Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wadau...
Ukisikia bahati Sasa ndio hii. Najua Wapo ambao hawataelewa na kuchukulia utani lakini hili suala Ni serious Sana kutokana na mhusika mwenyewe.
Sifa.
Awe muislam
Miaka kuanzia 40 na kuendelea
Kazi mfanyakazi au mfanyabiashara
Makazi awe anaishi Dar.
Awe hajawahi oa au alioa akatalikiana pia akiwa na watoto ni sawa
Sifa za muhitaji
Rangi ya chungwa na tabasamu bashasha
Watoto 2( Wapo nje ya nchi hakai nao)
Ni mfanyabiashara.
Ni mjane
Mengine njoo pm ili ukutanishwe na mlengwa. Narudia kwa atakayefanikiwa kuelewana na Dada huyu basi ataishukuru JF mpaka mwisho wa maisha yake kwani sasa ataenda kuishi Dunia ya furaha na yenye asali na maziwa.
Mume wa open kitchen🤣🤣🤣🤣Alienda akirushiwa maua akarudi akirushiwa vikorokoro vyake 😄😄
Yaan adi amechanganyikiwa hajui aanze na yupi🤣🤣🤣Najua watu serious wanapambana PM huko
Inaonesha ni bikra lakini ana watotoWe ni bikra?
at your own riskWana JF mniombee...
Mtuombee tuko PM huku tunapambana.Najua watu serious wanapambana PM huko
miaka 40 hawezi kusimamia kucha..! dah! mpetipeti basi ashuke hadi wa miaka 25..😉
Nyie saa nyengine viburiKwani tuliopo hatukutoshi? 😂😂
Aya njoo PMHapa hakuna watu fake.
Mimi nawajua watu wengi tu hawapendi kujitangaza tu wamekutana humu
Kama fake labda Wewe BUT wengI humu Ni wema Japo Kuna wachache tu wenye kuchukulia utani kwa kila jambo
naskia wivu bas tuu..Aya njoo PM