Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili ya maarifa na ujuzi😂Hahahaaa..... Eti mimi sina akili?! Akili gani hiyo kwanza!
Hakika.Kwa hiyo theory ya huyu jamaa wa Kenya ni valid kabisa!
Mwanamume mmoja ambaye ni mume wa wanawake wengi amewachamba wanaume ambao wameoa mke mmoja tu.
Kaluhana mwenye umri wa miaka 63 anasema wanaume wenye mke mmoja wana akili ndogo sana na hawezi kuelewana nao kwa sasa Kaluhana ana wanawake 15 nchini Kenya na Uganda na anasisitiza kuwa hatachoka kuongeza wanawake.
Katika video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, David Zakayo Kaluhana anasema kuwa wanaume wenye mke mmoja wana akili ndogo sana na kamwe hawezi kuelewana nao.
Kaluhana mwenye umri wa miaka 63 anatoka eneo la Malava kaunti ya Kakamega na amejaaliwa kuwa na wake 15.
Kulingana naye, wanaume wenye mke mmoja wana upungufu wa akili na fikra kwani akili zao zinazunguka tu kwa suala moja kwa muda mrefu tofauti na wanaume wenye wake wengi.
Kaluhana ambaye amejaliwa watoto 107 amesema kuwa alikuwa mwerevu sana kuishi na mke mmoja na hapo ndipo akapata msukumo wa kutafuta wake wengi. Mwanamme huyo ameeleza kuwa anahakikisha kuwa anawapa wake wake wote chakula na kumjali kila mmoja Kaluhana amefichua kuwa yuko na wake hadi taifa jirani la Uganda na kuwa mpango wake huo wa kuwa na wake wengi haukomi hivi karibuni.
"Zaidi wanakuja. Hii sio mwisho. Siwezi kusema lini nitakoma lakini kama wanapewa mahitaji yao watakuwa sawa," alisema Kaluhana.
Video:
Kipimo cha akili hushabihiana na mazingira na utsmaduni,kwa utamaduni wao perherps walikuwa na akili ila wangekiwa huku pengine tungewaona waliochanganyikiwa,huyu mkenya kwa mazimgira yake anajiona anaakili aheshimiwe!!Nikola Teslas na Isaac Newton hawakuwai kuoa na leo wapo kwenye historia ya watu wenye akili zaidi waliowahi kuishi hapa duniani.
Mwanamume mmoja ambaye ni mume wa wanawake wengi amewachamba wanaume ambao wameoa mke mmoja tu.
Kaluhana mwenye umri wa miaka 63 anasema wanaume wenye mke mmoja wana akili ndogo sana na hawezi kuelewana nao kwa sasa Kaluhana ana wanawake 15 nchini Kenya na Uganda na anasisitiza kuwa hatachoka kuongeza wanawake.
Katika video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, David Zakayo Kaluhana anasema kuwa wanaume wenye mke mmoja wana akili ndogo sana na kamwe hawezi kuelewana nao.
Kaluhana mwenye umri wa miaka 63 anatoka eneo la Malava kaunti ya Kakamega na amejaaliwa kuwa na wake 15.
Kulingana naye, wanaume wenye mke mmoja wana upungufu wa akili na fikra kwani akili zao zinazunguka tu kwa suala moja kwa muda mrefu tofauti na wanaume wenye wake wengi.
Kaluhana ambaye amejaliwa watoto 107 amesema kuwa alikuwa mwerevu sana kuishi na mke mmoja na hapo ndipo akapata msukumo wa kutafuta wake wengi. Mwanamme huyo ameeleza kuwa anahakikisha kuwa anawapa wake wake wote chakula na kumjali kila mmoja Kaluhana amefichua kuwa yuko na wake hadi taifa jirani la Uganda na kuwa mpango wake huo wa kuwa na wake wengi haukomi hivi karibuni.
"Zaidi wanakuja. Hii sio mwisho. Siwezi kusema lini nitakoma lakini kama wanapewa mahitaji yao watakuwa sawa," alisema Kaluhana.
Video:
Kweli kabisa hili nimeli-experince suala lakua na mke mmoja unakua unazungumzia jambo moja kwa mda mrefu sana nahuenda akakulisha matango pori.kua nawanawake wengi au girlfriends wengi huleta utulivu na kupoza akili pia.Ni kweli kabisa.
Hata migogoro mingi ya ndoa ni kwa wenye mke mmoja.
Hata nje ya ndoa; ukiwa na girlfriend ni rahisi sana kuteswa na mapenzi tofauti na mwenye girlfriends.
Ana hoja, asikilizwe.
