Mwanaume mwenye hekima hamwambii Mwanamke wake haya mambo mawili

Mwanaume mwenye hekima hamwambii Mwanamke wake haya mambo mawili

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Screenshot_20250115_170723_Google.jpg


Maexpert wa kiume nawapa mchongo ambao wanaume wenye hekima tu ndio wanaielewa hii code

Mosi, mwanamke wako hatakiwi kujua hisia zako za ukweli kabisa,yes you heard me!

Fanya utakavyo fanya na ishi naye utakavyo ishi naye lakini mwanamke wako anatakiwa asikujue kabisa wewe ni mtu wa namna gani,yani anatakiwa asikuelewe kwa asilimia mia moja

Mwanamke kwa asilimia kubwa huwa hajui anataka nini kwahiyo kwakuwa hajui anataka nini basi na wewe mfanye asikujue wewe ni mtu wa namna gani,yani hapo utamfanya abakie njia panda na unakuwa na mvuto kwake

Kinyume chake akikujua kabisa wewe ni mtu wa namna fulani basi unaanza kumboa na unakuwa huna mvuto tena kwake,uwe sometime yes na sometime no yani haupoi

Sometime unampa ruhusa aende sehemu fulani na kuna nyakati hautoi ruhusa,yani ili mradi uwe haueleweki,kwa kufanya hivyo utakuwa na mvuto kwake

Ogopa sana mwanamke anataka labda kutoka na wenzake,badala ya kuja kwako kutaka ruhusa,pale pale anawaambia wenzake nitakuja tu kwasababu mume wangu wala huwa hana neno au hana shida, jua expert hapo amekujua kuwa wewe upo hivi kwahiyo naye atakuchukulia kihivyo

Code ya pili maexpert wenzangu,mwanamke wako anatakiwa asijue una fedha kiasi gani bank,yan ajue tu una hela lkn asijue kiasi halisi kabisa,mpende utakavyo mpenda lakini hapo mwamba usiweke wazi,la sivyo utamuona mwanamke wako ana tamaa kumbe wewe mwenyewe umehamsha tamaa yake

Kumbuka wanawake na pesa ni marafiki sana,kuna mwamba mmoja alikuwa anajisifu kuwa hakuna anayeweza kumla demu wake,ni jamaa kutoka huko kigamboni kwa akina Vincenzo Jr

Wadau wakamwambia kwahiyo unajiamini kabisa tubet,jamaa akasema ruhsa,kama unavyojua kwakuwa wamba wanajua udhaifu wa wanawake,basi mwamba mmoja akamtokea demu na kumpa shilingi 500,000/=

Kilichofuatia hapo dem alifanywa kitoeo safi kabisa,kwahiyo wakati mwingine ni sisi wenyewe tunatengeneza mazingira ya kupigwa mizinga,kuna uzi mmoja nilisoma juzi kati wa expert mmoja hivi,anasema demu aliomba hela ya kwenda saluni akampa 80,000

Sasa asichojua huyo expert ni kwamba dem alimpigia ramli jamaa akajua kama saluni ametoa hii basi huyu jamaa ni mtamu,siku ya pili si akaletewa mkeka wa gharama kibao,matokeo yake mwamba kashusha uzi kueleza malalamiko yake

Na hapo hajajua account yako inasomaje,je akijua si utajifia bure wewe!!!


Ni hayo tu!
 
Kwaiyo 80 ni hela kubwa sana kumpa mwanamke Kwa ajil ya urembo apendeze wengine wakiwahudumia mnawaona wanapendeza mate yanawajaa

Wanaume tafuten hela achen visingizio kama huwez hudumia mke wako achen kuja huku kulia mpate huruma za wengine
 
Code zimesimama, ila sasa hizi code hazizuii demu kuliwa nje, ndo ubaya wa hawa viumbe

Mtu akija kunipa mbinu ya kumfanya demu abaki njia kuu tuu asitoke nje kwa 100% . Ntaizingatia, ila hizi zingine naona tunarudi kule kule tuu....ATALIWA TUU
 
Kiufupi hutakiwi kuishi maisha ya kumridhisha mwanamke , bali ww kama mwanaume ni kuhakikisha unatimiza majukumu yako kama baba wa familia basi.
Na pia kama mwanaume unatakiwa kuweka sheria na utaratibu ndani ya familia ambao kuanzia mke na watoto wanatakiwa kuufuata asiye taka aondoke.
 
Anaomba 100 anapewa 1000, na akija kesho anataka elfu Kumi anaambiwa hakuna na hapo mwanaume atakuwa ametekeleza code Yako namba Moja ya kutoeleweka, kwa Hy aliyetoa 80000 alikuwa yuko sawa na alipoletewa orodha kubwa ya mahitaji ilikuwa jibu ni Sina, ila hajajielewa akaanza kulalamika, hiyo ni code ya kwanza. Code ya pili ni Sahihi asijue kiasi ulichonacho, shida inakuja kwa wanaume kutaka kuonyesha kiasi alichonacho kama njia ya kumfanya Mwanamke abaki naye na huko ni kutojiamini na kosa linaanzia hapo.
 
Kwaiyo 80 ni hela kubwa sana kumpa mwanamke Kwa ajil ya urembo apendeze wengine wakiwahudumia mnawaona wanapenda mate yanawajaa

Wanaume tafuten hela achen visingizio kama huwez hudumia mke wako achen kuja huku kulia mpate huruma za wengine
tu tafute hela? we hujui kutafuta hela? mbali na uchi mwanamke ana nini cha ziada? nidhamu ya pesa ndo msingi kwa mwanaume yeyote yule
 
Anaomba 100 anapewa 1000, na akija kesho anataka elfu Kumi anaambiwa hakuna na hapo mwanaume atakuwa ametekeleza code Yako namba Moja ya kutoeleweka, kwa Hy aliyetoa 80000 alikuwa yuko sawa na alipoletewa orodha kubwa ya mahitaji ilikuwa jibu ni Sina, ila hajajielewa akaanza kulalamika, hiyo ni code ya kwanza. Code ya pili ni Sahihi asijue kiasi ulichonacho, shida inakuja kwa wanaume kutaka kuonyesha kiasi alichonacho kama njia ya kumfanya Mwanamke abaki naye na huko ni kutojiamini na kosa linaanzia hapo.
Nimeipenda hii expert
 
Ni kweli kabisa mwanaume unatakiwa usieleweke ila kuna baadhi yao wanasikitisha, hajui kabisa nini maana ya kuwa mwanaume.
Huwa napenda sana kusikia mambo kama haya kwa wadada nyie wenyewe,kama nanyi mnakubaliana na hili sijui wanaume tunakwama wapi
 
Kiufupi hutakiwi kuishi maisha ya kumridhisha mwanamke , bali ww kama mwanaume ni kuhakikisha unatimiza majukumu yako kama baba wa familia basi.
Na pia kama mwanaume unatakiwa kuweka sheria na utaratibu ndani ya familia ambao kuanzia mke na watoto wanatakiwa kuufuata asiye taka aondoke.
Nimeipenda hii expert
 
Code zimesimama, ila sasa hizi code hazizuii demu kuliwa nje, ndo ubaya wa hawa viumbe

Mtu akija kunipa mbinu ya kumfanya demu abaki njia kuu tuu asitoke nje kwa 100% . Ntaizingatia, ila hizi zingine naona tunarudi kule kule tuu....ATALIWA TUU
Ni kweli hakuna namna utamzuia dem asiliwe,hiyo code haipo na haitakuja kuwepo kamwe
 
Back
Top Bottom