Mwanaume, Mungu akikupa uhai mpaka unafikisha miaka 35 hakikisha uwe na familia. Fedha si kitu

Mwanaume, Mungu akikupa uhai mpaka unafikisha miaka 35 hakikisha uwe na familia. Fedha si kitu

Ndugu zanguni, maisha yanakwenda kwa kasi sana, na hatujui ya mbele yetu ni nini, yanaweza yakawa mazuri au mabaya japo katika kanuni ya maisha hatutakiwi kujitabiria mabaya.

Katika mazuri kunakufanikiwa kimaisha, kiuchumi, kifamilia, elimu na afya njema lakini katika mabaya nayakusikitisha kwa mwanadamu kuna magonjwa pamoja na vifo na mengineo.

Tukigeukia kwa upande wa mabaya, kijana umefikisha miaka 35 au zaidi au chini kidogo uwe na fedha au usiwe nazo na huna familia, wewe bado upo upo. Ulishawai kukaa na kutafakari siku kwa bahati mbaya umeumwa gafla ndani umezidiwa itakuwaje?

Sawa ndugu zako wakaribu watapata taarifa na watakusaidia lakini itafika mahali wanaweza choka na kujipoteza mmoja moja, kinachobaki nikuanza kujuliwa hali kwa njia ya simu lakini familia yako, mke na watoto watakuwa hapo na wewe usiku na mchana kukupambania, hawatachoka na wewe. Tumeshuhudia haya katika jamii zetu zinazotuzunguka.

Vile vile unaweza kuwa na fedha nyingi mwisho siku zinaweza zisikusaidie pia ukiwa kitandani. Hili ni jambo lakufikiria sana na kulipa umakini mkubwa. Sisi wanaume kuna namna tunataikiwa tufikirie sana.
Kama familia haina uwezo itakuhudumiaje?
Kwani unaanzisha familia kwa lengo la ukipata matatizo ikusaidie?
Usipojipanga ukipata matatizo wanaume wenzako watakusaidia kwa mkeo,Kizazi cha sasa hakitaki shida

Pesa ni jibu la Mambo yote hata Kwenye Biblia imeandikwa
Pesa inafariji acheni masihara 😀
 
Sasa hiyo familia utaitunzaje bila pesa..
Kama wewe mwenyewe Kula Tu ni tabu
 
Kama familia haina uwezo itakuhudumiaje?
Kwani unaanzisha familia kwa lengo la ukipata matatizo ikusaidie?
Usipojipanga ukipata matatizo wanaume wenzako watakusaidia kwa mkeo,Kizazi cha sasa hakitaki shida

Pesa ni jibu la Mambo yote hata Kwenye Biblia imeandikwa
Pesa inafariji acheni masihara 😀
Usiitukuze pesa ivo pesa sio kila kitu hapa dunian mbona kuna watu hawana pesa wanaishi vzur tu na wengine wana pesa nyingi ila ndo wanaishi maisha ya tabu
 
Ndugu zanguni, maisha yanakwenda kwa kasi sana, na hatujui ya mbele yetu ni nini, yanaweza yakawa mazuri au mabaya japo katika kanuni ya maisha hatutakiwi kujitabiria mabaya.

Katika mazuri kunakufanikiwa kimaisha, kiuchumi, kifamilia, elimu na afya njema lakini katika mabaya nayakusikitisha kwa mwanadamu kuna magonjwa pamoja na vifo na mengineo.

Tukigeukia kwa upande wa mabaya, kijana umefikisha miaka 35 au zaidi au chini kidogo uwe na fedha au usiwe nazo na huna familia, wewe bado upo upo. Ulishawai kukaa na kutafakari siku kwa bahati mbaya umeumwa gafla ndani umezidiwa itakuwaje?

Sawa ndugu zako wakaribu watapata taarifa na watakusaidia lakini itafika mahali wanaweza choka na kujipoteza mmoja moja, kinachobaki nikuanza kujuliwa hali kwa njia ya simu lakini familia yako, mke na watoto watakuwa hapo na wewe usiku na mchana kukupambania, hawatachoka na wewe. Tumeshuhudia haya katika jamii zetu zinazotuzunguka.

Vile vile unaweza kuwa na fedha nyingi mwisho siku zinaweza zisikusaidie pia ukiwa kitandani. Hili ni jambo lakufikiria sana na kulipa umakini mkubwa. Sisi wanaume kuna namna tunataikiwa tufikirie sana.
Tafuta hela wewe
 
Familia muhimu na ni burudani.
Pesa ni muhumu na hitaji la lazima.
 
