Mwanaume mbembeleze mwanamke baada ya ugomvi, mtatuua kwa stress

Nawapuuza coz mnasumbua wakati u have nothing to offer,toka enzi na enzi wanawake mnapuuzwa na kudharauliwa ko kubali hali yako tayari wewe ni mwanamke hutabadilika
 
Kwani ukisema hivyo ndo itabadilisha ukweli wa jinsi nilivyo? Wewe ongea jifurahishe tu ila ukweli utabaki pale pale.
Ndo hivyo tena k haijatosha kunifanya niwaone mnakitu cha ziada,mimi situmii moyo wenye mihemko ila akili ko vumilia kama hayakuhusu potezea sio pilipili alishwe mwingine uwashwe wewe
 
Kwani wewe unaona kuzaa kuna uajabu gani,ulitaka azae nani? Ingekuwa ni adhabu hivyo hakuna mwanamke angekuwa anarudia kuzaa,kama unadhani kutafuta pesa ni rahisi acha usizae ili usitafute ujihudumie mwenyewe
Sasa kwani na kutafuta pesa unaona ni adhabu? Sasa usipotafuta wewe unataka nani mwingine atafute? Yaani wewe haubebi mimba, hauzai, haupiki, haufui, hauoshi vyombo, hausafishi nyumba

Yote hayo anafanya mkeo halafu wewe kutafuta pesa na kuhudumia familia tu unaona ni mtihani mkubwa sana eti? Hahahaha wanaume waoga wa maisha utawajua tu

Yaani wewe mwanaume badala ya kuchukulia kutafuta pesa na kuhudumia familia kama ni jukumu lako la lazima unachukulia eti ni kama mzigo umebebeshwa wakati wanaume wenzio wanaona ni kawaida kabisa na wanafanya bila kuleta longolongo

Ndo maana nasema nakushangaa wewe mwanaume unayemuonea mkeo eti kisa unamhudumia siyo mwanaume kamili maana ungekuwa mwanaume kamili ungechukulia kama kumhudumia mkeo ni wajibu wako na ni haki yake na wewe hautakiwi kujisifia kwa hilo kama ambavyo sisi hatutakiwi kujisifia kwa majukumu yetu
 
Nawapuuza coz mnasumbua wakati u have nothing to offer,toka enzi na enzi wanawake mnapuuzwa na kudharauliwa ko kubali hali yako tayari wewe ni mwanamke hutabadilika
Nothing to offer? What about the children you have? Kwani na wanaume ukiacha pesa ambazo hata sisi tunaweza kujitafutia mna nini kingine cha kutupa?
 
Ndo hivyo tena k haijatosha kunifanya niwaone mnakitu cha ziada,mimi situmii moyo wenye mihemko ila akili ko vumilia kama hayakuhusu potezea sio pilipili alishwe mwingine uwashwe wewe
Kwani wanaume mna nini cha kutufanya wanawake tuwaone wa ziada?
 
Kwani wanaume mna nini cha kutufanya wanawake tuwaone wa ziada?
Tunawalisha sisi ni slope zenu vita ikizuka hapa usalama wenu nani au hata mjusi akiingia ndani mnakimbia nyumba mna maana gani nyie zaidi ya kutuzaa
 
Nothing to offer? What about the children you have? Kwani na wanaume ukiacha pesa ambazo hata sisi tunaweza kujitafutia mna nini kingine cha kutupa?
Alaa mbona mnahanfaika kuombewa muolewe ushawahi ona wanaume wanalialia kwa wachungaji au waganga huko ili iwaje?
Tunavyo vingi hata kuwatia tu u gain we loose
 
Kama sio mzigo katafute na wewe,hizo kazi zingine ni simple sana ndio maana kwenye zinafanywa na wanaume pale zikiwa kwenye volume au quantity kubwa kama hoteli,shule etc
Ili uhudumiwe lazima utii wa sheria ya ndoa bila shuruti
 
unaongelea wale wanaojiachiaga kwenye ndoa eeh..pole yao ndo ao wanaongoza kugongewa wake zao..mwanaume kupet bwanaaa.
Eti ugomvi umetokea we ndo unakauusha kmyaaaa tena unaanza na kupost vmtu vngine..hahaa kweli mapenzi hayana FOMULA..


