BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
SEMA Inategemea kazingua nini kwa kiwwango gani kuna mengine arisu no kubembeleza...in such sio kubebmebelza kiivo akizingua yani unapima...ila mi huwa nabebmbeleza nikiwa kwenye UFISI MODE teheteheWw mwanamke kwangu nuna tu hata miaka 200 siwezi bembeleza aisee,hata mtoto siwezi itakua mkubwa,ukizingua nasepa tu,nacheki manzi mwingine.
Ke nyie mnazingua ndo maana upendo toka kwangu ulishaisha,sana sana natumia kanuni ya 1 katika mahusiano kifungu cha 3 a,ambayo inasema (fff) yaani find,**** and forget.
HIYO NA MIMI NO, sana sana ataona namuita tu namsemesha kwa upole mahaba namtoa oit ila kutoa neno NISAMEHE sijuiYeah, kuishi na mwanamke kwa akili kuna mengi humo katikakati. I wouldn't say I'm so sorry directly, lakini kwa matendo yangu utajua nimeomba msamaha na najutia nilichofanya, lakini eti "samahani mke wangu, nisamehe"..teh nah nah!!
Mwanamke haombwi msamaha aiseee.HIYO NA MIMI NO, sana sana ataona namuita tu namsemesha kwa upole mahaba namtoa oit ila kutoa neno NISAMEHE sijui
HapanaTatizo ni pale kila siku anayejishusha ni yule yule hata kwa kosa lisilo lake.
MmmhHoja zako zipo vema..
La msingi hapa mara nyingi ugomvi hua hauepukikii, lamsingi kama cc2 nikuweka mbinu/namna ya kusolve disputes zetu pale zitokeapo
Mfano mm ukiniletea bia mbili ukasema mume nisamehe shushia hizi mbili ukiwa natabasamu, ugomvi wote unayeyuka..and vice verse
Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale
Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee
Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako
Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana
Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa
Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake
Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena
Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana
Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi
Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia
Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano
Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji
Mkuu wewe na mimi twafanana kabisa katika hili, mke wangu ni jeuri sana hata kama amekosea huwa hakubali kujishusha zaidi ya hapo atakukalia kimya pengine hata asipike kabisa kama mkosaji ni mimi, miaka ya mwanzo alinipa shida sana maana alikuwa akinuna hata wiki nzima hatuongei ndani,nilifikia hatua ya kumuacha lakini nilipowafikiria wanangu nikaona hapana aisee,basi ikawa tukivurugana ndani akinuna,hanisemeshi natoka kimya kimya naenda kulala hukohuko,tutaonana kesho,nikimkuta amenuna tena narudiko kula nakula hukohuko, narudi nimeoga na nguo nimebadili kabisa,ndani ya miezi mitatu nikawa nimetibu tatizo kabisa visirani vya ajabuajabu vikakoma kabisa.huo uanaume wa darisalam nishaukataa.
wife akininunia au akanipa story za ajabuajabu huwa nanyamaza tu na sibishani nae. nikimuongelesha Mara tatu hajibu huwa natoka nyumbani naenda kitaa nalala huko, naunga hadi kazini.
nikirudi nyumbani saa9 hakuna msosi na haniongeleshi narudi tena, na kibegi changu cha nguo za kubadili hadi kesho yake tena. kuna kipindi nilifanya hivyo wiki nzima.
akiniongelesha tu ndo namvutia chumbani tunaweka heshima na kumdanganya danganya.
kwa nini nafanya vile?
nilipomuoa 2007 alikuwa kila mwezi ananyamaza kwa siku, nikawaza kulikoni hadi nikahisi ana tatizo la akili... kumbe analenga mshahara utoke nimkabidhi. maringo yalikuwa tar 27, siku ya mshahara tunaenda nae wilayani na phoenix yetu tumebebana.
ulipoisha mwaka nikamzoea nikaanza kuwa mwanaume na uvulana ukaisha. kipindi kile hata shamba sikutaka alime, lakini now anashinda shamba.
narudia, siwezi kubembeleza... hata mwaka unaisha.
Ukisema samahani kuna tatizo?Yeah, kuishi na mwanamke kwa akili kuna mengi humo katikakati. I wouldn't say I'm so sorry directly, lakini kwa matendo yangu utajua nimeomba msamaha na najutia nilichofanya, lakini eti "samahani mke wangu, nisamehe"..teh nah nah!!
Kuna mwanamke huyo,we acha tuKwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale
Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana mambo yaishe mapenzi yaendelee
Kunapotokea ugomvi wa kimahusiano sio siri sisi wanawake huwa tunaumia sana,na huwa tunapenda mahusiano yazidi kuwepo hasa kama uliyenaye ni yule wa moyo wako
Katika hali hiyo tunategemea mwanaume amuonyeshe mpenzi wake pamoja na kugombana bado anampenda na anampenda sana
Hapa tunamtegemea mwanaume baada ya kugombana,baada ya SAA moja mwanaume atakuwa na jukumu la kuweka mahusiano sawa,kwa kumtumia text za hapa na pale,za kumbembeleza mwanamke hata kama mwanamke ndo alikuwa na makosa,haijalishi nani kaanzisha ugomvi ila mwanaume ana jukumu kubwa la kuweka mahusiano sawa
Kwa sasa hali imebadilika sana kwa hawa wanaume,mnagombana,mnamaliza hata siku mbili hakutumii text,wala kukupigia sim,na kama mwanamke ataendelea kupiga kimya,kinachofuata ni mwanaume kuanza kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo hazieleweki,mara aweke za mwanamke fulani,mara aweke za wanawake na status kibao,au akae online muda mrefu ambapo si kawaida yake
Unabaki unajiuliza ina maana mahusiano yameisha,mbona sielewi,mapicha picha ya nini tena
Ukweli ndo huu,tunapogombana na ukamaliza masaa 2 bila kutuma sms au kupiga sim hata kuulizia kitu fulani,yaani huwa tunaumia sana
Na kama tangu ugomvi yamepita masaa 5 hujatuma sms, huwa tunahisi kuchanganyikiwa,sms inaingia unadhani ni baby kumbe za watu wengine au mitandao maumivu huwa yanatuzidi
Nyie wanaume acheni kuwatesa wawapendao,hamjui tu tunavyoumia
Ndo maana muda mwingine unasema bora usiwe kwenye mahusiano
Tubembelezeni basi baada ya ugomvi,hata kama sisi ndo wakosaji au hata kama ni nyie wakosaji