Mwanaume mwenye wake 15 asema Wanaume wenye Mke Mmoja wana Akili Ndogo Sana: "Wanaweza Kuongelea jambo moja kwa saa 3”

Mwanaume mwenye wake 15 asema Wanaume wenye Mke Mmoja wana Akili Ndogo Sana: "Wanaweza Kuongelea jambo moja kwa saa 3”

Mwanamume mmoja ambaye ni mume wa wanawake wengi amewachamba wanaume ambao wameoa mke mmoja tu.

Kaluhana mwenye umri wa miaka 63 anasema wanaume wenye mke mmoja wana akili ndogo sana na hawezi kuelewana nao kwa sasa Kaluhana ana wanawake 15 nchini Kenya na Uganda na anasisitiza kuwa hatachoka kuongeza wanawake.

Katika video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, David Zakayo Kaluhana anasema kuwa wanaume wenye mke mmoja wana akili ndogo sana na kamwe hawezi kuelewana nao.
Kaluhana mwenye umri wa miaka 63 anatoka eneo la Malava kaunti ya Kakamega na amejaaliwa kuwa na wake 15.

Kulingana naye, wanaume wenye mke mmoja wana upungufu wa akili na fikra kwani akili zao zinazunguka tu kwa suala moja kwa muda mrefu tofauti na wanaume wenye wake wengi.

Kaluhana ambaye amejaliwa watoto 107 amesema kuwa alikuwa mwerevu sana kuishi na mke mmoja na hapo ndipo akapata msukumo wa kutafuta wake wengi. Mwanamme huyo ameeleza kuwa anahakikisha kuwa anawapa wake wake wote chakula na kumjali kila mmoja Kaluhana amefichua kuwa yuko na wake hadi taifa jirani la Uganda na kuwa mpango wake huo wa kuwa na wake wengi haukomi hivi karibuni.

"Zaidi wanakuja. Hii sio mwisho. Siwezi kusema lini nitakoma lakini kama wanapewa mahitaji yao watakuwa sawa," alisema Kaluhana.

Video:

Hapo ukute zaidi ya watoto 10 kasaidiwa na wana
 
Nikola Teslas na Isaac Newton hawakuwai kuoa na leo wapo kwenye historia ya watu wenye akili zaidi waliowahi kuishi hapa duniani.
Kipimo cha akili hushabihiana na mazingira na utsmaduni,kwa utamaduni wao perherps walikuwa na akili ila wangekiwa huku pengine tungewaona waliochanganyikiwa,huyu mkenya kwa mazimgira yake anajiona anaakili aheshimiwe!!
 
Mwanamume mmoja ambaye ni mume wa wanawake wengi amewachamba wanaume ambao wameoa mke mmoja tu.

Kaluhana mwenye umri wa miaka 63 anasema wanaume wenye mke mmoja wana akili ndogo sana na hawezi kuelewana nao kwa sasa Kaluhana ana wanawake 15 nchini Kenya na Uganda na anasisitiza kuwa hatachoka kuongeza wanawake.

Katika video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, David Zakayo Kaluhana anasema kuwa wanaume wenye mke mmoja wana akili ndogo sana na kamwe hawezi kuelewana nao.
Kaluhana mwenye umri wa miaka 63 anatoka eneo la Malava kaunti ya Kakamega na amejaaliwa kuwa na wake 15.

Kulingana naye, wanaume wenye mke mmoja wana upungufu wa akili na fikra kwani akili zao zinazunguka tu kwa suala moja kwa muda mrefu tofauti na wanaume wenye wake wengi.

Kaluhana ambaye amejaliwa watoto 107 amesema kuwa alikuwa mwerevu sana kuishi na mke mmoja na hapo ndipo akapata msukumo wa kutafuta wake wengi. Mwanamme huyo ameeleza kuwa anahakikisha kuwa anawapa wake wake wote chakula na kumjali kila mmoja Kaluhana amefichua kuwa yuko na wake hadi taifa jirani la Uganda na kuwa mpango wake huo wa kuwa na wake wengi haukomi hivi karibuni.

"Zaidi wanakuja. Hii sio mwisho. Siwezi kusema lini nitakoma lakini kama wanapewa mahitaji yao watakuwa sawa," alisema Kaluhana.