Ndugu zanguni, maisha yanakwenda kwa kasi sana, na hatujui ya mbele yetu ni nini, yanaweza yakawa mazuri au mabaya japo katika kanuni ya maisha hatutakiwi kujitabiria mabaya.

Katika mazuri kunakufanikiwa kimaisha, kiuchumi, kifamilia, elimu na afya njema lakini katika mabaya nayakusikitisha kwa mwanadamu kuna magonjwa pamoja na vifo na mengineo.

Tukigeukia kwa upande wa mabaya, kijana umefikisha miaka 35 au zaidi au chini kidogo uwe na fedha au usiwe nazo na huna familia, wewe bado upo upo. Ulishawai kukaa na kutafakari siku kwa bahati mbaya umeumwa gafla ndani umezidiwa itakuwaje?

Sawa ndugu zako wakaribu watapata taarifa na watakusaidia lakini itafika mahali wanaweza choka na kujipoteza mmoja moja, kinachobaki nikuanza kujuliwa hali kwa njia ya simu lakini familia yako, mke na watoto watakuwa hapo na wewe usiku na mchana kukupambania, hawatachoka na wewe. Tumeshuhudia haya katika jamii zetu zinazotuzunguka.

Vile vile unaweza kuwa na fedha nyingi mwisho siku zinaweza zisikusaidie pia ukiwa kitandani. Hili ni jambo lakufikiria sana na kulipa umakini mkubwa. Sisi wanaume kuna namna tunataikiwa tufikirie sana.


Hiyo familia inakula miaka...
 
Usiitukuze pesa ivo pesa sio kila kitu hapa dunian mbona kuna watu hawana pesa wanaishi vzur tu na wengine wana pesa nyingi ila ndo wanaishi maisha ya tabu
Sawa,chaguo ni lako
nachagua upande wa kua na uwezo wa pesa kwanza,mengine yatajileta yenyewe nikishasimama mimi kwanza
 
We unamawazo ya kizamani Sana tafuta pesa wekeza Katika Mambo ya msingi hakuna Mwanamke Wala Familia ya kukuokoa acha kuishi Katika ndoto za alinacha
Vipi usipo ipata hiyo fedha katika umri huo!?? Kuna wangapi hata wewe hujaipata katika umri huo!?? Vijana mna safari ndefu Sana!! Life is not a rehearsal!!!?? Is performance mjomba!! Pesa ni matokeo
 
Inaonekana mwanaume ndo mwenye uhitaji na familia sana kuliko mwanamke sio?, Na kwamba matatizo yapo kwaajili ya mwanaume pekee sio?, unamaana ya kwamba haiwezekani mwanafamilia yeyote zaidi ya baba ambae ndo anaweza kupatwa na hayo matatizo? Tuache kuishi kwa kukariri
 
Anyway, Nina uwezo wa kukujibu chochote lakini naachana na wewe
Hujaachana nami, umenijibu, halafu unasema umeachana nami.

Ungekuwa umeachana nami usingenijibu chochote.

Umenijibu halafu unasema hujanijibu!
 
Sawa!

Yote kheri,lakini nadhani hadi 35 kama mwanamme lazima uwe na alama umeweka Kwenye jamii,familia ni identity muhimu sana!!

SWALA LA msaada ni kumuomba Mungu tu, HUWEZI JUA msaada utatoka wapi mkuu coz WANAUME tunahitajika Kwenye jamii HATUPENDWI MKUU,TRUST HATUPENDWI LABDA MAMA YAKO MZAZI TU!!

Ukishapoteza ushawishi Kwenye familia yaani aidha ugonjwa wa MUDA mrefu au uzee au kifungo cha maisha you are done trust me!!

Huyo mkeo sio wa kutilia maanani unapokua Katika hali ya kushindwa mkuu,watoto nao tunalea lakini WAKIKUA watasema HAKUNA KAMA MAMA yaani we shinda juani,waza sana fanya vyovyote vile lakini kuhusu upendo wa watoto KWA baba utategemea roho ya mama ilivyo kukuelekea kipindi hicho!!!

ENDELEA KUOMBA MUNGU MKUU MAMBO NI MENGI SANA!!
Wanaume tunahitajika hatupendwi....!!
 
Back
Top Bottom