ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Tabia hiyo nimeiona kwa wife pia sasa huwa natamani kubwaga ila watoto ni wadogo nawaonea huruma but nachofikiria naoa mwanamke mwingine simuachi ili nilee watoto coz hiyo ya kuondoka inaleta gharama unnecessaryMkuu wewe na mimi twafanana kabisa katika hili, mke wangu ni jeuri sana hata kama amekosea huwa hakubali kujishusha zaidi ya hapo atakukalia kimya pengine hata asipike kabisa kama mkosaji ni mimi, miaka ya mwanzo alinipa shida sana maana alikuwa akinuna hata wiki nzima hatuongei ndani,nilifikia hatua ya kumuacha lakini nilipowafikiria wanangu nikaona hapana aisee,basi ikawa tukivurugana ndani akinuna,hanisemeshi natoka kimya kimya naenda kulala hukohuko,tutaonana kesho,nikimkuta amenuna tena narudiko kula nakula hukohuko, narudi nimeoga na nguo nimebadili kabisa,ndani ya miezi mitatu nikawa nimetibu tatizo kabisa visirani vya ajabuajabu vikakoma kabisa.
Leo mwaka wa saba ni nuru tu.
Hivi juzi tulizinguana hakupika mchana nikapotezea nikarudi jioni Kala hajaweka msosi,nikasema nyumba yangu afu anizingue,nikatoa Mikanda kwenye suruali nikampa ya mgongoni makalioni kaamka achukue nondo ilikuwepo room nikamuwahi wakati tunagombezana eti ananipiga kichwa duu nikasema huyu kumbe anabipu,,nilimbamiza ukutani hajakaa sawa alikula mtama chini nikampa vibao akasanda akasalia kulia
Nikasema amka eti anaamka akala mateke ya mikono hoi nikachukua Mikanda upande wa chuma alikula hadi akaumia mgongoni chuma zilipalua ngozi nikasepa hapo ni saa tatu na ucku
Kesho nikarudi kapika sikula eti Kalala kwenye godoro tofauti na mimi nikamuacha narudi jioni kapika nikala hadi saizi heshima