Kabisa mwanamke lazima apigwe kofi mara kwa mara bwanaHuko sukumani bila kumcharaza makofi mara kwa mara anaona humpendi na humjali, Baada ya makofi utaona mapenzi yananoga na nyumba inakua na amani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mwanamke lazima apigwe kofi mara kwa mara bwanaHuko sukumani bila kumcharaza makofi mara kwa mara anaona humpendi na humjali, Baada ya makofi utaona mapenzi yananoga na nyumba inakua na amani.
Hii naona imekaa zaidi kitamaduni,kwa maana utaratibu wa kurithishana,huenda kama mke hujampa mikofi na akisikia wenzake wanakula makofi anaona humpendiHuko sukumani bila kumcharaza makofi mara kwa mara anaona humpendi na humjali, Baada ya makofi utaona mapenzi yananoga na nyumba inakua na amani.
Ishu sio mda expert,maana hata chanjo ya korona ilipatikana kwa mda mchache sanaℎ𝑢𝑜 𝑢𝑡𝑎𝑓𝑖𝑡𝑖 𝗻𝗶 𝘄𝗮 𝗺𝗱𝗮 𝗴𝗮𝗻𝗶 𝗺𝗸𝘂𝘂
Huyo anaeomba pesa ya birthday ndio mkeoSasa mkuu mimi niliwish kuoa hawa under 25 ambao hawana watoto lakini wa umri huo wengi hawataki kuolewa na mimi sitaki kuoa mwanamke mwenye wa miaka 26 and above nataka hawa wa earlier 20's bado hawajayajua mengi
Ila juzi Kati Nilikutana na kisanga cha demu mmoja wa 20's mimi siku nawaza kuweka uzio wa pale tu napoish yeye ananiambia anataka hela ya 🤣birthday mkuu naona kabisa hapa ni maji na mafuta
S ndio maana nimechukua singo mazaHuyo anaeomba pesa ya birthday ndio mkeo
Nashangaa unasubiri nini kumpa kichefuchefu..
Sasa mtu hana kichefu chefu bado ni mwepesi unatarajia akuambie nitie mimba??
Jiongeze mkuu msipende kubargain sana na hawa dada zetu..
Yaani mimi nikikuta unamdate dada yangu wa damu miezi mitatu halafu hahisi kichefu chefu nakupasua live maana unampotezea muda..
Unapelekea awe anawaza usenge muda wote..
Mimba pekee ndio huwafanya hao watoto wadogo watulie huku wewe ukiwa unadhani kuwa amepevuka..
Mwingine anajua akinunua mchele , samaki, nyama kwenye jokofu anajua, tayari muda akae na mkewe hakuna hajui mke alitoka kwao Kwa ajili yake, lakini utaona na midevu yake kinazunguka zunguka utazani kuku mgeni aliyepotea kwao akili hakuna, halafu mke akiongea anaoneka anamdomo, sasa huyo mke akipata wakumsikiliza atalaumiwa? Kuna wengine ni wanaume kwasasa wanaviungo vyakiume.Ni kweli kabisa mwanaume unatakiwa usieleweke ila kuna baadhi yao wanasikitisha, hajui kabisa nini maana ya kuwa mwanaume.
Unampeleka wapi huyo single maza??S ndio maana nimechukua singo maza
Huyo anaeomba pesa ya birthday ndio mkeo
Nashangaa unasubiri nini kumpa kichefuchefu..
Sasa mtu hana kichefu chefu bado ni mwepesi unatarajia akuambie nitie mimba??
Jiongeze mkuu msipende kubargain sana na hawa dada zetu..
Yaani mimi nikikuta unamdate dada yangu wa damu miezi mitatu halafu hahisi kichefu chefu nakupasua live maana unampotezea muda..
Unapelekea awe anawaza usenge muda wote..
Mimba pekee ndio huwafanya hao watoto wadogo watulie huku wewe ukiwa unadhani kuwa amepevuka..
Wakuwapa mimba wapo wapi? Kuna mmojà mke akimwambia mme vipi mbona hausomeki anaanza kupiga simu Kwa ndugu zake huyu mwanamke ananisumbua 😃😃, sasa atampa vipi mimba labda asaidiweHuyo anaeomba pesa ya birthday ndio mkeo
Nashangaa unasubiri nini kumpa kichefuchefu..
Sasa mtu hana kichefu chefu bado ni mwepesi unatarajia akuambie nitie mimba??
Jiongeze mkuu msipende kubargain sana na hawa dada zetu..
Yaani mimi nikikuta unamdate dada yangu wa damu miezi mitatu halafu hahisi kichefu chefu nakupasua live maana unampotezea muda..
Unapelekea awe anawaza usenge muda wote..
Mimba pekee ndio huwafanya hao watoto wadogo watulie huku wewe ukiwa unadhani kuwa amepevuka..
Nakubaliana na wewe,nilitaka kwanza kumpa mfano ShanilyHiyo ni hulka tu ya mtu, hata wanaume wapo kibao, mke anavulia yote lakini siku akikaa vizuri anamtosa huyo mwanamke!
Kuna mbaba alipata changamoto ya afya akaumwa sana mke akapambana mpaka akapata nafuu na kupona kumbuka hata ndugu walikuwa wanamnyanyapaa na kuulizana anaumwa nini! Mke hakujli alivyopona matusi Kwa mkewe nilikulazimisha unitunze yeye na ndugu zake wanamchangia mkewe na kumfukusa, je angemterekeza hospital mwezi mzima bado nyumbani! Kusema mwanamke hajui anachotaka sio sawa, mwanaume ndiye hajui mke anataka nini.
Sasa si mpaka awe na uwezo wakumpa mimba, wengine muda wakukaa na mke hawana kazi kuzurura mke naye anachoka kusubilia kenge mmoja.Bas ndo maana kuna braza mmoja mitaa yetu Ana miaka 48 demu wake Ana 33 jamaa ni muajiriwa wa serikali. Kila Baada ya miaka miwili demu wake anajazwa mimba sahv wana watoto watano wakufuatana hapo nakupata point yako
Sasa Hilo linahusianaje na kutokujua akitakacho!?. Alichotaka ni kwenda kuolewa na rafiki wa mabest baada ya yeye kupona kwa nguvu za mabest, unasemaje hajui akitakacho!?Nakupa mfano kwanza kuichangamsha akili yako
Mke au mwanamke wa mabest huenda ushawahi sikia hii ishu,jamaa alimhudumia huyo demu wakati anaumwa,mpaka demu akapona
Na jamaa alifilisika kwa kuuza mali zake ili demu apate matibabu,lkn demu baaada ya kupona akaja kuolewa na rafiki yake mabest
Je hapo imekaaje?
𝗙𝗮𝗰𝘁 𝗶𝗻𝗴𝗲𝗺𝗮𝘁𝗮 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝗶𝗻𝗴𝗲𝗮𝗺𝗯𝗮𝘁𝗮𝗻𝗮𝗻𝗮 𝙪𝙯𝙤𝙚𝙛𝙪Ishu sio mda expert,maana hata chanjo ya korona ilipatikana kwa mda mchache sana
Ishu ni fact hapa
Wengine hawapendi watoto wengi mm naona huyu singo maza Wangu wa miaka 21 katulia, muda mwingi anawaza mtoto wakeSasa si mpaka awe na uwezo wakumpa mimba, wengine muda wakukaa na mke hawana kazi kuzurura mke naye anachoka kusubilia kenge mmoja.
Mwanamke ana kikwazo kimoja tu kinaitwa mtoto basi nje ya hapo hana kikwazo chochote kile so jikite hapoBas ndo maana kuna braza mmoja mitaa yetu Ana miaka 48 demu wake Ana 33 jamaa ni muajiriwa wa serikali. Kila Baada ya miaka miwili demu wake anajazwa mimba sahv wana watoto watano wakufuatana hapo nakupata point yako
Umetelekeza watoto wangapi kaka kipato. Changu kidogo 30k per day mtoto ATAISHI vipi sina bima, wala pensionMwanamke ana kikwazo kimoja tu kinaitwa mtoto basi nje ya hapo hana kikwazo chochote kile so jikite hapo
Acha kupiga picha na hao wanawake aisee yaani mimi mwanamke akiingia kwenye circle yangu
Kwanza ni mimba then ndio majadiliano ya who, what and how yanafuata..
Hayo nadhan ni mazoea tu𝗙𝗮𝗰𝘁 𝗶𝗻𝗴𝗲𝗺𝗮𝘁𝗮 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝗶𝗻𝗴𝗲𝗮𝗺𝗯𝗮𝘁𝗮𝗻𝗮𝗻𝗮 𝙪𝙯𝙤𝙚𝙛𝙪
Hata wanaume no hivyo hivyo pia, akiwa na mke mpole atataka mcharuko atachepuka.Nakubaliana na wewe,nilitaka kwanza kumpa mfano Shanily
Mwanamke ukimpa mapenzi safi atakuona hufai atataka pesa,na kinyume chake
Ukiwa a nice guy utamboa atamtaka mhuni,na ukiwa mhuni atamtaka a nice guy
Ukimpenda sana ni kosa unakuwa dhaifu kwake unamboa na usimpompenda ni shida,yan list ni ndefu hapa
Itoshe kusema mwanamke hajui anataka nini hasa
I mean marupu rupuUmetelekeza watoto wangapi kaka kipato. Changu kidogo 30k per day mtoto ATAISHI vipi sina bima, wala pension
Unamaanisha nini,hapo tunazungumzia 900,000 kwa mweziUmetelekeza watoto wangapi kaka kipato. Changu kidogo 30k per day mtoto ATAISHI vipi sina bima, wala pension