Mwanaume mwenye hekima hamwambii Mwanamke wake haya mambo mawili

Mwanaume mwenye hekima hamwambii Mwanamke wake haya mambo mawili

Pakada nina hakika ulie nae hapigi mzigo,,
Pia marafiki zako mostly hawapigwi mashine maana from your write nasense hisia kali sana pale unapowashutumu wana kuhusu kutokupiga mzigo..
Swali ni kwamba mshajiuliza ni kwanini wana hawapigi mzigo??
Je mna mvuto huo?
Je mna hamasisha wana wapige mashine au ndio full ubabe mpaka mwana anaona ataichosha mashine yake bure?
 
Sasa Hilo linahusianaje na kutokujua akitakacho!?. Alichotaka ni kwenda kuolewa na rafiki wa mabest baada ya yeye kupona kwa nguvu za mabest, unasemaje hajui akitakacho!?

Mnachanga tamaa , akili za kushikiwa na kujua mtu akitakacho.
Mtu asojua akitakacho ni mwendawazimu pekee, hata mtoto anajua akitakacho.

Mfano wako ni sawa na mwanaume, mkeo anakutimizia Kila hitaji lako, mtiifu, mnyenyekevu, umezaa nae, lakini Bado unachepuka, na hapa tuseme wanaume nao hawajui wakitakacho!?.
Tena anamuoa binti labda form four, yeye degree, mke yupo nyumbani yeye anajiendeleza mpaka PhD Kisha anaanza kumtukana mke hujasoma unajiuliza kama ulitaka msomi siungeoa huko, au wakati unasoma na huyu naye ungemwacha ajiendeleze? Mke akisema anaonekana hana akili,

ila nawapongeza wanawake akichoka basi hatauliza ni vitendo mwisho mwanaume pressure.
 
Hata wanaume no hivyo hivyo pia, akiwa na mke mpole atataka mcharuko atachepuka.

Mke akiwa Hana kazi atatafuta kimada mfanyakazi.

Mke akiwa mpole atatafuta wakorofi nje huko.

Mke akimpenda atamuona boya na kuanza kumdharau, mifano ipo.
Mbona hamsemi hamjui mkitakacho!?.
Mwanaume anajua anataka nini hapo,ni ishu moja tu hapo,anataka k basi imeisha hiyo

Mimi mpaka nilikuwa nafanyiwa yale mambo ya tanga,nawekewa kigoda bafuni naogeshwa na mambo yetu yale ya kisosi lkn nilifanya ujinga kwasababu ya k tu

Kwahiyo wanaume tunapotoka nje sio kwamba hatuwapendi wake zetu laa,ni ujinga wa kuendekeza kichwa cha chini

Kwahiyo tunajua tunataka nini
 
Umetelekeza watoto wangapi kaka kipato.
Watoto wako wanakula elfu kumi kwa siku?? Hata wakiwa kumi ni hivyo?
Changu kidogo 30k per day mtoto ATAISHI vipi sina bima, wala pension
Turudi kwenye neno kutelekeza kwanza,, kwako limekaaje?? Yaani ukisikia watoto wametelekezwa unaamini vipi kuwa mtoto huyo katelekezwa?
 
Pakada nina hakika ulie nae hapigi mzigo,,
Pia marafiki zako mostly hawapigwi mashine maana from your write nasense hisia kali sana pale unapowashutumu wana kuhusu kutokupiga mzigo..
Swali ni kwamba mshajiuliza ni kwanini wana hawapigi mzigo??
Je mna mvuto huo?
Je mna hamasisha wana wapige mashine au ndio full ubabe mpaka mwana anaona ataichosha mashine yake bure?
Ulishawahi walau kutembelea ofisi za ustawi wa jamii? Tembelea siku moja au fanya tafiti utakuja niambia, unazani washauri wa ndoa huwa wanamshauri kujenga maghorofa ?
 
Tena anamuoa binti labda form four, yeye degree, mke yupo nyumbani yeye anajiendeleza mpaka PhD Kisha anaanza kumtukana mke hujasoma unajiuliza kama ulitaka msomi siungeoa huko, au wakati unasoma na huyu naye ungemwacha ajiendeleze? Mke akisema anaonekana hana akili,

ila nawapongeza wanawake akichoka basi hatauliza ni vitendo mwisho mwanaume pressure.
Ndo hapo sasa au mwengine anachepuka na house girl. Mimi nawashangaaga wanaosema mwanamke hajui akitakacho.

Mindset zao hazipo sawa,, inabidi wabadili hiyo mitazamo Yao.
 
Mwanaume anajua anataka nini hapo,ni ishu moja tu hapo,anataka k basi imeisha hiyo

Mimi mpaka nilikuwa nafanyiwa yale mambo ya tanga,nawekewa kigoda bafuni naogeshwa na mambo yetu yale ya kisosi lkn nilifanya ujinga kwasababu ya k tu

Kwahiyo wanaume tunapotoka nje sio kwamba hatuwapendi wake zetu laa,ni ujinga wa kuendekeza kichwa cha chini

Kwahiyo tunajua tunataka nini
Basi msiwange wanawake
 
Nakubaliana na wewe,nilitaka kwanza kumpa mfano Shanily

Mwanamke ukimpa mapenzi safi atakuona hufai atataka pesa,na kinyume chake

Ukiwa a nice guy utamboa atamtaka mhuni,na ukiwa mhuni atamtaka a nice guy

Ukimpenda sana ni kosa unakuwa dhaifu kwake unamboa na usimpompenda ni shida,yan list ni ndefu hapa

Itoshe kusema mwanamke hajui anataka nini hasa
Ukiona mke wa hivyo hajielewi tu hivi unajilwa kila kitu unamuonq vipi mtu dhaifu!
 
