KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
- Thread starter
- #81
Likifutwa maana yake hakuna NDOATendo la ndoa lifutwe 😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Likifutwa maana yake hakuna NDOATendo la ndoa lifutwe 😹
Mpwa umetishaM ilikuwa rahisi tu saasita anapiga gfriend naweka spika upoo nimemisi oomboo yakoo kama anakoroma unasikia kama anageuka na we unajibu hata mie nimemisi maku yakkkkoo
Mpange asrme wahii nipate cha asbh na we damka saa 0630am hatakama huna kazi kakae tu kituon sambili rudi...Aliitaa maah
Bro wanawake tunaonyimwa na sisi tunashauriwaje??? Au iwe kama daladala unaivizia...."ikisimama panda"Likifutwa maana yake hakuna NDOA
Sawa mkuu, uungwana ni jambo jema.Niwie radhi ndugu yangu......
Sikuwa na maanisha kuwa wewe ni ke....nimejibu kama kuainisha ingawa nimejikwaa kwenye uandishi...... niwie radhi ndugu....mkono umeteleza kibinadamu
Huo nao ni mjadala mpana unao hitaji uwanja mpana.....😂😂😂😂😂Bro wanawake tunaonyimwa na sisi tunashauriwaje??? Au iwe kama daladala unaivizia...."ikisimama panda"
Tuanzishe chama chetuBro wanawake tunaonyimwa na sisi tunashauriwaje??? Au iwe kama daladala unaivizia...."ikisimama panda"
Hakuna sababu inayohalalisha kuwa malaya.....kama unahisi huitaji ndoa dai talaka ni haki yako kwani ndoa jambo la khiyari na sio kufanya umalayaBadilisha mbinu. Acha kumparamia, anakataa kwasababu unamuumiza hasikii raha yoyote.
Au pia labda ana mawazo
.humuhudumii ipasavyo.
Sababu ya mwisho kabisa inawezekana kuna mtu mwingine anampa. Na hii inatokana na hizo sababu mbili hapo juu.
Tunateseka sana 😔Huo nao ni mjadala mpana unao hitaji uwanja mpana.....😂😂😂😂😂
Chama kitahamasisha tendo la ndoa lifutwe tu.....😹Tuanzishe chama chetu
Asante, naishia hapa kusoma comments.Kukataliwa unyumba kuna mambo mawili.
1. Haumjali mwenzako kwenye tendo la ndoa unajijali mwenyewe. Namaanisha nini? Twende pamoja.
Kwenye ndoa watu wanaishi kwa mazoea saana yaani inafika stage mme anamuona mke wake kama msaidizi tu wa familia ikifika usiku anapanda anapiga kimoja cha fasta chali kwa kuwa mme kakojoa anajifunika shuka analala bila kujali kuwa mkewe amemuacha na nyege sasa hii hukera baadhi ya wanawake na ndio maana hata inafika muda nae anaona bora alale tu ngoma iwe droo.
2. Lakini jambo la pili mkeo akikunyima unyumba fatilia nyendo zakd istoshe keshapata dogodogo au mpango wa kando anampiga pum*u akirud home hoi. Hvyo fuatilia.
LAKINI NARUDIA TENA chonde chonde wewe mwanamme uliyeoa mjulie mkeo angalau kwa wiki mkojoze hata mara tatu hakika hawezi kukunyima unyumba ila kama ukipanda ni kama kuku alaaah utanyimwa saana
Hilo jambo ni la kusadikika 😆😆Chama kitahamasisha tendo la ndoa lifutwe tu.....😹
Wengi wanaonyimwa wana visiraniUkishafikia stage hiyo mwanamme utakuwa ushakosea sehemu.
Sasa kama ana kisirani ukimpa si ndiyo unampunguza kisirani.Wengi wanaonyimwa wana visirani
Yap Yap, inabidi ufukuze, watoto wako, miaka 10,na mwingine 5,utalea mwenyewe, au ikibidi weka house girl, kikazi, upo mkoa tofauti, nyumbani umeacha house girl na binti zako wadogo, house maid, akiingiza nje MBA usiku, wala usijari binti zako watakuwa salama tu, we utakuwa unakuja likizo kuwaona,au panga nyumba kubwa, uishi nao,nyumba yako pangisha, na kwa kazi zetu za kuhama hama, utajikuta upo mbali tena,Kumekucha wana Baraza.......
Hili halihitaji maelezo mengi kwani limekuwa tatizo sugu kwenye vyumba vya wanandoa mpaka baadhi ya wanaume (mabwege) wameanza kuona ni jambo la kawaida......
Ngoja niongee KIUME......
Kunyimwa uchi na mkeo sio jambo la kawaida.....tendo la ndoa ni nguzo kuu inayoleta maana nzima ya ndoa...... kitendo cha mwenza wako kukunyima tendo hilo nje ya dharula za kibinadamu ni alama za kuwa hiyo haitaki ndoa........
Ni kama vile mfanyakazi akatae kufanya kazi mliyokubaliana na boss wake ni ishara huyo haitaki kazi na anatakiwa kufukuzwa kazi.......
Mwanaume mwenzangu Acha unyonge kwa mkeo huyo ni mali yako , ni bustani yako ni halali yako........
Kama hataki kukupa kilichomleta kwako chukua maamuzi ya kiume.......
NB;
Hii inawagusa wanaume wenzangu marijali ambao utendaji wao wa kazi hauna mushkeli isipokuwa wanaangushwa na upande wa pili.....
Ntakunyima na ntalala uchiKunyimwa huo ni UPHALA
Nimechagua kuyaheshimu maoni yako kikubwa....Yap Yap, inabidi ufukuze, watoto wako, miaka 10,na mwingine 5,utalea mwenyewe, au ikibidi weka house girl, kikazi, upo mkoa tofauti, nyumbani umeacha house girl na binti zako wadogo, house maid, akiingiza nje MBA usiku, wala usijari binti zako watakuwa salama tu, we utakuwa unakuja likizo kuwaona,au panga nyumba kubwa, uishi nao,nyumba yako pangisha, na kwa kazi zetu za kuhama hama, utajikuta upo mbali tena,
Well it is easier said than done, inategemea mnaishi vipi, sehemu moja, au mwingine yupo mkoa, kwangu Mimi, Bora ninyimwe Mambo, lakini anaangslia watoto for, kuliko kuweka maisha ya watoto hatarini kwa kulelewa na house girl, kisa tu nimenyimwa Mambo,
At 30s, asingeweza kuninyima, akigoma haha maguvu natumia, lakini at 40+, na Mambo ya kutafuta fwedha,what the heck! Na watoto wapo chuo,au boarding, why bother,
Unaninyimaje wewe naee bhana🤗🤗🤗😋😉Ntakunyima na ntalala uchi