Video:

Kama unaamini huu upuuzi inabidi ukapimwe kichwa,
Kwanza tuanzie,hapa hao wake zake Wana ubora Gani?ki elimu,au ndio wale hata darasa la Saba hawana,bado wanaamini uchawi,Wala ugoro,hawajawaji hata kuona jiko la umeme,achilia mbali simu janja,
Kama ana wake kumi wenye elimu ya shahada,graduate,heshima kwake,
Kwa ustawi wa jamii na Dunia,huyu kenge na dangote,Eron musk nani anafaida kwa Dunia?
 
akiweza kusomesha watoto hata watano tu na wakafanikiwa kielimu njoo unichape viboko nimekaa nyuma ya Samsung Tab hapa
yani ukipenda wake wengi na ukiwa na watoto wengi hausomeshi ni kulishia na kutafuta wake wengine (hela inatumika)
WAZAZI SOMESHENI WATOTO WENU
 
Ni kweli kabisa.

Hata migogoro mingi ya ndoa ni kwa wenye mke mmoja.

Hata nje ya ndoa; ukiwa na girlfriend ni rahisi sana kuteswa na mapenzi tofauti na mwenye girlfriends.

Ana hoja, asikilizwe.
Kweli kabisa hili nimeli-experince suala lakua na mke mmoja unakua unazungumzia jambo moja kwa mda mrefu sana nahuenda akakulisha matango pori.kua nawanawake wengi au girlfriends wengi huleta utulivu na kupoza akili pia.
 
Kama unaamini huu upuuzi inabidi ukapimwe kichwa,
Kwanza tuanzie,hapa hao wake zake Wana ubora Gani?ki elimu,au ndio wale hata darasa la Saba hawana,bado wanaamini uchawi,Wala ugoro,hawajawaji hata kuona jiko la umeme,achilia mbali simu janja,
Kama ana wake kumi wenye elimu ya shahada,graduate,heshima kwake,
Kwa ustawi wa jamii na Dunia,huyu kenge na dangote,Eron musk nani anafaida kwa Dunia?
Ubora wa binadamu ni "Elimu" tu? Kwamba ukioa wake wenye PhD ndo heshima?
 
akiweza kusomesha watoto hata watano tu na wakafanikiwa kielimu njoo unichape viboko nimekaa nyuma ya Samsung Tab hapa
yani ukipenda wake wengi na ukiwa na watoto wengi hausomeshi ni kulishia na kutafuta wake wengine (hela inatumika)
WAZAZI SOMESHENI WATOTO WENU
Wengi wamesomesha watoto ila bado hao watoto ni tegemezi kwao pamoja na kuwa na hayo makaratasi ya vyeti.
 
Nilijua amefanya uvumbuzi fulani baada ya kua na wake wengi ndio maana anajiita ana akili kumbe ni kuongea mda mchache [emoji1][emoji1][emoji1] mimi sina mke hata mmoja ila sipendi kuongea mda mrefu kabisa kuongea ni haiba ya mtu
 
Nikola Teslas na Isaac Newton hawakuwai kuoa na leo wapo kwenye historia ya watu wenye akili zaidi waliowahi kuishi hapa duniani.
Hiyo boya linajiona linaakili kisa kuwa na wake wengi limerahisha sana maana ya kuwa na akili
 
Mwanamume mmoja ambaye ni mume wa wanawake wengi amewachamba wanaume ambao wameoa mke mmoja tu.

Kaluhana mwenye umri wa miaka 63 anasema wanaume wenye mke mmoja wana akili ndogo sana na hawezi kuelewana nao kwa sasa Kaluhana ana wanawake 15 nchini Kenya na Uganda na anasisitiza kuwa hatachoka kuongeza wanawake.

Katika video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, David Zakayo Kaluhana anasema kuwa wanaume wenye mke mmoja wana akili ndogo sana na kamwe hawezi kuelewana nao.
Kaluhana mwenye umri wa miaka 63 anatoka eneo la Malava kaunti ya Kakamega na amejaaliwa kuwa na wake 15.

Kulingana naye, wanaume wenye mke mmoja wana upungufu wa akili na fikra kwani akili zao zinazunguka tu kwa suala moja kwa muda mrefu tofauti na wanaume wenye wake wengi.

Kaluhana ambaye amejaliwa watoto 107 amesema kuwa alikuwa mwerevu sana kuishi na mke mmoja na hapo ndipo akapata msukumo wa kutafuta wake wengi. Mwanamme huyo ameeleza kuwa anahakikisha kuwa anawapa wake wake wote chakula na kumjali kila mmoja Kaluhana amefichua kuwa yuko na wake hadi taifa jirani la Uganda na kuwa mpango wake huo wa kuwa na wake wengi haukomi hivi karibuni.

"Zaidi wanakuja. Hii sio mwisho. Siwezi kusema lini nitakoma lakini kama wanapewa mahitaji yao watakuwa sawa," alisema Kaluhana.

Video:
Aje aekéze na huku Tanzania
 
Back
Top Bottom