Wengine hawapendi watoto wengi mm naona huyu singo maza Wangu wa miaka 21 katulia, muda mwingi anawaza mtoto wake
Ha ha ha ha Kama umekubaliana na status yake ya maisha wewe jitulize tu hapo
 
Ulishawahi walau kutembelea ofisi za ustawi wa jamii? Tembelea siku moja au fanya tafiti utakuja niambia, unazani washauri wa ndoa huwa wanamshauri kujenga maghorofa ?
Ustawi wa jamii napo ni kichaka cha wahuni fulani tu hivi jobless, waviziaji wasiotaka kufanya uzalishaji kwenye taifa
Wakaamua waende pale kujifanya wanashupalia maisha ya watu wengine yaani wanacapitalize kwenye hisia za mwanamke badala ya kumwambia ukweli na kumjenga bali wanaandaa mkakati fulani hivi ili mwanamke aendelee kuwa malaya huku akiendelea kupata financial support kutoka kule alikoona hapafai..
 
Ndo hapo sasa au mwengine anachepuka na house girl. Mimi nawashangaaga wanaosema mwanamke hajui akitakacho.

Mindset zao hazipo sawa,, inabidi wabadili hiyo mitazamo Yao.
Mnajua lau mngekuwa wanaume huenda mngeelewa zaidi

Ogopa mtu ambaye ameumbwa kuwinda,sasa sisi ni wawindaji na nyie mnawindwa

Muwindwaji hana ishu kama muwindaji hajaamua kuwinda,wawindaji tumeumbwa kutafuta mawindo mengi
 
Mwanaume anajua anataka nini hapo,ni ishu moja tu hapo,anataka k basi imeisha hiyo

Mimi mpaka nilikuwa nafanyiwa yale mambo ya tanga,nawekewa kigoda bafuni naogeshwa na mambo yetu yale ya kisosi lkn nilifanya ujinga kwasababu ya k tu

Kwahiyo wanaume tunapotoka nje sio kwamba hatuwapendi wake zetu laa,ni ujinga wa kuendekeza kichwa cha chini

Kwahiyo tunajua tunataka nini
Basi ndo hamjui mnataka nini. Ungejua unataka nini usingechepuka.

Mke wa mabest hajui anataka Nini kwakua kaolewa na best pamoja na kuwa jamaa alihudumia mpka kufilisika Mali

Ila wewe umepewa vyote na ziada , mtu katumia nguvu kazi yake ya mwili na akili Kisha umechepuka halafu wewe ndo unajua unataka nini!?.

Au kwakua mmeegemea kwenye upande wa kipato , kwakua nyie mnatoa nguvu kazi ya pesa mnajua mkitakacho ila wanaotoa nguvu kazi ya mwili na akili na muda wao hawajui wakitakacho.

Angalia huo mtizamo wako kwa jicho lingine ang'avu zaidi.
 
Hiyo ni hulka tu ya mtu, hata wanaume wapo kibao, mke anavulia yote lakini siku akikaa vizuri anamtosa huyo mwanamke!

Kuna mbaba alipata changamoto ya afya akaumwa sana mke akapambana mpaka akapata nafuu na kupona kumbuka hata ndugu walikuwa wanamnyanyapaa na kuulizana anaumwa nini! Mke hakujli alivyopona matusi Kwa mkewe nilikulazimisha unitunze yeye na ndugu zake wanamchangia mkewe na kumfukusa, je angemterekeza hospital mwezi mzima bado nyumbani! Kusema mwanamke hajui anachotaka sio sawa, mwanaume ndiye hajui mke anataka nini.
Pakada hebu tufanye mimi niwe mumeo
Niambie ile full package unayoitaka kutoka kwangu kuja kwako mke wangu
Maisha yako yote kwamba utaridhika
Twende hapo nakusubiri..
 
Mnajua lau mngekuwa wanaume huenda mngeelewa zaidi

Ogopa mtu ambaye ameumbwa kuwinda,sasa sisi ni wawindaji na nyie mnawindwa

Muwindwaji hana ishu kama muwindaji hajaamua kuwinda,wawindaji tumeumbwa kutafuta mawindo mengi
Wewe sema jitahidi mwaume usitabirike naweza nikakuelewa.
Ndomna wanawake pia huambiwa wawe wabunifu ndoani ili mume asikutabiri , inaleta hamasa na kuboresha ndoa.

Lakini usinambie wanawake hawajui wakitakacho, umetoa hitimisho kwa kuangalia kigezo kipi!?. Cha pesa!!
 
Ustawi wa jamii napo ni kichaka cha wahuni fulani tu hivi jobless, waviziaji wasiotaka kufanya uzalishaji kwenye taifa
Wakaamua waende pale kujifanya wanashupalia maisha ya watu wengine yaani wanacapitalize kwenye hisia za mwanamke badala ya kumwambia ukweli na kumjenga bali wanaandaa mkakati fulani hivi ili mwanamke aendelee kuwa malaya huku akiendelea kupata financial support kutoka kule alikoona hapafai..
Sio wote, hizi nyumba Zina Siri sana usione watu wanapita mtu na mkewe ukazani hawa wanaishi peponi.
 
Back
Top Bottom