Binafsi ukikaa kimyaa mda usio wa kawaida niliozoea basi ushanipa jibu nina uzito gani kwaknachukua hatua faster SIO MDOLI MM NINA MOYO.mxeeeew
 
Yani wanawake wana akili kijiko cha dawa, kukosa akose yeye msamaha aombwe yeye aisee!!
Unachelewa kukaa kumsubiri mtu akuombe eti msamaha, anza wewe kama kweli hutaki kumpoteza.

Shida inakuja hakuna ambae yuko tayari kujishusha.
 
Tunawalisha sisi ni slope zenu vita ikizuka hapa usalama wenu nani au hata mjusi akiingia ndani mnakimbia nyumba mna maana gani nyie zaidi ya kutuzaa
Sidhani kama wewe ni mtoto mdogo wa kustahili kueleweshwa umuhimu wa kuzaa kwamba haujui kabisa
 
Alaa mbona mnahanfaika kuombewa muolewe ushawahi ona wanaume wanalialia kwa wachungaji au waganga huko ili iwaje?
Tunavyo vingi hata kuwatia tu u gain we loose
Kwa taarifa yako wanawake wanaohangaika kuolewa ni wale ambao wanaishi kufuata mitazamo ya jamii yaani wanawaza wasipoolewa jamii itawachukuliaje ndo matokeo yake wanalazimisha kuolewa hadi wanaishia kuolewa na wanaume kama wewe
 
Kama sio mzigo katafute na wewe,hizo kazi zingine ni simple sana ndio maana kwenye zinafanywa na wanaume pale zikiwa kwenye volume au quantity kubwa kama hoteli,shule etc
Ili uhudumiwe lazima utii wa sheria ya ndoa bila shuruti
Kwani wewe unaongelea wanawake wa aina gani? Mbona siku hizi tupo wanawake wengi tunaotafuta pesa? Wanawake kama mkeo wasiotafuta pesa siku hizi kwenye jamii wanadharaulika na wanaonekana wa ajabu na ndo hao wanaokubali kunyanyasika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]basi kumbe nimeshapata jibu kwanini mkeo anakubali kunyanyasika

Aise ningejua tangu muda wote huo kwamba mke wako hatafuti pesa nisingebishana na wewe wanawake kama mke wako ndivyo walivyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]lazima wakubali kunyanyasika kwa sababu wanajua wakiachika hawana pa kwenda maana kila kitu wanawategemea waume zao ila ungepata mwanamke anayetafuta pesa zake asingekubali kuo ujinga basi kumbe ndo maana daah
 
Wee mwanamke kichwa aisee.
 
Kuna uzi huko usioe mwanamke mwenye pesa au mtumishi umeumia,nadhani umeusoma jukumu lenu kuzaa ukiamua pesa manake imejitoa kuolewa full stop
 
Kwa taarifa yako wanawake wanaohangaika kuolewa ni wale ambao wanaishi kufuata mitazamo ya jamii yaani wanawaza wasipoolewa jamii itawachukuliaje ndo matokeo yake wanalazimisha kuolewa hadi wanaishia kuolewa na wanaume kama wewe
Na nyie mnaotaka uhuru mnaushia kuwa left overs,watu wanatolea nyege wanasepa hamuwezi kuolewa
So uchague kuolewa au kuwa wa kutolea wanaume nyege
 
Sidhani kama wewe ni mtoto mdogo wa kustahili kueleweshwa umuhimu wa kuzaa kwamba haujui kabisa
Kuzaa ni kuzaa lazima uzae sasa unachotaka kunitwisha kisa unazaa hakibebeki,kuzaa utazaa tu sasa sijui unataka kwamba kisa unazaa ndo tuimbe hakuna kama mama,hili kwangu halipo ni jukumu lako kuzaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…