Johnson12345
JF-Expert Member
- May 29, 2023
- 207
- 498
- Thread starter
- #21
DaaaaKuna secta zingine kuua sio dhambi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaaaaKuna secta zingine kuua sio dhambi
KweliTatizo linaanza pale unapojiaminisha mwanamke ni malaika wako tu. Mwanamke anaweza kuwa malaika na anaweza kuwa shetani.
Kuna stage, haswa ya ujana 30-45 ishi na mwanamke kama unasafiri na gari linalochemsha. Always unakuwa macho kwenye dashboard na una geleni la maji.
Kuanzia age ya 50 mara chache sana mwanamke atakuzalilisha, labda awe mchawi au uwe na mapungufu makubwa.
au sio😂Kombe limegeuka. Poleni
safi sana mpaka mkome
KATAA NDOA
Yaan ni kama wamama wameamshwa huko walipokua wamelala mambo ni bandika bandua [emoji1787]au sio[emoji23]
haya maisha yamejaa shida😂 bora kutokuzaliwaYaan ni kama wamama wameamshwa huko walipokua wamelala mambo ni bandika bandua [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]haya maisha yamejaa shida[emoji23] bora kutokuzaliwa
Mijamaa gani , wa benk auHiyo mijamaa, we acha tu, inamkung'uta mpaka anarudi nyumbani anachechemea.
Kuna yakuvumilia mengine hayavumiliki, sana sana yanatesa na kuua kabisaBible verses "Upendo wa kweli huvumilia, hauhesabu mabaya wala hauna majivuno"
UKWELI MCHUNGU [emoji116]
"Me timamu kiakili asiye na uvulana kimaamuzi hawezi kumsamehe Ke msaliti wa ndoa utake usitake".
Ndoa wakati mwingine nikama utumwa na ujinga kabisaHapa ndo kataa ndoa wanapata point zao