Kufanikiwa kielimu kukoje? Kwani elimu ni nini?akiweza kusomesha watoto hata watano tu na wakafanikiwa kielimu njoo unichape viboko nimekaa nyuma ya Samsung Tab hapa
yani ukipenda wake wengi na ukiwa na watoto wengi hausomeshi ni kulishia na kutafuta wake wengine (hela inatumika)
WAZAZI SOMESHENI WATOTO WENU
Kuchapiwa ni siri ya ndani😂Hapo ukute zaidi ya watoto 10 kasaidiwa na wana
Ubora wa binadamu ni "Elimu" tu? Kwamba ukioa wake wenye PhD ndo heshima?Kama unaamini huu upuuzi inabidi ukapimwe kichwa,
Kwanza tuanzie,hapa hao wake zake Wana ubora Gani?ki elimu,au ndio wale hata darasa la Saba hawana,bado wanaamini uchawi,Wala ugoro,hawajawaji hata kuona jiko la umeme,achilia mbali simu janja,
Kama ana wake kumi wenye elimu ya shahada,graduate,heshima kwake,
Kwa ustawi wa jamii na Dunia,huyu kenge na dangote,Eron musk nani anafaida kwa Dunia?
Wengi wamesomesha watoto ila bado hao watoto ni tegemezi kwao pamoja na kuwa na hayo makaratasi ya vyeti.akiweza kusomesha watoto hata watano tu na wakafanikiwa kielimu njoo unichape viboko nimekaa nyuma ya Samsung Tab hapa
yani ukipenda wake wengi na ukiwa na watoto wengi hausomeshi ni kulishia na kutafuta wake wengine (hela inatumika)
WAZAZI SOMESHENI WATOTO WENU
Huyo jamaa anajiona Phd za darasani ndio akili mpuuzi tuUbora wa binadamu ni "Elimu" tu? Kwamba ukioa wake wenye PhD ndo heshima?
at least kumaliza shule na kuweza kujitegemea mwenyewe no matter umeajiriwa au haujaajiriwa ila elimu yako unaweza kuitumia katika maisha ya kila sikuKufanikiwa kielimu kukoje? Kwani elimu ni nini?
Wengi wamesomesha watoto ila bado hao watoto ni tegemezi kwao pamoja na kuwa na hayo makaratasi ya vyeti.
Kwahiyo elimu ni mpaka uwe na vyeti?at least kumaliza shule na kuweza kujitegemea mwenyewe no matter umeajiriwa au haujaajiriwa ila elimu yako unaweza kuitumia katika maisha ya kila siku
Hiyo boya linajiona linaakili kisa kuwa na wake wengi limerahisha sana maana ya kuwa na akiliNikola Teslas na Isaac Newton hawakuwai kuoa na leo wapo kwenye historia ya watu wenye akili zaidi waliowahi kuishi hapa duniani.
uishie darasa la nne afu useme una elimu ? nonsenseKwahiyo elimu ni mpaka uwe na vyeti?
Aje aekéze na huku TanzaniaMwanamume mmoja ambaye ni mume wa wanawake wengi amewachamba wanaume ambao wameoa mke mmoja tu.
Kaluhana mwenye umri wa miaka 63 anasema wanaume wenye mke mmoja wana akili ndogo sana na hawezi kuelewana nao kwa sasa Kaluhana ana wanawake 15 nchini Kenya na Uganda na anasisitiza kuwa hatachoka kuongeza wanawake.
Katika video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, David Zakayo Kaluhana anasema kuwa wanaume wenye mke mmoja wana akili ndogo sana na kamwe hawezi kuelewana nao.
Kaluhana mwenye umri wa miaka 63 anatoka eneo la Malava kaunti ya Kakamega na amejaaliwa kuwa na wake 15.
Kulingana naye, wanaume wenye mke mmoja wana upungufu wa akili na fikra kwani akili zao zinazunguka tu kwa suala moja kwa muda mrefu tofauti na wanaume wenye wake wengi.
Kaluhana ambaye amejaliwa watoto 107 amesema kuwa alikuwa mwerevu sana kuishi na mke mmoja na hapo ndipo akapata msukumo wa kutafuta wake wengi. Mwanamme huyo ameeleza kuwa anahakikisha kuwa anawapa wake wake wote chakula na kumjali kila mmoja Kaluhana amefichua kuwa yuko na wake hadi taifa jirani la Uganda na kuwa mpango wake huo wa kuwa na wake wengi haukomi hivi karibuni.
"Zaidi wanakuja. Hii sio mwisho. Siwezi kusema lini nitakoma lakini kama wanapewa mahitaji yao watakuwa sawa," alisema Kaluhana.
Video: