa nyinyi wanetu wa 2k..

Yaani mnahisi Mnaijua Dunia kuliko sisi Baba zenu?
Umeongea kwa uchungu mkubwa sana. 🚶🚶🚶 Point sana mkuu
 
ulimbukeni si kitu kizuri na wala sio sahihi kwa Mwanaume kamili šŸ’

hata hivyo wadada wanaupenda mno na wanauamini mbaya sana ulimbukeni wa miongoni mwa wanaume suruali šŸ’

na wao,
wanapobaini ukweli baada ya kufanywa kitu mbaya hujuta sana...

Tumuombe Mungu atusaidie kuishi uhalisia wetu, daima tukubali kwamba baadhi ya vitu hatuna au hatuna uwezo navyo.
Na hapo tutaishi kwa Furaha na Amani.
Mungu akubariki sana šŸ’
Tatizo kubwa nililoliona mimi ni kutokujiamini.
Mwanaume anayejiamini hawezi kuwa na dhana hii potofu ya kuamini akikupa ela ndo kamaliza majukumu yake kama Mwenza.
 
Ukweli kabisa 100%
Na hapo ushaniliwaza nimeliwazika kwahyo nakua sina pa kwenda lazima nitakuganda na hapo hapo kama hautonipa pia sitajali kwa maana nimekutunuku bila hongo
Hutojali kivipi wakati utaanza kutafuta wenye pesa?
 
Ela kama ela, ngoja sasa akunyime ela tuone itakuwaje.
Tuseme aninyime ela halafu anijali aniliwaze anibembeleze, linganisha hapo. Ukisema unipe ela kwa dhana kwamba ndio jukumu lako kama Mwenza halafu majukumu mengine umuachie bodaboda utanikuta kesho sipo nimehamia kwa bodaboda nimekuachia ela zako.
 
Pesa tunazitaka Mkuu(kama zipo)
ila kwenye mapenzi pesa haiwezi kuondoa upweke.
Money can't buy Happiness
Having enough money for the basic necessities of life as well as your wants and needs usually means a happier life.
 
Tuseme aninyime ela halafu anijali aniliwaze anibembeleze, linganisha hapo. Ukisema unipe ela kwa dhana kwamba ndio jukumu lako kama Mwenza halafu majukumu mengine umuachie bodaboda utanikuta kesho sipo nimehamia kwa bodaboda nimekuachia ela zako.
Sasa upewe nini ELA au MAPENZI? Chagall moja.
 
Nashukuru MUNGU hayo nilishayapita. Sina habari na hayo makitu. Kama ameamua kuliwa ni mwili wake. Tu nisimpate au nisipate evidence.

Kwamba sijui yuko kazini au nimemuacha home niumie kwamba anaweza akaliwa. Niache kusaka hela. Sina maumivu hayo kabisa. Akidokoa ni mwili wake,mimi napungukiwa nini?. Mbona sisi wanaume ndio wataalam wa viwanja vya ugenini?
 
Tuseme aninyime ela halafu anijali aniliwaze anibembeleze, linganisha hapo. Ukisema unipe ela kwa dhana kwamba ndio jukumu lako kama Mwenza halafu majukumu mengine umuachie bodaboda utanikuta kesho sipo nimehamia kwa bodaboda nimekuachia ela zako.
Umeona hii Leejay49
 
Back
Top Bottom