Mwanaume mwenye hekima hamwambii Mwanamke wake haya mambo mawili

Mwanaume mwenye hekima hamwambii Mwanamke wake haya mambo mawili

View attachment 3202586

Maexpert wa kiume nawapa mchongo ambao wanaume wenye hekima tu ndio wanaielewa hii code

Mosi, mwanamke wako hatakiwi kujua hisia zako za ukweli kabisa,yes you heard me!

Fanya utakavyo fanya na ishi naye utakavyo ishi naye lakini mwanamke wako anatakiwa asikujue kabisa wewe ni mtu wa namna gani,yani anatakiwa asikuelewe kwa asilimia mia moja

Mwanamke kwa asilimia kubwa huwa hajui anataka nini kwahiyo kwakuwa hajui anataka nini basi na wewe mfanye asikujue wewe ni mtu wa namna gani,yani hapo utamfanya abakie njia panda na unakuwa na mvuto kwake

Kinyume chake akikujua kabisa wewe ni mtu wa namna fulani basi unaanza kumboa na unakuwa huna mvuto tena kwake,uwe sometime yes na sometime no yani haupoi

Sometime unampa ruhusa aende sehemu fulani na kuna nyakati hautoi ruhusa,yani ili mradi uwe haueleweki,kwa kufanya hivyo utakuwa na mvuto kwake

Ogopa sana mwanamke anataka labda kutoka na wenzake,badala ya kuja kwako kutaka ruhusa,pale pale anawaambia wenzake nitakuja tu kwasababu mume wangu wala huwa hana neno au hana shida, jua expert hapo amekujua kuwa wewe upo hivi kwahiyo naye atakuchukulia kihivyo

Code ya pili maexpert wenzangu,mwanamke wako anatakiwa asijue una fedha kiasi gani bank,yan ajue tu una hela lkn asijue kiasi halisi kabisa,mpende utakavyo mpenda lakini hapo mwamba usiweke wazi,la sivyo utamuona mwanamke wako ana tamaa kumbe wewe mwenyewe umehamsha tamaa yake

Kumbuka wanawake na pesa ni marafiki sana,kuna mwamba mmoja alikuwa anajisifu kuwa hakuna anayeweza kumla demu wake,ni jamaa kutoka huko kigamboni kwa akina Vincenzo Jr

Wadau wakamwambia kwahiyo unajiamini kabisa tubet,jamaa akasema ruhsa,kama unavyojua kwakuwa wamba wanajua udhaifu wa wanawake,basi mwamba mmoja akamtokea demu na kumpa shilingi 500,000/=

Kilichofuatia hapo dem alifanywa kitoeo safi kabisa,kwahiyo wakati mwingine ni sisi wenyewe tunatengeneza mazingira ya kupigwa mizinga,kuna uzi mmoja nilisoma juzi kati wa expert mmoja hivi,anasema demu aliomba hela ya kwenda saluni akampa 80,000

Sasa asichojua huyo expert ni kwamba dem alimpigia ramli jamaa akajua kama saluni ametoa hii basi huyu jamaa ni mtamu,siku ya pili si akaletewa mkeka wa gharama kibao,matokeo yake mwamba kashusha uzi kueleza malalamiko yake

Na hapo hajajua account yako inasomaje,je akijua si utajifia bure wewe!!!


Ni hayo tu!
Jf kichaka Unaweza Kuta mtoa mada Yuko bar muda huu anagida pombe kupunguza stress za mapenz.
 
Kwaiyo 80 ni hela kubwa sana kumpa mwanamke Kwa ajil ya urembo apendeze wengine wakiwahudumia mnawaona wanapenda mate yanawajaa

Wanaume tafuten hela achen visingizio kama huwez hudumia mke wako achen kuja huku kulia mpate huruma za wengine
We kibaka hivi nimekusikia ukisema eti utumie pesa zangu kujifake saloon??
You b*tch nakuua halafu lilivyo limalaya limeshajipa kibali na umuhimu kwenye pesa za wengine..
 
Kama ni mtu sahihi na ni WA kwako huwezi complicate maisha yenu!

Tatizo tunawapata wasio sahihi na sio wa kwetu ndio maana kanuni kibao kama za hesabu!

Mentality inayorithiwa na kizazi Cha Sasa kwamba mwanamke anatoa uchi Hadi apate kwanza Hela ya mwanamme ndio atoe au atoe kwanza Hela ndio apewe uchi!HII MENTALITY NI YA KISHETANI NA SIO KANUNI HALISI YA MAISHA YALIVYOPASWA KUWA!

MWANAMKE LAZIMA AJIFUNZE KUJITEGEMEA KWANZA MWENYEWE KWA KAZI BINAFSI BILA KUTEMEA UCHI WAKE KAMA NDOANO YA KUPATA KITU TOKA KWA MWANAMME!!

MITHALI 31 INAMUONYESHA NAMNA MKE MWEMA ANAVYOPASWA KUWA MCHAPAKAZI KAMA MERIKEBU YA CHAKULA NA SIO MVIVU MACHO JUU JUU ILI AVUNE MAPESA TOKA KWA MWANAMME!
 
tu tafute hela? we hujui kutafuta hela? mbali na uchi mwanamke ana nini cha ziada? nidhamu ya pesa ndo msingi kwa mwanaume yeyote yule
Bro acha kujibizana na limalaya!! Haya ndio yale yanayoposti video Tiktok yanatikisa matako..
Imagine baba unapambana unatoa ada hadi binti anafika chuo kisha ajira yake anaenda kutwerk mitandaoni akidhani kuwa ni ujanja sana
Sasa hivi vimeamini kuwa umalaya ni sifa ya kujivunia sana
Halafu kichwani ni vyeupe sana hadi vinatoa jicho kwa kushindana..
Hawa ndio wanaongeza umasikini hapa nchini..
Hatuwezi kwenda sehemu yoyote kama mabinti ndio wamebeba mavichwa matupu hivi..
 
Kama ni mtu sahihi na ni WA kwako huwezi complicate maisha yenu!

Tatizo tunawapata wasio sahihi na sio wa kwetu ndio maana kanuni kibao kama za hesabu!

Mentality inayorithiwa na kizazi Cha Sasa kwamba mwanamke anatoa uchi Hadi apate kwanza Hela ya mwanamme ndio atoe au atoe kwanza Hela ndio apewe uchi!HII MENTALITY NI YA KISHETANI NA SIO KANUNI HALISI YA MAISHA YALIVYOPASWA KUWA!

MWANAMKE LAZIMA AJIFUNZE KUJITEGEMEA KWANZA MWENYEWE KWA KAZI BINAFSI BILA KUTEMEA UCHI WAKE KAMA NDOANO YA KUPATA KITU TOKA KWA MWANAMME!!

MITHALI 31 INAMUONYESHA NAMNA MKE MWEMA ANAVYOPASWA KUWA MCHAPAKAZI KAMA MERIKEBU YA CHAKULA NA SIO MVIVU MACHO JUU JUU ILI AVUNE MAPESA TOKA KWA MWANAMME!
Shida ni moja siku hizi malaya wanalipiwa mpaka mahari na kuveshwa pete na mashela juu watu ambao walitakiwa kunyanyapaliwa na kubaki kama kibebeo cha shahawa za mashetani wenzao..
 
Shida ni moja siku hizi malaya wanalipiwa mpaka mahari na kuveshwa pete na mashela juu watu ambao walitakiwa kunyanyapaliwa na kubaki kama kibebeo cha shahawa za mashetani wenzao..
Japo ni ukweli mchungu lakini ndicho kinachpaswa kusemwa wazi kabisa na mabinti wajifunze!

Dhana ya toa uchi pata pesa au huduma ni kuhalalisha ukahaba ndani ya jamii!!

Kuhudumia familia sio jukumu la mume pekee kama inavyohubiriwa sana Leo hii Bali uwajibikaji was pamoja!!!

Ukiyasoma maandiko vizuri wanawake mashujaa kama kina dorkasi na wengineo utagundua walikua wachapakazi kweli kweli Hadi waume zao wanajivunia kama mithali 31,

Leo mwanamke anatafuta mwanamme mwenye hela ili ahudumiwe yeye akitoa uchi huo ni ushetani mkuu na malezi duni katika maisha!!!
 
View attachment 3202586

Maexpert wa kiume nawapa mchongo ambao wanaume wenye hekima tu ndio wanaielewa hii code

Mosi, mwanamke wako hatakiwi kujua hisia zako za ukweli kabisa,yes you heard me!

Fanya utakavyo fanya na ishi naye utakavyo ishi naye lakini mwanamke wako anatakiwa asikujue kabisa wewe ni mtu wa namna gani,yani anatakiwa asikuelewe kwa asilimia mia moja

Mwanamke kwa asilimia kubwa huwa hajui anataka nini kwahiyo kwakuwa hajui anataka nini basi na wewe mfanye asikujue wewe ni mtu wa namna gani,yani hapo utamfanya abakie njia panda na unakuwa na mvuto kwake

Kinyume chake akikujua kabisa wewe ni mtu wa namna fulani basi unaanza kumboa na unakuwa huna mvuto tena kwake,uwe sometime yes na sometime no yani haupoi

Sometime unampa ruhusa aende sehemu fulani na kuna nyakati hautoi ruhusa,yani ili mradi uwe haueleweki,kwa kufanya hivyo utakuwa na mvuto kwake

Ogopa sana mwanamke anataka labda kutoka na wenzake,badala ya kuja kwako kutaka ruhusa,pale pale anawaambia wenzake nitakuja tu kwasababu mume wangu wala huwa hana neno au hana shida, jua expert hapo amekujua kuwa wewe upo hivi kwahiyo naye atakuchukulia kihivyo

Code ya pili maexpert wenzangu,mwanamke wako anatakiwa asijue una fedha kiasi gani bank,yan ajue tu una hela lkn asijue kiasi halisi kabisa,mpende utakavyo mpenda lakini hapo mwamba usiweke wazi,la sivyo utamuona mwanamke wako ana tamaa kumbe wewe mwenyewe umehamsha tamaa yake

Kumbuka wanawake na pesa ni marafiki sana,kuna mwamba mmoja alikuwa anajisifu kuwa hakuna anayeweza kumla demu wake,ni jamaa kutoka huko kigamboni kwa akina Vincenzo Jr

Wadau wakamwambia kwahiyo unajiamini kabisa tubet,jamaa akasema ruhsa,kama unavyojua kwakuwa wamba wanajua udhaifu wa wanawake,basi mwamba mmoja akamtokea demu na kumpa shilingi 500,000/=

Kilichofuatia hapo dem alifanywa kitoeo safi kabisa,kwahiyo wakati mwingine ni sisi wenyewe tunatengeneza mazingira ya kupigwa mizinga,kuna uzi mmoja nilisoma juzi kati wa expert mmoja hivi,anasema demu aliomba hela ya kwenda saluni akampa 80,000

Sasa asichojua huyo expert ni kwamba dem alimpigia ramli jamaa akajua kama saluni ametoa hii basi huyu jamaa ni mtamu,siku ya pili si akaletewa mkeka wa gharama kibao,matokeo yake mwamba kashusha uzi kueleza malalamiko yake

Na hapo hajajua account yako inasomaje,je akijua si utajifia bure wewe!!!


Ni hayo tu!
Utopolo mtupu. Kwanini kuna viumbe kama wewe wanaojiona wakamilifu wakati ni hovyo. Kama umemuamini kukuzaa, kukulea, kukutawaza, na kukufanya wewe, huoni unachosema ni utopoloooo mwanangu?
 
Japo ni ukweli mchungu lakini ndicho kinachpaswa kusemwa wazi kabisa na mabinti wajifunze!

Dhana ya toa uchi pata pesa au huduma ni kuhalalisha ukahaba ndani ya jamii!!

Kuhudumia familia sio jukumu la mine pekee kama inavyohubiriwa Dana Leo hii Bali uwajibikaji was pamoja!!!

Ukiyasoma maandiko vizuri wanawake mashujaa kama kina dorkasi na wengineo utagundua walikua wachapakazi kweli kweli Hadi waume zao wanajivunia kama mithali 31,

Leo mwanamke anatafuta mwanamme mwenye hela ili ahudumiwe yeye akitoa uchi huo ni ushetani mkuu na malezi duni katika maisha!!!
Mabinti na vivulana vinatoka na akili za vipanya huko vyuoni vinadhani kuwa ndio usasa na akili sana inatia huruma sana..

Binafsi najitahidi kujikinga na kishawishi cha aina yoyote ile kitakachoipeleka nafsi yangu kwenye malango ya ngono
Natafuta pesa ili baadae ninunue pori sehemu niishi life la mwisho mwisho hapa duniani..
 
Utopolo mtupu. Kwanini kuna viumbe kama wewe wanaojiona wakamilifu wakati ni hovyo. Kama umemuamini kukuzaa, kukulea, kukutawaza, na kukufanya wewe, huoni unachosema ni utopoloooo mwanangu?
Sasa huyo ni mama yangu, kwa nafasi yake atabaki kuwa mama

Hapa expert tunazungumzia wake zetu wanawake zetu
 
Utopolo mtupu. Kwanini kuna viumbe kama wewe wanaojiona wakamilifu wakati ni hovyo. Kama umemuamini kukuzaa, kukulea, kukutawaza, na kukufanya wewe, huoni unachosema ni utopoloooo mwanangu?
Wewe mkeo kakuzaa??
Wale wanaojiuza pale mnyamani pub pale wamekutawaza??
Au unaruka ruka tu hapa na ujuaji wako na pombe za kupima kichwani..?
 
Back
Top Bottom